Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

  • Redirect
KARIAKOO DERBY | Leo Jumamosi kwa Mkapa kinapigwa, Yanga SC Vs Simba SC Saa 1:15 usiku | 🔴 LIVE updates hapa Je, Simba anakwenda kufungwa kwa mara ya 5 mfululizo na Yanga? Ama kukata uteja…!🫣🤯...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
KARIAKOO DERBY | Leo Jumamosi kwa Mkapa kinapigwa, Yanga SC Vs Simba SC Saa 1:15 usiku | 🔴 LIVE updates hapa Je, Simba anakwenda kufungwa kwa mara ya 5 mfululizo na Yanga? Ama kukata uteja…!🫣🤯...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Njoo tupeane update watu kwanini Wana ingia na magari mengi usiku? Na kwanini watu Wana zuia wenzao kufanya mazoezi ya mwisho? Kwanini TFF inazitetea sana izi team?
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
wemekamatwa usiku baada ya timu ya simba kuzuiliwa kuingia uwanjani.
0 Reactions
Replies
Views
Azam kitengo Cha Promotions hua mnafanya Sana hili kosa la double standard kwanini? Yani inachekesha sana Kwenye games 2 za mwisho Yanga Vs Simba zote Yanga ameshinda Tena Kwa goli 1-0 zote hapo...
9 Reactions
9 Replies
286 Views
Wakati tukienda kupambana na hawa CD Primeiro de Agosto, niwakumbushe tu Wanasimba wenzangu kuwa wa Angola siyo watu wazuri kwetu kwani mwaka 2013 tulipigika nje ndani na Libolo ya Angola kwa...
13 Reactions
53 Replies
3K Views
  • Redirect
Mngekuwa na nia ya kufanya mazoezi mngefanya mazoezi asubuhi, mchana au jioni, maana hamna timu iliyokuwa inatumia uwanja wa taifa. Sasa saivi usiku huu, kama sio uchawi mnaenda kufanya nini...
1 Reactions
Replies
Views
Ndio, ni ligi hiihii ya futbol kwa mwaka 2024/2025. Najua wazee wa ligi watabisha. Lakini ndoivo chukua chuma hicho [kwa sauti ya zomboko].
0 Reactions
1 Replies
132 Views
  • Redirect
Ukidhubutu kucheza Betting kesho tuu. Tafuta Mechi ya Yanga na Simba Hadi Sasa Simba ana Odds 4.21 dhidi ya Yanga 2.03. Mpe Simba Ushindi. Weka 100,000/=. Inatoka 410,000/=. Au 1,000,000/=...
5 Reactions
Replies
Views
Wakuu Bado saa kadhaa kuelekea Kariakoo Derby! Mechi ya miamba wa soka la Tanzania (Yanga SC vs Simba SC) inakaribia, na Hans Rafael mchambuzi wa Soka ametengeneza muunganiko wa kikosi cha...
1 Reactions
6 Replies
313 Views
Neno nyanda ni neno la kisukuma lenye maana ya mvulana. Je, ilikuwaje likawa linatumika kama jina la mlinda-mlango kwenye mpira wa miguu?
3 Reactions
24 Replies
723 Views
Wadau hamjamboni nyote? Kichwa cha habari chahusika Nimejikalia kimyaa, hongereni watani zangu
2 Reactions
12 Replies
342 Views
  • Redirect
Tuko uwanja wa Taifa tunataka kufanya mazoezi ya mwisho uwanjani, tumezuiwa.Tafadhalini jamani
0 Reactions
Replies
Views
Yanga Princess wameibuka mabingwa wa Samia Women’s Super Cup 2025 baada ya kuichapa JKT Queens 3-0 kwenye mchezo wa fainali uliopigwa katika Uwanja wa Aga Khan. Timu hiyo ilionesha ubora wake...
4 Reactions
14 Replies
431 Views
  • Redirect
Bondia wa ngumi za kulipwa nchini Tanzania, Hassan Mwakinyo anashikiliwa na jeshi la Polisi mkoa wa Tanga, akituhumiwa kumshambulia mtu anayedaiwa kuingia katika eneo lake bila ridhaa yake...
5 Reactions
Replies
Views
Naomba mnijibie hili swali timu gani ina fans wengi worldwide maana nashindwa kuelewa nimezitaja hizi timu mbili za Spain
2 Reactions
24 Replies
459 Views
Wanasema tii sheria bila shuruti. Kutokana na tuhuma zinazomkabili msemaji wa Yanga Ali Kamwe, mashabiki wengi wa Yanga wamejitokeza kumtetea huku utetezi mkubwa ukiwa eti hakuna timu ligi kuu...
0 Reactions
4 Replies
343 Views
Sisi waafrika ndivyo tulivyo, Mwafrika anayechezea mchi ya Afrika ni tofauti na Mwafrika anayechezea timu nchi za nje. Waafrika wa huku hatuna uzalendo kabisa, ila akibadili uraia au ikiwa...
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Taarifa kutoka vyanzo vya kuaminika zinaeleza kuwa mfadhili wa klabu ya Young Africans, GSM, ameahidi bonasi ya shilingi milioni 500 endapo timu hiyo itashinda dhidi ya Simba katika mechi...
3 Reactions
18 Replies
572 Views
Golikipa wa zamani wa timu za Majimaji ya Songea, Simba Sc na Yanga Sc, Doyi Moke raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amefariki Dunia baada ya kuchomwa moto na Wananchi wenye hasira kali...
4 Reactions
45 Replies
2K Views
Back
Top Bottom