Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kwa hili walilolifanya bodi ya ligi wakiongozwa na CEO wao Kasongo, wana kila sababu ya kuachia nafasi zao kwa maslahi mapana ya mpira wetu,, kwa kweli wamedhihirisha kuwa bodi yao yote kwa ujumla...
3 Reactions
5 Replies
174 Views
Tff wanakiri kabisa kwenye barua yao ya kuhairisha mechi kua timu ya simba haikutoa taarifa kwa mamlaka yeyote ili taratibu za kikanuni zifuatwe nanukuu paragraph ya nne(4) Baada ya kupitia...
1 Reactions
5 Replies
187 Views
  • Redirect
Taarifa ya tff inawabana. hii ni hujuma na kuionea Yanga. Simba alistahili adhabu, maana amekiuka taratibu na kanuni. Tunadili hiki KIPENGELE alafu tuone nani amezingua.
1 Reactions
Replies
Views
Nimewaza sana mjue hizi Team za Kariakoo hua zinapata favor sana katika ratiba ya Ligi, Kuna mda unajiuliza hizi ni Team za Taasisi inayoongoza Mpira Nini? Hizi Team kipindi zinaelekea Derby hua...
5 Reactions
7 Replies
248 Views
Nakemea kwa kile kilichotokea na hata Simba wana haki ya kusikilizwa hoja zao. Lakini swala la kuahirisha hii mechi ni jambo ambalo limeonesha udhaifu wa kitaasisi zinazosimamia ligi ya NBC PL...
10 Reactions
33 Replies
954 Views
Ni genge la siri linaloundwa na mashabiki 12 wa timu 3 za mpira, kazi yake ni kuwaorganize mashabiki kuja uwanjani na picha za mwanasiasa fulani. Sasa wameprint picha na ujumbe wa mitano tena kwa...
2 Reactions
7 Replies
274 Views
Wakuu Yanga tayari wamewasili uwanjani benjamin mkapa, ila ndani hakuna mashabiki wametolewa. Soma, Pia Licha ya mechi kuahirishwa, Yanga watuma Kikosi chao kwa TFF wakisisitiza mchezo upo...
9 Reactions
140 Replies
4K Views
Hawa wahuni ni kundi kubwa, vijana mixer na wazee. Mzee Mpili ameonekana yupo viunga vya uwanja wa Mkapa akaitaka kuingia uwanjani ili kupata kushuhudia mchezo wao wa ligi kuu kati ya Simba...
2 Reactions
9 Replies
572 Views
Eng Hersi na bodi ya timu yetu ni viongozi makini na nawaheshimu sana Kituko cha Leo Simba kususia mechi, Naona kanuni ziko wazi na zipo upande wa Yanga Kwa vyoyote vile mechi haikupaswa...
11 Reactions
65 Replies
2K Views
Azam Media Limited (AML) inasikitishwa na tangazo la kuahirishwa kwa mechi iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu kati ya Yanga SC na Simba SC ambayo ilipaswa kufanyika leo Jumamosi Machi 8, 2025 kuanzia...
3 Reactions
11 Replies
588 Views
  • Redirect
Amani kwenu watumishi Walianza kama mzaha mzaha wakaanza kuwa wanashingilia sare, wakatoka hapo wakaanza kushangilia kufungwa magoli machache Leo hii ndo wamefikia kubaya zaid wanashingilia...
0 Reactions
Replies
Views
Katika taarifa kwa Umma waliyoitoa saa 7 na dakika 46 usiku wa 8/3/2025 klabu hiyo imesema haitoshiriki mchezo huo wa Derby uliopangwa kufanyika majira ya saa 1 usiku 8/3/2025 kutokana na...
24 Reactions
310 Replies
12K Views
  • Redirect
Wanajanvi. Leo ni siku ya wanwake duniani, matamko mengi yametolewa na viongozi mbalimbali. Yapo yaliyoandikwa na kutangazwa na mengine yamepotelea pasipo julikana. Hofu ya watawala siku ya leo...
2 Reactions
Replies
Views
Kama mmojawapo kati ya simba , yanga na TFF angekuwa na akili za kutosha haya yasingetokea. Simba: Hata kama kanuni zinaruhusu kufanya mazoezi kwenye huo uwanja ila hakukuwa na sababu yenye...
3 Reactions
3 Replies
163 Views
Haya mambo yapo jinsi yalivyo. Kama kuna kanuni ni lazima ifuatwe janja janja ni uhuni kwenye mpira. Flash back!
1 Reactions
10 Replies
453 Views
Tunajua kuwa unatumia mwanya huu kutaka kuonekana una Uchungu na Yanga SC na unaipenda (wakati si kweli kwani Wewe ni mwana Simba SC lia lia) ili Maamuzi Makali yamhusuyo Msemaji wa Yanga SC Ali...
2 Reactions
2 Replies
271 Views
  • Redirect
Kampuni ya kurusha matangazo ya Ligi kuu NBC, Azam Media wametoa taarifa ya kusikitishwa kwao kuahirishwa kwa mchezo wa Ligi Kuu NBC Tanzania Bara kati ya Yanga na Simba uliopangwa kuchezwa leo...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Bado naendelea kuwaambia kuwa Klabu ya Simba inaongozwa na Wasomi na siyo Majuha kama Klabu ya Tigo Pesa Ok?
0 Reactions
Replies
Views
Huenda waliwaambia " jamani msilete timu maana kuna fedheha ya karne"
5 Reactions
40 Replies
1K Views
Kuna jambo limenistua kidogo baada ya kusikia taarifa za bodi ya ligi kuhairisha mchezo kati ya Yanga na Simba kwa lengo la kwenda kufanyia uchunguzi madai ya Simba kuzuiliwa kuutumia uwanja wa...
2 Reactions
10 Replies
351 Views
Back
Top Bottom