Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Niwaambie tu Viongozi wa Simba mtakua na wakat Mgumu sana, ukweli ni kua Mashabiki wa Simba watawageuka vibaya Mno na vile hua hawakawii kusema muondoke muwaachie Team yao mtaona. Ombeeni Match...
6 Reactions
16 Replies
509 Views
Kiukweli ukiangalia matukio mengi ya mpira kwa Tanzania chanzo ni uongozi mbovu tunafanya mambo kwa kubembelezana sana hakuna professionalism kabisa Ligi ya series A wanaadhibu timu bila kujali...
5 Reactions
32 Replies
706 Views
Mjitahidii kulinda miguuyenu Kwa sasa mnapochexa na Simba mjue mnavhexa na BODI ya LIGI Msijisahau mkajua mnachexa na Simba mtaliwa kiboga mapemaa Otherwise all dbest
2 Reactions
0 Replies
109 Views
Nasikia kuna Katibu kanaitwa tma YAAN kangejua Refa ameshapewa matokeo mapema na BODI ya LIGI HATA wasingeingia uwanjani Kifupi mnaoenda kuchexa na Simba Mjuee mnapambana na BODI ya LIGI Muwe...
0 Reactions
0 Replies
212 Views
BODI hii imejaa wahuni sana sana sijui tunaelekea wapi. Hawa jamaa ukisoma barua zao wanasema wamehairisha kwa sababu ya uchunguzi. Hapohapo wanasema watatangaza siku nyingine ya marudiano. Kama...
2 Reactions
4 Replies
197 Views
Tusichoshane sana hapa bali kwa anayetaka Kuusikia huu UKWELI MCHUNGU wa Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano Azam FC Zaka Za Kazi aende Wasafi Fm na atamsikia kwani ameelezea Kiundani kabisa...
0 Reactions
2 Replies
348 Views
If you know,you know 😂
2 Reactions
31 Replies
929 Views
Kwa kweli Mimi ni mwanasimba kindaki ndaki lakini nimesikitishwa na timu yangu kuja usiku wa manane kuja kufanya mazoezi ya mwisho huku ikaza busi la wazee ( vigagua) idadi inayozidi wachezaji...
10 Reactions
68 Replies
1K Views
ANGALIZO KALI Huu uzi wala hauhusiani na jambo lolote lile ambalo labda unalihisi, bali nimeamua tu Kuandika nikimaanisha vingine!!!!
0 Reactions
14 Replies
784 Views
Wakuu, Hivi tukisema kwamba CCM wameanza kampeni kuelekea Uchaguzi mkuu nitakuwa nimekosea. Naanza kuamini kuna watu ambao wanajifanyia tu vitu wakidhani wanamsaidia Rais lakini kumbe...
0 Reactions
3 Replies
267 Views
Nkauliza tu Kama huyu mtu engn n member WA BODI ya LIGI Kama ndio Anasubiri nn kujitoa kuwachana na wale
0 Reactions
11 Replies
282 Views
Najua kuna wachambuzi wengi hapa na wengine kwenye media wanavojua kuchambua Simba na Yanga. Ila yote kwa yote ni kwamba Simba na Yanga jengeni viwanja vyenu, mnatia aibu kwa club kongwe ambazo...
3 Reactions
40 Replies
484 Views
WATANZANIA Pamoja na kushikwa na taharuki ya mliyoyafanya Basi NENDEN kwenye press Ombeen radhi kwa wananchi wote kwa upuuzi wenu Hakuna aliefurahia hata mmojaa Tulitarajia pamoja na...
0 Reactions
4 Replies
137 Views
Baada ya Mashabiki wengi wa soka kuumizwa na usitishwaji wa derby wamekuwa wakitaka kujua, Je hata kama simba angekuwa alikosewa kikanuni, tukio hilo linampa fursa ya kugomea mchezo! JIBU NI...
0 Reactions
3 Replies
187 Views
Klabu ya Yanga iliwafuata wapinzani wao wa jadi, Simba SC, huko Bunju kwa ajili ya kuhakikisha mechi yao inachezwa. Hata hivyo, badala ya msafara mzito, ni dereva na watu wachache tu waliofika...
7 Reactions
78 Replies
3K Views
Habari zenu wadau wa michezo. Kwa ukweli nimeghadhibika na kauli ya afisa habari wa timu yangu ya SIMBA sc kwa kupost katika mtandao wa Instagram juu ya hii kadhia iliyotokea jana na anaonekana...
1 Reactions
11 Replies
453 Views
1. Ili mpewe Alama (Points) Tatu za bwerere mnazozitaka Kikanuni kulipaswa Kwanza kuwe na tukio gani Kikanuni? 2. Aliyesababisha Mchezo kutochezwa ni Klabu ya Simba au ni Bodi ya Ligi chini ya...
12 Reactions
52 Replies
1K Views
Hii bodi ya ligi inavyoonekana Ina wajumbe wengi ambao ni mashabiki na wanazi wa simba kitendo kilichopelekea kuelemewa na mahaba zaidi kutoa maamuzi ya ovyo kuliko kufata Sheria na kanuni...
9 Reactions
39 Replies
1K Views
Watu wanadai pwenti 3 za bure wakati hata wao hawajafuata taratibu zinazoweza kuwapa nguvu ya kudai hizo pwenti tatu. Tuachilie mbali tukio la kuvunja kanuni kwa kuzuia mpinzani wake asifanye...
3 Reactions
17 Replies
389 Views
Wachezaji wawili wa Liverpool, Mohamed Salah “Mo Salah” na Trent Alexander-Arnold wameonekana wakirushiana maneno hali iliyofanya wenzao kadhaa kuingilia kati na kuwatenganisha wakati...
1 Reactions
3 Replies
620 Views
Back
Top Bottom