Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kuna dalili Kuwa Yanga ikaenda kupasuka pasuka , hii n baada ya Video iliyorekodiwa na Nugazi na mashabiki wa Yanga. Video hyo inasikika sauti ikidai kuwa Msukule wa Simba wamemchukua ( Ifahamike...
8 Reactions
62 Replies
11K Views
Hili jambo halikubaliki na likemewe kwa nguvu zote na TFF na mamlaka zingine , michezo ndio eneo pekee linalokutanisha wananchi wote na wenye itikadi tofauti , kuingiza siasa za ccm ni kuleta...
11 Reactions
39 Replies
4K Views
Najua nitashambuliwa kwasababu watanzania hatupendi kuambizana ukweli, hata uone mapungufu ya wazi kabisa tuko radhi tukayaseme pembeni au kukaa nayo kimya. Kwanza nampongeza alipofika na...
63 Reactions
274 Replies
29K Views
Ukimfuatilia kwa karibu utagundua huyu ni aina ya kocha ambaye timu ya Arsenal inamhitaji, kwa sasa anafundisha timu ya Wolves.
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Ukiachana na kujaza uwanja mengine yote na kila kitu kilidoda. Kwenye pitch walicheza mechi 3,mbili wakachezea kichapo na moja ndoo Kwenye burudani kulikuwa na Koffi mambo aliyofanya ni aibu ya...
3 Reactions
29 Replies
3K Views
Ki ukweli ndugu yetu huyu tunamtetea tu, lakini uwezo wake hauridhishi. Na sio mchezaji wa kwanza kutoka Genk kwenda EPL na kukutana na changamoto anazokutana nazo yeye. Kuna mtu anaitwa Kevin De...
16 Reactions
37 Replies
5K Views
Jamaa muda huu yupo live kwenye kipindi cha michezo cha Sports Extra ya Clouds Fm, anaulizwa maswali anajibu kwa majivuno na kebehi sana! Mojawapo ya swali aliulizwa, Mwandishi: watu na...
8 Reactions
44 Replies
4K Views
Wadau muda si mrefu Yanga watamtangaz Mbatha Senzo kama Interim CEO wa Yanga. Hapa kuna maswali mengi ya kujiuliza. Kama CEO je ana report kwa Nani? Kama ana report kwa GSM, Kwani GSM...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Leo hii Msemaji wa Club ya Yanga Ndg. Haji Manara ali maarufu Msukule au Miss Buzza alikuwa amealikwa kwenye kipindi cha joto la asubuhi kinachaandaliwa na Gerald Hando kupitia redio EfM. Mpaka...
6 Reactions
24 Replies
3K Views
"Nimenusurika katika Ajali mbaya baada ya Gari yangu Kugongwa vibaya Usiku wa Jana", Haji Manara. === HAJI Manara amepata ajali usiku wa kuamkia leo baada ya gari lake kugongwa na kuharibika...
6 Reactions
98 Replies
12K Views
Yaani kweli mlishindwana 15 millions tu kuongezea iwe 50 millions waliyotaka kagera sugar? mbona kuna wakati magarasa ya nje ya nchi yanalipiwa hadi milioni 80? huyo kijana sasa kakosa kibali...
5 Reactions
38 Replies
3K Views
Mwaka huu yanga watachukuwa kombe la afrika najua kuna watakao bisha but this is the trueth na ninafikiri wengine watanitukana na kusema ninaota na wengine watajiuliza eti kwani itawezekanaje...
7 Reactions
33 Replies
2K Views
Baada ya kuwepo sintofahamu kuhusu usajili wa mshambuliaji nyota wa Kitanzania, Yusuf Mhilu hatimaye klabu yake imetoa baraka kwa mchezaji huyo. Mhilu alitambulishwa Simba Agosti 4 mwaka huu kuwa...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi huku kujitambulisha kwa Club zetu kubwa za michezo kama SC wakati unawaona ni FC , ili hali hatusikii sports zingine ndani yake kuna maana gani? Au wana timu za Boxing, Netball, Basket ball...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Mlikuwa mnamdanganya Nani? Vaeni hizo jezi Milioni moja SASA mlizonunua, Asilimia kubwa mmevaa Old model, au walionunua jezi hawajaja Uwanjani? Wamenunua jezi halafu wakaziacha nyumbni, hlf...
11 Reactions
61 Replies
5K Views
App ya simba iliyozinduliwa juzi mbona haifunguki au kuna namna ya kuifungua. Tafadhari mulioifungua tupeni njia.
1 Reactions
27 Replies
4K Views
Tukiwa tunaenda ukingoni kabisa mwa career za soka za Messi na Ronaldo, hawa jamaa hakuna tunachowadai tena, ila tumalize utata ulimkubali nani zaidi katika wakati wakiwa katika ubora wao? Mimi...
3 Reactions
38 Replies
3K Views
Ukiangalia magoli yote aliyofungwa ni mipira ambayo golikipa wa kiwango cha kawaida kabisa asingefungwa. Goli la kwanza alishindwa kuinuka haraka na kujiposition kitendo ambacho siyo kizuri kwa...
12 Reactions
60 Replies
6K Views
JICHO LA MWEWE: Haji Manara ni ‘Malaika au Shetani’? By Edo Kumwembe HAJI Manara anaingia katika rekodi ya aina yake nchini. Rekodi ambayo unaweza kuiweka katika kitabu cha rekodi ya maajabu ya...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Nimekuwa nikifuatilia mhamasishaji wa timu moja aliyepachikwa jina na waajiri wake la msukule kila mara akipost kuwa eti ana furaha. Kwa ujumla mtu mwenye kitu huwa mara chache sana kujaribu...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom