Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kama umepata bahati ya kumsikiliza Haji Manara leo, ukaweka mahaba pembeni lazima utakubaliananae kuwa kuna mahala hapako sawa ndani ya Club ya Simba. Lengo la Haji halikuwa kuibomoa Simba, na...
6 Reactions
16 Replies
2K Views
Waswahili wana usemi '"Jasiri haachi asili" hivyo wanachopitia Simba kwa sasa kupitia aliyekuwa anafanya kazi hapo ni fundisho tosha kuwa mkae nae kwa tahadhari kwani si Mtu wa staha. Mtu aliye...
13 Reactions
44 Replies
3K Views
Tangazo la Barcelona kwamba mshambuliaji wa Argentina Lionel Messi, 34, hatabakia kwenye klabu hiyo ''limefungua mlango wa uhamisho wa kushtua " katika Manchester City. (Manchester Evening...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Alianza mzee mzima Hamis Kilomoni a.k.a HK akamsumbua Mwamedi mpaka akatamani kukimbia mji 😄😄😄 Juzi tena Hamis Kigwangalla a.k.a HK nae kalianzisha had Mwamedi akatamani kujitoa kuifadhili Simba...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
TAARIFA YA MCHAKATO WA SIMBA KWENDA KWENYEMABADILIKO. - Tume ya Ushindani (FCC) haihusiki na ucheleweshwaji wa mchakato wa Mabadiliko ndani ya Klabu ya Simba SC kama ilivyoelezwa na...
7 Reactions
131 Replies
12K Views
Mumfuate anakoenda. Simba ni kubwa sana. Manara alikuwa mtu mdogo aliyekuzwa na Simba na baadaye akadhani yeye ni Simba pia. Mimi sikuwa napenda aina ya usemaji wake muda mrefu sana. Nlikuwa...
12 Reactions
13 Replies
1K Views
Klabu ya Yanga imefanikiwa kumsainisha beki Djuma Shabani akiwa mchezaji huru Kwa mkataba wa miaka miwili. Kulikuwa na tetesi kuwa huenda Djuma Shabani asingekamilisha dili hilo na badala yake...
4 Reactions
14 Replies
4K Views
Mimi ni mmoja wa watu ninaokubali kabisa kuwa Manara alikuwa 'very unprofessional' mara nyingi sana. Na hata hiyo nafasi nimewahi Shauri Sana atolewe ..yeye na Jerry Muro niliwahi shauri watolewe...
53 Reactions
160 Replies
11K Views
Juzi Kati Kwenye akaunti ya twitter Kigwangalla alionekana akiwanadi ng'ombe wake Kabla ya hapo alionekana jimboni kwake akigawa pikipiki kitu ambacho hajawahi kufanya kwa miaka ya nyuma kabla ya...
24 Reactions
294 Replies
29K Views
Kauli za Waandishi wa Habari Haji Manara alipokuwa Msemaji wa Simba SC "Haji Manara ajirekebishe kwani tumeshamchoka na Vitendo vyake vya Kutudhalilisha huku akituita baadhi yetu ni Takataka...
8 Reactions
29 Replies
3K Views
Wapenzi na mashabiki wa Simba wameridhia Mo kumiliki timu ilimradi wanapata furaha na makombe hawatarajii na hawategemei kama Simba itakuja kushindwa sidhani kama wataweza kumvumilia pale mambo...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wasalaam, Ndugu wanajf naomba kupata updates za kombe la Kagame huko linavyoendelea na nikiwa shabiki lialia wa Yanga naomba matokea bila kufichwa!! Nasubiria na updates za usajili kutoka club...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Leo Haji Manara kamshukia sana Mo Dewji akimtuhumu kuuonea wivu ubalozi wake aliopewa na Azam company. Siwezi sema ni ukweli au uongo ila nilichosikitika ni azam tv kurusha tukio hilo wakiwa na...
5 Reactions
39 Replies
5K Views
Mahakama Kuu ya Tanzania imesitisha Uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) na kuwaita Rais wa TFF, Wallace Karia, Bodi ya Wadhamini & Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi, kujibu hoja...
7 Reactions
110 Replies
10K Views
Simba wanatoa mkeka,uto nao wanajaribu kuzima moto wa umeme kwa maji
4 Reactions
25 Replies
3K Views
Wale wanaofatilia Olympics wataona kuna nchi kama Bahamas ina Wanamichezo wengi kwenye hii Olympics kuliko sisi. Cha ajabu idadi ya watu huko Bahamas ni laki tatu tu. Sisi wenye milioni 60...
24 Reactions
62 Replies
4K Views
Nashangazwa tu na kiasi hicho maana mkataba hapo wazi kama ule wa Azam. Kwa miaka jumla ya thamani ya mkataba ni Bill 3.5 ukigawanya kwa miaka kumi ni Mill 350, hii ni kila mwaka. Million 350...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Olympics ya mwaka huu nimeona Black Japanese...naona watu weusi hii sector ya michezo hatuna mpinzani.. Aibu ni Sisi Tu watanzania...hakuna hata Mtanzania wa nchi nyingine kweli? Yaani kuna...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Yaani nyie watu aliyewaita mambumbumbu anawafahamu vzr sana, maana mnadhani kwa kushinda mechi moja ndiyo tayari mmeshakuwa mabingwa. Hata kama mnaulimbukeni wa kombe la ligi kuu lkn si kwa...
14 Reactions
124 Replies
9K Views
Leo sauti za mitandao yote ni mo mo mo! Mo sasa itakuwa mee! Heri ya wale omba omba kule mtaa wapili walishajizoelea! Sasa nyinyi wanaume mtaa ule wa mo mmening'iniza mipu....bu yenu kazi yenu...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Back
Top Bottom