Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Qatar confirms Lionel Messi is signing for PSG 10 hours ago / autty Developments regarding Lionel Messi's immediate future are coming quicker than anyone expected, and after Barcelona announced he...
4 Reactions
25 Replies
4K Views
Press yake ya leo ni ya "Kimkakati' ya Kuichafua Klabu ya Simba baada ya Kutumwa na Maadui zetu wakubwa wa Jangwani na Chamanzi. Nimemsikiliza Hoja zake zote na hakuna jipya sana sana...
28 Reactions
171 Replies
14K Views
Habari. Kuna mambo yanatokea katika hili shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) yanabaki kushangaza umma kwa aibu. Sasa yanafanya mtu kujaribu kufatilia watu waliopo kwenye uongozi kufahamu...
4 Reactions
39 Replies
7K Views
Sergio Kun Aguero [emoji1033] amekamilisha usajili wake kujiunga na FC Barcelona baada ya kumaliza vipimo vya afya hivi leo, jumatatu 31 2021. Aguero [emoji1033] (32) amesaini mkataba wa miaka...
6 Reactions
20 Replies
2K Views
saa 6 na nusu usiku wa manane. marathon mita 42000 inaendelea. nataka kufahamu kama kuna mkimbiaji kutoka Tanzania maana nimechungulia mpaka nimechoka simuoni.
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Mwezi Mei mwaka huu mchezaji wa timu ya taifa ya Gabon, Ganga Kiaku alitakiwa kukutana na kamati ya nidhamu ya CAF kutoa maelezo ya kwa nini mama yake alifariki mwaka 1986 lakini yeye akazaliwa...
21 Reactions
41 Replies
6K Views
Kanjibahi ni mkiritimba kinoma aisee! Kumbe bhana aliwaforce key players wa Simba wamposti na kumpongeza kwa lengo la kuonekana kama ni mtu muhimu sana kwenye simba. Jamaa aliwahadaa sana watu...
10 Reactions
23 Replies
2K Views
Jamani najaribu kuwa Devil's Advocate kwenye hii Saga ya Manara VS Mo/Barbara/Simba Nitaenda kwenye kupande ambao Manara ana claim Simba inanyonywa na Mo, kuwa kusema Mo anasema hapati faida ni...
8 Reactions
18 Replies
2K Views
Mo anawapelekea sana moto simba. Ni kama vile ana 100% ya hisa. Naona hata Luis Miquisson kauzwa kwasababu ya MO kuridhia na si vinginevyo, Hivi kweli mchezaji kama Luis ni wa kuuzwa kweli...
6 Reactions
96 Replies
6K Views
Simba ilikuwepo kabla ya MO na itaendelea kuwepo baada ya MO, lakini si vibaya tukajimbusha wachezaji waliokuwepo ndani ya simba ambao walikuja kwa mbwembwe lakini ukweli ni kuwa tuliwakusanya kwa...
4 Reactions
35 Replies
3K Views
Wakuu Habari zenu. Haji manara ameondoka sawa ,ila tuwe wa Kweli Uongozi wa simba unashida mahali unafanya mambo mengi kiswahili sana. Haji manara mwaka wa 6 yupo simba hajawahi kupewa mkataba...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Soka letu la Tanzania bara (Tanganyika) linahitaji uwekezaji (wawekezaji). Ila mwekezaji kama Mohammed Dewji (Mo Dewji) hawatakiwi kabisa kwenye soka letu, hawafai wanatufedhehesha sana. Kwa...
1 Reactions
12 Replies
831 Views
Kimeanza kunuka huku [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kuna comment moja nlisema huyu pimbi ataanikwa soon!! Mambo ndio yanatokota na wote mtabaki vivywa wazi. Ile kashfa ulipewa na...
3 Reactions
104 Replies
6K Views
TBC na TFF wameingia makubaliano yenye thamani ya Tshs 3.5bilioni ambapo TBC watakuwa na haki xa kutangaza mpira wa ligi kuu kwa upande wa Redio. Makubaliano hayo yatakuwa no kwa miaaka 10 ambapo...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Makocha wawili wa Belarus wameondolewa Vibali vya Olimpiki kufuatia madai ya kujaribu kumlazimisha Mwanariadha kuondoka kwenye Michuano inayoendelea Tokyo Nchini Japan Kamati ya Kimataifa ya...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Dah inatisha kwa kweli wanachambua mshahara wa Messi kuna jamaa anasema kwamba mshahara wa mwezi wa Messi una finance bajeti ya nchi ya Tanzania, dah nimejisikia hata kulia inakuwaje watu ma...
7 Reactions
30 Replies
3K Views
Kwa kifupi sana ,niende kwa mada, Mimi namkubali Mh. Kigwa na kwa hili la Mo na Simba SC na bilioni zetu 20, kuna mambo ambayo ukimsikiza Mo ktk interview zake utagundua kwamba hapendi kuhojiwa...
11 Reactions
46 Replies
5K Views
Toka jana kumekuwa na Mjadala mzito sana kuhusiana na Bil. 20 ambazo MO alitakiwa awe amezitoa tokana na kuchukua 49% ya hisa za Simba lakini hili Jambo SIASA imetawalaa kuliko uhalisiaa na ndo...
11 Reactions
62 Replies
5K Views
Kocha mashuhuri nchini bwana Hassan Banyai amefariki dunia leo. Enzi za uhai wake alikuwa ni miongoni mwa makocha waliopandisha timu nyingi daraja kama vile Mwadui na Njombe mji. Pia amewahi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Club ya Simba imepafanikiwa kumnasa kinda wa timu ya Nyssa big bullet ya nothing Malawi [emoji1156] kwa mkataba wa miaka mitatu. Dili hilo limefanikishwa na Hans Pope Zakaria aliyetua Malawi...
5 Reactions
67 Replies
12K Views
Back
Top Bottom