Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kuna kitu kinaitwa "conflict of interest" Je, inaswihi kwa Haji ambae Boss wake Mo ana biashara ya Maji na wakati huohuo Haji kwenda kutangaza biashara ya Maji kwa Azam? Mo ana maji ya masafi na...
4 Reactions
63 Replies
7K Views
Heshima kwenu wakuu... Moja kwa moja niingie kwenye mada husika. Kumekuwa na mkanganyiko kati ya uwekezaji uliofanywa na Mo pale Simba na udhamini uliofanywa na Azam kwa wanandinga wa Jangwani...
9 Reactions
34 Replies
4K Views
Hoja ya Manara inajionyesha kabisa azam wa mission maana kama hawana huwezi kurusha matangazo bure 1hr na dk26 hivi hivi. Azam wanatamani sana wapate pia mkataba wa Simba na Azam. Sasa wanamtumia...
10 Reactions
26 Replies
3K Views
Kuingia mkataba mrefu wa miaka 10 na Taasisi moja tena Taasisi yenyewe kama TBC, ambayo siku yoyote yaweza kukatisha matangazo ya soka kwa vile kuna kiongozi anazindua vyoo vya Stendi lazima...
14 Reactions
22 Replies
3K Views
Ni swali tu nauliza? Nakumbuka tukiwa wadogo tulikuwa na wakimbiaji lakini siku hizi ni Kenya, Uganda na Ethiopia....
0 Reactions
3 Replies
811 Views
Ukiangalia kwa makini kwenye huu ukanda wetu wa Afrika Mashariki na KATI na hata Afrika kwa ujumla wake, soka linaendeshwa sana sana na Taasisi za Serikali, watu binafsi wenye hela na makampuni...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Ninaamini wengi mnakumbuka huyu bwana aliwahi kujaribu kumiliki hizi timu, lakini mpaka Leo nafikiri kilichomfanya akazitema kwa asilimia kubwa ni kutompa faida aliyokuwa anaitaka na aliona fursa...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Ukweli anachokifanya Moo ni kuhakikisha watu ambao wanaweza leta upinzani wa yeye kufanya maamuzi ndani ya Simba waondoke wabaki mafala ambao kila anachosema wanaitika yes Nkwambi alihoji moo...
16 Reactions
33 Replies
2K Views
Katika mwendelezo wa tabia ya timu utapu tapu aka watupolo,leo mwamuzi amelalamikia eti kanyimwa penalty tano!Ajabu mchezo tumeangalia wote lakini yeye pekee ndiye kaona hizo penalties!! Hawa ni...
3 Reactions
5 Replies
668 Views
"If you have chance to seek revange:Forgive" Kupitia social platform yake hiyo ni kuhusiana na manara
2 Reactions
31 Replies
3K Views
Ni taarifa ambayo bado ya moto moto kabisa ya kama dakika 15 tu zilizopita Tumekuvumilia mara nyingi sana lakini kwa sasa uvumilivu umetushinda, Kwanini kila siku ni ww tu kuiongopea Simba mambo...
14 Reactions
441 Replies
48K Views
Wakuu Kuna Voice Note inatembea Mitandaoni Ambayo Ni Msemaji Wa Simba SC akiwatukana Waandishi Wa Habari Za Michezo Kwamba Ni Wanafiki Na Takataka Tu Na Hakuna Wa Kumfanyia Lolote, Kimsingi...
6 Reactions
97 Replies
12K Views
Mashindano ya CAF na yale ya FIFA waamuzi wetu wa soka huwa hawachaguliwi kuchezesha mechi. Je, kwenye haya mashindano ya CECAFA yanayofanyika nchini wamebahatika?
0 Reactions
5 Replies
944 Views
Ukitafakari sana mambo ya yanga yanaumiza sana. Mpaka lini itakuwa kichwa mwendawazimu? Huyu Ajib safari ndiyo atajituma kikamilifu kuliko nyakati za nyuma,viongozi was yanga kimewavutia nini kwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hizi tabia za kitanzania na za kihuni kuwa huwezi ondoka kwenye taasisi kimya bila kusema mabaya ni malezi ya ajabu sana. Mimi ni mwana yanga kindakindaki lakini alchofanya manara na alichofanya...
7 Reactions
9 Replies
1K Views
Kupitia ukurasa wake wa twita, Zitto Kabwe ameomba Klabu ya Simba iweke wazi mchakato mzima wa kumpata mtengeza jezi aliyeshinda Ndugu Fred Vunjabei. My take: Namuunga mkono Zitto kwenye hili...
2 Reactions
34 Replies
3K Views
Salaam. Kufuatia usajili uliofanywa na Simba SC wa kumchukua winga fundi toka Malawi, Banda, naziona siku za Miq kuendelea kubakia Msimbazi zimefika mwisho. Tetesi zinasema Simba SC...
6 Reactions
23 Replies
3K Views
Manara kaua leo kwamba kumbe wataniz etu walishaingia nkataba na Azam TV wa pesa kiduchu mil 380 kwa mwaka halafu wanajishaua kuuponda nkataba wa Yanga Afrika na Azam
6 Reactions
9 Replies
1K Views
Baada ya kurudi kazini uongozi wa Simba, uliokuwa bize kwa ajili ya fainali kombe la Shirikisho (ASFC) na kubeba taji hilo mbele ya Yanga wamekutana na email iliyotoka Al Ahly ambayo imeeleza...
11 Reactions
26 Replies
4K Views
Namaanisha kuwa simba ni Timu kubwa kubwa tena kubwa Sana Kama mafanikio yalianza kuwa zamanii Mashabiki wa simba wanahitaji Timu nzuri wachezaji wazuri na vikombe vingi Simba ilishafanikiwa...
5 Reactions
8 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…