Nimeangalia ligi kuu ya Tanzania muda mrefu sana lakini hadi sasa hakuna timu iliyofikia kiwango cha uchezaji mpira wa kuvutia kama walivyokuwa pamba ya mwanza tp lindanda ya miaka ya 1990's ,ni...
Siku ya kutamatisha ligi kama jinsi ilivyo leo kwenye ligi yetu ya VPL mechi hua nyingi na kupelekea hata chanel zisizo za michezo kuonesha mechi.
Leo zipo mechi 6 na kwa kawaida mechi huwekwa...
Hongereni Wana msimbazi na wapenzi wa kabumbu wote " nipo katika kibanda umiza hapa tunaomba wajuzi wa mambo mtupe usahii " Ikiwa Yanga Sc atabeba kombe la FA atatakiwa kucheza Shirikisho kama...
Baada ya GSM kushusha Bus aina ya Scania, klabu ya Yanga imeingia kwenye orodha ya klabu zinazotumia mabasi aina ya Scannia duniani
Basi hilo ambalo tayari limetoka bandarini, ni aina ya SCANIA...
Klabu kongwe ya Young Africans Sports Club leo inaingia mkataba na Azam Media utakaogharimu jumla ya shilingi Bilioni 34.8 (Bilioni 41 with VAT). Mkataba huu utadumu kwa miaka kumi(10) na...
Nime angalia mechi walio cheza Jana na Azam, Simba bado wana tatizo lilelile hawajajirekebisha, mimi sio mtaalamu wa mchezo wa mpira lakini kwa mtazamo wangu wa kawaida Simba inakosa mbinu...
Wakuu najuwa tu, huenda baadhi yetu mkaona uzi huu hapa nimeuvuta kiushabiki, la hasha! ila ni kwa kuzingatia usalama wa wachezaji na viongozi wa yanga, kutokana na jinsi Gari za kichina...
Timu ya Al Ahly imefanikiwa kutwaa taji la CAF Champions league baada ya kuifunga Zamalek magoli mawili kwa moja.
Ahly walipata magoli yao kupitia kwa Al sulaya 5" na Kafsha 86". Goli pekee la...
Rais wa Shirikisho la Kimatiafa la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), Gianni Infantino ameipongeza timu ya Simba kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa msimu wa 2020/2021.
Katika barua yake...
Mapema mwaka huu wakati wa Tulia Marathon, John Bayo alialika raia wa Kenya kinyume cha utaratibu kwa kuandika barua kwenda Athletics Kenya aki-forge sahihi ya aliekua Kaimu Katibu Mkuu wa RT Bi...
UTANGULIZI
Hakika katika msimu huu ukiondoa matokeo mbalimbali na mafaniko waliyo yapata Klubu ya Simba na mwenendo mzima wa ligi kuu bara basi moja ya jambo ambalo limeshika sana katika vichwa...
Katika kampuni ninazoziona hazijali hadhi ya mteja ni Tata.
Mabasi yao ni kama yametengenezwa VETA na wale vijana walioanza kujifunza kuunda mabodi.
Haya mabus hata ukilinganisha na coaster...
Nipende kutoa pole zangu za dhati kwa Watanzania wote pamoja na Waafrika kwa kupoteza Kiongozi jasiri na shupavu, Hayati Dk. John Pombe Joseph Magufuli ambaye alikuwa ni Rais wa Tanzania awamu ya...
Yajayo yanafurahisha,
Lapulga amekubali kupunguza mshahara wake kwa 50% na kuamua kubakia ktk klabu yake alioanza kuitumikia tangu akiwa na umri wa miaka 13.
Griezman anarudi Atletico Madrid wao...
Jamaa aliejulikana kama "The greatest seducer of Men". Rais wa Real Madrid sasa naona ana bonge la kashfa. Audio leaks za mazungumzo yake na mtu aliemrekodi zinaachiwa.
Hadi sasa kawatukana...
Kama unafatilia haya mambo utakumbuka miezi michache iloyopita Mo ali weka post huko Twitter ya Manchester united kupewa mamia ya mabilioni kwajili ya haki miliki za matangazo, ni kwamba hii ishu...
Hiyo ni baada ya kuifunga Brazil kwenye final ya Copa America kwenye dimba la Maracana. Messi hapo kabla alikuwa hajawahi kushinda kombe lolote akiwa na timu yake ya taifa. Goli pekee la Argentina...
Ligi Kuu Tanzania Bara kuendelea kupigwa leo kwa Viwanja tofauti, huku gumzo likiwa kwenye Uwanja wa Chamazi Complex ambapo Azam FC wanawakabili Simba SC.
Kocha Msaidizi wa Azam FC, Vivier Bahati...