Toka sekeseke la kuvurugika kwa mchezo wa watani wa Jadi,Wizara ya michezo imekuwa bubu licha ya TFF kueleza kuwa ilipokea maelekezo ya kubadilisha muda toka Wizarani. Kuna usemi kwamba "If you...
Kwanza niwasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Kazi iendelee
Ili mchezo wowote uendelee na kuwa sawa kunakuwa na kanuni mama za kuongoza mchezo huo, kwa manufaa ya wasimamizi na...
Wazo la kuahirishwa kwa mechi bila shaka limetolewa na msomi wa chuo kikuu aloyeaminiwa kupewa kazi kwa usomi wake.Huyu hakuangalia maslahi ya washabiki amabao tangu saa moja asubuhi wameingia...
Timu ya Yanga baada yakugomea muda wa mechi na hatimaye kuagirishwa Simba imenufaika kuahirishwa kwa mechi hiyo.
Kwani mpaka kuja kukutana na Yanga tena Simba itakuwa imeshapunguza idadi ya...
Tunaweza tusikichukulie kwa jicho la tatu ila kitendo kilichofanywa na yanga ni cha kishujaa na manufaa makubwa ya soka letu. Kama hii mechi ingechezwa leo saa 1 usiku basi tayari ndio ingekuwa...
Kwa sisi Young Africans tumewaachia tuone huo mtanange wa saa moja kati ya Simba Sc Vs TFF.
Mechi na imani watani zangu wataicheza vizuri huku kukiwa na mgeni rasmi ila sisi wananchi tutakuwa...
Kupitia tukio la leo la mechi ya Yanga na Simba nimejifunza kitu,
HEBU TAZAMA;
1.Wasanii wa muziki wanalalamikia BASATA
2.Wasanii wa Filamu wanalamikia bodi ya filamu
3.Mpira wa miguu tatizo...
Wakuu poleni kwa taharuki ya leo ya mechi ya watani wa jadi YANGA NA SIMBA kuahirishwa na TFF bila kufuatwa kwa kanuni na pengine mbaya zaidi bila hata sababu kwa wadau wote wa soka na wananchi...
Binafsi mimi erythrocyte nachukua nafasi hii kumtangaza ndugu Wallace Karia, mtu aliyeingia madarakani kwa mgongo wa Malinzi kama adui wa taifa aliyedhamiria kuua soka la Tanzania kwa sababu...
Habar wadau
Kila kona ni malalamiko leo mikeka imechanika na mbaya zaid game ya simba vs yanga imepigwa chin na kiingilio ushalipia toka saa 2 asubuh watu wapo uwanjan wakasema saa 1 gafla...
Tumekuwa tukililia utawala wa sheria lakini napata fikra kwamba tafsiri yake tunaifinya sana kwa kuangalia tunayopenda kuyaona au kuyasikia.
TFF wameweka kanuni tena inayotoa muda wa chini kwa...
Kufuatia sintofahamu ya mechi ya Simba kuahirishwa na Bodi ya Ligi, nashauri hela zote zilizokusanywa zichukuliwe na Serikali na ziwekwe kwenye budget ya huduma za kijamii. Kuwaachia hela hizo TFF...
Anaandika @exaud_msaka_habari
Kuna watu wanauliza kwanini Mechi ya Yanga na Azam hakukuwa na Migomo? Huo ni muendelezo wa kuhalalisha kosa kwa kosa lingine
Juzi tu hapo Biashara wamesafiri usiku...
Yanga waondoka rasmi uwanja Wa mkapa , wakigomea mabadiliko ya muda Wa mchezo wao uliotakiwa kuchezwa Leo saa 11 jioni na kupelekwa mbele saa 1 jioni
Wachezaji na viongozi wao wote wameondoka .
Wizara ya habari na utamaduni kwa kushirikiana na TFF kupitia Bodi ya ligi Tanzania wanatakiwa kujipima kwamba bado wanastahili kusimamia michezo hasa Mpira kwa kipindi hiki na kuendelea?
Weledi...
Tff kabla ya yote nadhani waanze kumfikiria ndugu yetu huyu aliyeingia jijini leo baada ya safari ndefu anaishije mjini hapa na anarudi rudi je Kgm?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kwa upuuzi uliofanyika leo, mashabiki tususie mechi zote za timu za taifa ili Wizara ya Michezo na TFF wawe wanaenda viwanjani wao kushangilia hizo timu.
Kwa jambo lililotokea leo ni kutudharau...