Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Viongozi wetu wakuu nchini ni wapenzi wa waziwazi wa simba na yanga. Mfano, Mheshimiwa Makamu wa Rais na waziri wa fedha ni shabiki lialia wa Yanga, Waziri Mkuu na Spika ni mashabiki lialia wa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwasasa anakipiga Fc Groningen (Netherlands) Tuambie ni Nani Kama umemtambua..[emoji116]
0 Reactions
2 Replies
777 Views
Habari. Hadi sasa baada ya kutangazwa kuahirishwa kwa mechi kati ya Simba Sc Vs Young Africans. Police wanatumia mabomu ya machozi kutawanya watu. Kwa aliye na ndugu jamaa na rafiki hakika huku...
5 Reactions
48 Replies
5K Views
Sioni sababu ya mashabiki kulia lia. Mchezo una matokeo manne, kushinda, kushindwa, kutoshana nguvu ama kuahirishwa kwa mchezo. Sidhani kama kuna sababu ya kumwajibisha yeyote kwa kilichotokea...
0 Reactions
2 Replies
822 Views
Mlitaka kumfurahisha mama kwa kusogeza mechi mbele ili watu waangalie uzinduzi wa kitabu cha Mwinyi pia kumpa mama nafasi ili aje uwanjani. Kiki hii iligonga mwamba. Kiki ya pili mnataka kuwapa...
8 Reactions
39 Replies
3K Views
[emoji724]Mods msiunge uzi🛇 Kama tunavyojua ni muda wa wiki kadhaa sasa kumekuwa na vuguvugu la pambano la mpira wa miguu kati ya watani wa jadi Simba na Yanga almaarufu kama Kariakoo Derby...
8 Reactions
94 Replies
6K Views
Acha na stori za Yanga na serikali ya kiujanja-ujanja. Twende tumzungumzie mpinzani wa Simba Sc robo fainali. Hii timu ina hali ngumu sana na kuna kila dalili za kucheza playoff ili ibaki ligi...
4 Reactions
8 Replies
2K Views
Ameandika hHaji Manara Kabla ya jambo lolote lile kuendelea iundwe Kamati ya kibunge ijiridhishe kuhusu jambo liliotokea leo,ambalo limeacha maumivu makubwa Kwa Washabiki wa soka nchini zaidi...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Kufuatia sakata la jana, ni wazi Waziri wa Michezo aliyepo"ametuzingua sana". Na hivyo kwakuwa katuzingua Watanzania ni sawa na kumzingua Rais, tunategemea muda wowote ataachia ngazi kuonyesha...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
1. Kulikuwa na Tishio la Kiusalama (Ugaidi ) 2. Taratibu za Kiafya kuhusiana na Janga la CORONA hazikuzingatiwa kwa Mashabiki 3. Mfumo wa Umeme wa Uwanjani (kwa Mkapa) ulikuwa si mzuri hivyo...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Huwezi amini kakabidhiwa wizara nyepesi kabisa ya tararira za kina diamond, mabantu harmonize na kina yanga na simba lakini inamsumbua. Huyu angepewa wizara kama ya mambo ya ndani au fedha na...
2 Reactions
29 Replies
4K Views
Rais wa shirikisho la soka Tanzania TFF Wallace karia amesema kuna taarifa itatolewa, hio ndio itaeleza Kila kitu juu ya mechi ya Simba dhidi ya Yanga kusogezwa mbele hadi kuahirishwa, lakini kwa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu Usiku Wa Kuamkia Leo Kulikuwa na Pambano La Kukata Na Shoka Kati Ya Mmexico Canelo Na Muingireza Billy Boy Saunders. Canelo ameshinda baada ya Kona ya Billy Joe Saunders kusitisha kuendelea...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Mechi ya yanga na azam ilisogezwa mbele - ikatolewa sababu. Mechi ya biashara na yanga ilisogezwa mbele - ikatolewa sababu. Mechi ya simba na yanga imesogezwa mbele - haijatolewa sababu (...
2 Reactions
1 Replies
817 Views
Inawezekana kabisa Tanzania tunaviongozi wajinga ila kwa hili la kusogezwa muda mechi ya SIMBA vs YANGA itoshe kusema tunao viongozi Wajinga + Wapumbavu. Barua inayosambaa mitandaoni ya kusogeza...
2 Reactions
44 Replies
4K Views
Haya ni mashaka yangu hasa baada umeme kukatika wakati timu zinajiandaa kuingia uwanjani kuanza kipindi cha kwanza kwenye Uwanja wa Jakaya Kikwete Youth Park. Hili si jambo la kulichukulia poa ...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Niwasilishe maskitiko yangu kwa kutochezwa kwa mchezo wa Simba na yanga 8. 5. 2021. Naitazama yanga na naitazama TFF na nawatazama viongozi wa Yanga naiona hatari mbeleni. Najiuliza hawa...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
TFF inaendesha Mambo yake kwa kuzingatia kanuni na sheria. Ni sawa. Lakini ni mara nyingi sana TFF imekuwa ikifumbia macho makosa mengi ya ukiukwaji wa kanuni na sheria zake yanayofanywa na...
7 Reactions
68 Replies
7K Views
Wana Simba SC tuna cha Kujifunza kutoka kwa Wenzetu wa Yanga SC hasa kwa Kukataa 'Kupelekeshwa' kama 'Mazuzu' fulani hivi na ama TFF au Serikali. Mwanaume wa Shoka na Unayejiamini (hata kama ni...
17 Reactions
22 Replies
3K Views
Kufuatia kadhia ya kufuta mechi ya simba vs yanga madhara yake ni makubwa. Tumeua ari ya wanamichezo Kuna mashabiki hawataenda tena viwanjani Kuna mashabiki wameamua kuachana kabisa na habari...
0 Reactions
2 Replies
814 Views
Back
Top Bottom