Mimi ni mshabiki mzuri wa ngumi. Hivi karibuni kumekua na mwamko mkubwa wa ngumu za kulipwa nchini. Shida kubwa inakuja pale panapokua na pambano zuri lakini muda unakua sio rafiki kabisa...
TANZANIA NI TAIFA HURU LINAKOFUATA SHERIA ZA NCHI NA KANUNI ZILIZOKUBALIKA
Mimi ni kiongozi wa Kiroho katika Daraja la Uaskofu
Majina yangu ni Rev Liberatus W Sasabo
Nipo Mkoani Iringa Nyanda...
Olympic Games ni mchezo unaotazamwa na kufuatiliwa na watu wengi zaidi duniani (zaidi ya bilioni 4), wenye mamlaka na madaraka ya kimichezo wanapokataa kutoa majibu marahisi wasitegemee medali za...
Naanza kwa kusema 'BIG UP' kwa Manara kwa kueleza waziwazi bila woga kitendo kibaya mno kilichofanywa na Yanga, kukimbia mechi bila kujali umati ule uliojazana pale kwa kivuli cha kanuni.
La pili...
Tuliowahi kuambiwa na wazazi "mpira utakupeleka wapi" pitieni hapa[emoji3596]
Bila kujua,vipaji vingi vimepotea/vimepotezwa na wazee wetu kwa kuamini elimu ndio itawatoa watoto kimaisha,mbaya...
Huwa najiuliza Haji huna kazi zingine za kukufanya uendeshe maisha? Maana naona unajitoa ufahamu kiasi kwamba unaihararibu imagi na heshima ya Mzee Sunday.
Unasema katiba za vilabu zifuatwe, nini...
Serikali ya CCM kupitia Waziri wa Habari, Mhe. Bashungwa imewataka TFF kuwarudishia Wananchi fedha walizolipa kama kiingilio cha kushuhudia mechi ya Simba na Yanga.
Kile kilichotokea Jumamosi ya tarehe 8 na kauacha sintofahamu mpaka mda huu idara husika zinazidi kuchanganya wapenda kabumbu kwani TFF wanadai ilipokea taarifa kutoka bodi ya ligi leo hii bodi ya...
1. Wengi wao wako katika 'payrol' ya Yanga.
2. Wengi wao ni Wanafiki sana.
3. Wengi wao wana Chuki na Simba.
4. Wengi wao wana Wivu na Mafanikio ya Simba.
5. Wengi wao wana Upendeleo katika...
Maamuzi waliyochukua Yanga yatakuja kuwagharimu siku za usoni ya kuwataka TFF kufuata kanuni kwa asilimia mia moja. Ipo siku Yanga watakuwa na dharura ya kweli kwa mfano kupata puncture au flat...
Natamani sana niwasikie bush lawers wa michezo waliojazana kwenye vyombo vya habari.
Je, maagizo haya si ni yale yale ya serikali kuingilia TFF?
Je, serikali imetumia kanuni ipi kuwaagiza TFF...
Wizara ya Michezo na TFF wameshirikiana kutudharau wapenzi wa mpira wa miguu kwa kufanya mambo ya kijinga na kipuuzi kabisa.
Kwanza wamegoma kuweka bayana kwanini mchezo ulisogezwa mbele kwa...
Yanga kwa sababu ya kuwakomoa TFF wameamua kujificha nyuma ya kanuni kususia mchezo wao wa 08.05.2021 na watani wao simba. kitendo hiki si cha kistaraabu hata kidogo na sijui wanatarajia kufaidika...
Rapper J. Cole is expected to play for the Rwanda Patriots BBC in the inaugural season of the Basketball Africa League, sources told The Undefeated.
J. Cole, 36, arrived in Rwanda two days ago...
Baada ya sintofahamu iliotokea siku ya jumamosi tarehe 8 palipo kua na mchezo mkubwa wa mpira wa miguu Simba vs Yanga,
katika nchi ya Tanzania na Africa kwa ujumla baada ya mechi iyo kuota mbawa...
Mdau mbunifu mmoja wa kitanzania amependekeza muonekano mpya wa Uzi wa Mbeya City FC kwa ajili ya msimu ujao kama watafanikiwa kubaki LiGi KUU Tanzania.
Una mp asilimia ngapi?
Kwanza nianze jambo moja...
Kama utanisoma kwa kuongozwa na Think Tank wa Club ya Simba, yaani Haji Manara, katu hutanielewa! Ni bahati mbaya sana nimetafuta barua kutoka TFF au hata Yanga...
Baada ya mchezo wa Simba na Yanga kugubikwa na sintofahamu, waandishi wa habari za michezo wameshindwa kutimiza majukumu yao ya kutafuta habari kwa kuwahoji wahusika, wamekua wakisubiri matamko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.