Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Manara: Umeonaje ila formula niliyokwambia, si unaiona imetiki, Instagram yote tunazungumziwa sisi tu. Shafii: Daah! Ila kweli kabisa. Unajua ulivyoniambia tupige kiki kwa staili ile nilidhani...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
MPIRA WA WANAWAKE NA RUSHWA Hakika mpira wa wanawake una changamoto sana timu zinapewa rushwa ili iwakazie wapinzani na rushwa hizo ni za waziwazi nashangaa Tff wanafanya kazi gani Kama chombo...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Kwanza niseme wazi kuwa mimi ni mshabiki wa Simba sports club lakini uchambuzi wangu utazungumzia uzoefu mdogo nilionao kuhusu soka la Africa. 1. Kwa asilimia 100% nina uhakika Simba Sports Club...
23 Reactions
76 Replies
8K Views
Natazama mechi ya ligi kuu kati ya Gwambina vs Jk Tanzania. Kwakweli huu uwanja wa Gwambina Complex Pitch imechoka na ni dhahiri uwanja umekosa hadhi ya kutumiwa kwa michezo ya ligi kuu kwa sasa...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kutoa taarifa haraka sana kwa Watanzania juu ya tarehe ya kuchezwa kwa mchezo huo na pia ieleze utaratibu kuhusu...
3 Reactions
92 Replies
8K Views
Kuna mchambuzi mmoja aliyejaribu kuleta presha na kutengeneza majungu akiamini kwa njia hiyo Simba itafanya lolote alitakalo. Mchambuzi huyo aliyepachikwa jina la "taka taka" alihusika sana...
7 Reactions
31 Replies
5K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema mwaka Huu itawakutanisha team za Uingereza fainal kuanzia Uefa mpaka Europa make it in your mind.
1 Reactions
8 Replies
2K Views
1. Sisi wana Simba tumefurahi kwa kuwa team inayoongoza kundi gumu na kupata matokeo mazuri kuliko team yoyote iliyovuka robo fainali. 2. Ukweli ni kuwa team tishio kwa Simba kutofika final ni Al...
14 Reactions
30 Replies
3K Views
Liverpool yapata ushindi wa bao nne kwa mbili (4-2) dhidi ya Manchester United apo Old Trafford Manchester. United walitangulia kupata goli mapema tu kutoka kwa kiungo mshambuliaji Bruno Fernández...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Hizi tabia za wachambuzi na watangazaji wa michezo vya asubuhi kwa Wasafi FM na E FM kuchanganya lugha za Kiswahili na Kiingereza linakera sana. Kwanza wengi wao hata Kiingereza hawujui...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Mpaka muda huu kina generalist\all rounder na chizi maarifa wangekuwa wameshatupia nyuzi za kuiponda Simba na kuitabiria kushindwa! Lakini naona kimyaaaa! Hii ni dalili kuwa hatimaye utopolo...
2 Reactions
6 Replies
871 Views
RB leipzig, timu ambayo ipo na msimu mzuri kabisa (2020/2021) na ikiwa inashika nafasi ya pili katika ligi kuu nchini Ujerumani (BUNDESLIGA) imeambulia kipigo cha goli 4-1 kwenye fainali ya DFB...
0 Reactions
1 Replies
909 Views
Imekuwa ni utamaduni wa kawaida kwa vilabu vya Mpira wa miguu Ulimwenguni kufanya usaliji (kununua Wachezaji) pindi madirisha ya usajili yanapofunguliwa. Katika harakati hizo kuna baadhi ya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimeona madai ya wachambuzi wengi wakishadidia kuwa yanga ina mgogoro na TFF. Binafsi nikijiuliza mgogoro huo ni upi,napata shida kidogo kuuelewa. Naomba mnisaidie. Madai ya Yanga na mashabiki...
8 Reactions
31 Replies
3K Views
Sasa ni rasmi mpinzani wa Simba katika robo fainali ya CAF Champions League ni lazima awe mmoja kati ya timu hizi tatu; CR Belouizdad ya Algeria, Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini au MC Alger ya...
4 Reactions
115 Replies
15K Views
Mchezo wa fainali ya kuwania Kombe la Klabu Bingwa Ulaya kati ya Manchester City na Chelsea utahamishiwa Ureno kutokana na UEFA na Serikali ya Uingereza kutofikia muafaka wa mchezo huo kuchezwa...
1 Reactions
0 Replies
804 Views
Soka la bongo ni moja katika ya vitu vyenye mvuto zaid hapa Tanzania. Mpira umekuwa ni trending kwasasa bongo na bongo kama wew sio simba basi ni yanga.yani kwakifupi huwez kuruka apo. Kwa sasa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari. Huku tukiendelea kusubiri fainali ya UEFA Champions itakayofanyika May 29 mwaka huu kati ya Chelsea Vs Manchester City. Kuna mabadiliko ya kiwanja cha mtanange huo itakuwa jiji Porto na...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Na muafaka wafikiwa, fainali ya bingwa wa ulaya (UEFA Champions League) itachezwa jijini PORTO uko Ureno mnamo tarehe 29 may 2021. Jiji la ISTANBUL, Uturuki ndo mwanzo lilikua limepewa nafasi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Leo nimeona nimstue kidogo wakili msomi Silas Isangi ambae ndie rais wa RT. Kiukweli tangu achaguliwe kua rais wa RT tumekua na matumaini mapya juu ya Riadha ya Tanzania. Lakini cha kusikitisha...
0 Reactions
1 Replies
790 Views
Back
Top Bottom