Nimewahi kuandika humu jambo kama hili lakini wadau uchwara wakanipinga , lakini sasa imethibitika kwamba bila fungu Morinho si lolote.
Ni kocha asiye na mbinu zozote za ufundishaji zaidi ya...
Nilijua leo hawa wajomba wapo uwanjani, ila hadi sasa sijaona kwenye mitandao.
Wale mashabiki lia lia huwa wanatupa burudani mitandaoni kuliko timu yao.
Hii biashara inachukuliwa katika hali ya wepesi sana nadhani pia ni sababu serikali haijaweka mkazo kwa adhabu kwa wale wanaotengeneza jezi fake.
Yes ni ngumu kuzuia jezi fake mtaani but hebu...
Nakumbuka kabisa huyu jamaa yeye na Hassan kessy ni mabeki walioondoka simba kwa nyodo na kejeli sana na wote wakaishia kutupiana maneno na Haji Manara kisa tu Simba ilikuwa na hali mbaya kipesa...
SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU BARANI AFRICA (CAF) LIMETOA ORODHA YA VILABU 50 BORA AFRICA. KLABU YA SIMBA IKIWA INASHIKA NAFASI YA 32. TIMU YA YANGA IKIWA HAIPO KABISA KWENYE ORODHA HII YA TIMU 50...
Salaam.
Leo nimeona iwe vyema kuwaletea maajabu ya huyu Kijana, anaitwa Mbuyu "Junior" Twite. Kuna facts za Ajabu sana kuhusu huyu kijana tangu aliposaidiwa na Agent wake "Aden Rage" kutua pale...
Habari wakuu,
samahani naomba kuuliza kwa wale wafuatiliaji wa kipindi cha Sport Headquater EFM 09.00 asubuhi hadi saa 12.00 NAOMBA KUJUA ALIPO MCHAMBUZI NGULI NA KIONGOZI WA MICHEZO E FM IBRAHIM...
Kupitia ukurasa wa Instagram wa Msemaji wa Mabingwa wa Nchi, Haji Sunday Manara leo saa sita mchana kuna tukio kubwa la ugeni kutangazwa.
Tetesi zinasema anaweza akawa anatangazwa Papaa Mwinyi...
Timu ya Yanga imewahi kuwa na na Makocha wengi sana wazuri kabisa na walioipa mafanikio makubwa sana timu hii , ikiwemo kubeba vikombe kadhaa lakini hawajawahi kusifiwa kama anavyosifiwa huyu...
Wadau naomba mnafahamishe juu ya kazi sahihi ya Mwinyi Zahera je ni Msemaji wa Yanga au ni Kocha wa Yanga? Napata taabu kumtofautisha na Msemaji wa Simba Haji Manara kwani kila siku Mwinyi Zahera...
Aliyekuwa kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema kesho Jumatano alfajiri anarudi Tanzania kufuata malimbikizo ya madeni yake kwa uongozi wa klabu hiyo
Zahera alifungashiwa virago vyake baada...
Wakuu leo tuongee kuhusu mambo ya mpira na ushabiki, kwa kweli kwa maoni yangu hivi club huwa inamuwakilisha nani, tumekua na washabiki wengi sana wa club kuliko washabiki wa timu ya taifa.
Club...
Anaandika✍️ ALLY KAMWE
Mambo 10 nilioyaona Mwadui vs Simba
1: Football At its Best🙌 Zimepigwa dakika 90 za akili, hofu na mipango mingi. Haikuwa perfomance nzuri kutoka kwa Simba lakini mwisho...
Chama cha vilabu vya soka barani Ulaya, ECA, amabcho kinawakilisha vilabu 246 Ulaya yote, kimeandika barua kwa Shirikisho la Soka Ulaya, UEFA, kupinga mpango wa baadhi ya vilabu kuanzisha ligi...
Wanabodi wapenda michezo kuamkia siku ya leo majarida mengi ya michezo duniani kote yameandika ujio wa supercup kwa baadhi ya timu za ulaya.
Ujio huu wa supercup unakuwa tishio kwa ligi zingine...
Uefa super league ni wazo la miaka ya 1990 ambayo baadhi ya vilabu vikubwa vilipendekeza kucheza wenyewe kwa wenyewe kwenye jumla ya timu 16 kubwa.
Uefa na Fifa walipinga vikali suala Hilo kwa...
Benjamin Asukile ''Sisi hatuna pira biriani sisi tunapiga gwaride na sasa tumeongezea kwata kidogo, jeshini hakuna urembo wala biriani. Hatuiwezi biriani itatupalia tu ndio maana tunacheza mpira...
Kila mtu ana maoni yake, yangu ni haya; Dirisha lililopita la usajili, lile kubwa na dogo, Simba walifanya sajili kwa utulivu wa hali ya juu sana. Walitulia na kuangalia mahitaji ya timu, ndiyo...