.
Kocha Mkuu wa klabu ya As Vita Club Florent Ibange amesema kuwa hakuwahi kutegemea kuona katika kundi lao ambalo walipangwa kundi D kama klabu ya Simba ingepita na kutinga hatua ya robo fainali...
Habari mbaya sana kwa deportivo la utopolo ambao kwa sasa wanalalamika kwa nini team ya 13 kwa ubora Africa ambayo very soon itaingia top 10 imeamua kuachana na yutong la sportspesa la 2010...
Mara nyingi nimekuwa nikijihusisha na kuiombea mabaya club ya Simba. lakini imekuwa kinyume sasa. Naacha hizo habari kwa matches za Kimataifa.
Nmegundua nitapata ugonjwa wa moyo bure na kufa kwa...
Mabingwa wa Nchi, Mnyama Mkali, Simba SC, imepania kuendelea ilipoishia kwa kuendeleza ushindi dhidi AS Vita Club katika hatua ya makundi ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika, mchezo ambao utapigwa...
NJE YA 18- SIMBA VS AS VITA
THADEO LWANGA, anaweza kuwa Mwami kutoka Kigoma kwanini asiwe mtu kutokea huku kama anaweza kuwa na nguvu kama Hawafu, nusu ya chini ni eneo lake ameamua kulimiliki...
Mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid Karim Benzema atafikishwa mahakamani mwezi Oktoba kujibu tuhuma ya kuhusishwa na hujuma ya kanda ya Video ya ngono dhidi ya aliyekuwa mchezaji mwenzake wa timu...
Wakuu,
Kwa skills zile, why chama ameshindwa kucheza ulaya? Tuwe honest, zile skills si za kawaida [emoji119]. Why! Why! Why!
He is supernatural, magician [emoji145], kwanini yaani? Weka uyanga...
Leo nimepita mitandaoni na kukuta kuna taarifa inasambazwa kuwa mchezaji mahiri wa as vita alieisumbua ngome ya simba Djuma hatakuwepo kutokana na kupata majeraha yatakayomweka nje kwa miezi 6...
Habari zenu wakuu,
Uongozi wa TFF chini ya jamal malinzi umemfungia ndumbaro kwa miaka saba, Dkt. Ndumbaro amelipinga hilo na amekata rufaa, naomba status kuhusu hili suala, mbona kimya saana?
Leo nataka kuizungumzia mamlaka inayosimamia mchezo wa miguu hapa nchini.
TFF ya karia kwa hakika imepata mafanikio kadhaa kama vile kushiriki Afcon Senior na junior, CHAN nk.Lakini pia kuboresha...
Bila kupepesa macho wala kung’ata maneno Mlindalango wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars na Klabu ya Simba Aishi Manula ndiye golikipa namba moja kwa hivi sasa nchini.
Na hili...
Evander alipigwa zile Iron fist nyingi sana ingawa na yeye alikua anatoa kombora zake.
Ukiangalia video Evander kavimba uso Mzima. Ndio siku hiyo akadai amengatwa sikio. Tyson akaporwa taji...
Klabu ya El Merreikh ya Sudan inadaiwa kuwa inataka kumsajili golikipa wa Simba Aishi Manula ,25, kwa dola 100,000 (Tsh milioni 231) na mshahara wa dola 8000 (Tsh milioni 18.5) kwa mwezi."
Simba SC na AS Vita ya DRC Kesho 03.04.2021 saa 10 jioni
Ifikapo kesho saa 10 jioni pale uwanja mkubwa wa soka Tanzania maarufu kwa Mkapa kutakuwa na mtanange wa kukata na shoka kati ya...
Kwa taarifa za awali na zilizonifikia ni kua mpaka sasa club ya Simba imeruhusiwa kuingiza mashabiki 10000 kwenye mchezo wa trh 3/4/2021 dhidi ya As Vita Club .
Taarifa njema kwa simba ilocheza...
Itoshe kusema kwamba ndani ya misimu hii mitano huyu ndio golikipa bora kwa Tanzania. Kumlinganisha na golie wengine ni kumkosea heshima tu. Tusisubiri mpaka Rais Samia amtolee tamko. Hii kesi...
Bao pekee la nahodha Emilio Nsue Lopez dakika za 90 kwa timu yake ya Equatorial Guinea limesukumiza nje Tanzania katika kutafuta tiketi ya kufuzu Africa Cup of Nations (AFCON) hapo jana usiku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.