Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Wananchi wenzangu poleni kwa kupoteza game ya leo na tutambue kuwa mpira una matokeo matatu na ligi Ni game 34 so ni vigum Sana kutofungwa game zote labda itokee bahati tu. Leo tulikuwa na poor...
0 Reactions
6 Replies
878 Views
Kwanza kabisa mimi ni msimbazi damu. Ukinikata damu yangu ni nyekundu kama bendera ya simba ilivyo. Nimeangalia mechi zote za FIFA Club world cup Qatar hawa waarabu hawana masihara. Bora Ahly...
1 Reactions
105 Replies
10K Views
Baada ushindi wa goli 3-0 wa Yanga SC dhidi ya klabu ya Coastal Union katika mchezo wao wa mwisho uliopigwa uwanja wa Benjamin Mkapa Oktoba 30, 2020, leo vijana wa Jangwani watakipiga na Coastal...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Leo nimepata wasaa wa kuangalia mechi ya Azam na Kagera Sugar. Waliovaa barakoa ni kama hakuna kabisa. Tumewasikia Kanisa Katoliki na ni wajibu wa kila mtu 'kuchunga abiria wake". TFF himizeni...
7 Reactions
25 Replies
2K Views
Ni kipi Watanzania tujifunze! Mamlaka husika msijifungie ndani kula mihogo. Uganda karibu sana hapa. Nendeni mkajifunze.
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Kifupi ni kwamba kati ya wakali woooooote wale toka Al Ahly, Mamelod Sundown, Esperance nk, Miqsonne ametisha kuliko wao. Ana goli bora Yupo kwenye kikosi cha wiki. Halafu dogo hata hajisikii...
17 Reactions
54 Replies
40K Views
Kikosi cha wachezaji 25 cha Mabingwa wa Nchi na Wawakilishi wa TANZANIA Mnyama Mkali, Simba SC, ambao wanasafiri leo Jumatano saa 10:45 Alasiri Machi 3, 2021 kuelekea nchini Khartoum Sudan...
8 Reactions
45 Replies
6K Views
Tushaingia level ingine, MO tafadhali na bodi yako kaeni. Hatupaswi kuvaa jezii brand ambazo hazina jina hapa duniani.
9 Reactions
45 Replies
6K Views
Mimi sipendi kushabikia Simba sababu mimi ni Yanga kweli kweli. Ila ninaufahamu mpira wa miguu. Kuna wakati ushabiki naweka pembeni. Sisi Yanga tunashindwa wapi kucheza mpira wanaocheza Simba...
20 Reactions
29 Replies
3K Views
Uteuzi huo wa Bi Yvonne Cherrie almaarufu Monalisa kuwa Msemaji wa Klabu ya Wanawake ya Simba (Simba Queen) unaanza mara moja. Kabla ya Uteuzi huo Bi Monalisa alijishughulisha na mambo...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Tukiwa tunawaambieni kuwa tumieni Akili zenu vizuri katika kufanya (kutenda) mambo muwe mnatuelewa ila bahati mbaya mkisemwa (mkisilibwa ) kwa Upuuzi wenu huwa mnanuna (mnatununia) hapa. Hivi...
7 Reactions
36 Replies
3K Views
Baada ya kupata sare mbili za bila kufungana dhidi ya Real Sociedad kisha na Chelsea, Manchester United inasafiri hii leo kuelekea Selhurst kukipiga dhidi ya Crystal Palace mchezo utaopigwa saa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Samahani wataalamu wa karate nilikuwa naomba ufafanuzi wa style gani ya karate au aina ipi ya karate ni nzuri zaidi kwa self defence. shotokan au ipi ni nzuri zaidi. Asanteni
0 Reactions
50 Replies
6K Views
Hivi karibuni kumekuwapo na ongezeko kubwa la wataalamu wa uchambuzi wa mpira wa miguu, vituo vyote vya luninga na radio stations zina wachambuzi ukiwasikiliza wote ni wanaonyesha weledi wa hali...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Klabu ya Kagera Sugar ya mkoani kagera wanalalamika kupangiwa mechi yao dhidi ya Simba sc confederation cup kuchezwa Dsm wakati droo ya awali ilionyesha mechi hio ilipaswa kuchezwa kaitaba mkoani...
3 Reactions
43 Replies
5K Views
Joshua Onyango na Konde boy ni miongoni mwa wachezaji wawili waliochaguliwa kwenye kikosi cha wiki cha CAF champion league wakiendeleza pale alipoachia Lwanga.
10 Reactions
20 Replies
3K Views
Hebu tutumie uzi huu kumtakia heri na kumjulia hali Aishi Manula, Mungu amponye haraka na kumpa afya njema! Manula nakutakia afya njema na Mungu akuponye na kukulinda! Tabasamu- Mungu yuko...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
Nchimbi ametimiza mwaka hajui goli ni nini. Sarpong aliyebebwa kama mfalme na baadhi yao ana goli nne karibu msimu unaisha. Pamoja na papaa kutopewa nafasi lakini alikuwa na jumla ya magoli zaidi...
9 Reactions
9 Replies
1K Views
Azam ni wadhamini wakuu Uganda. Waliposainishana na chama cha michezo Uganda nahisi aliyesaini alikuwa kanywa bells kidogo. Imefika wakati wa kutoa pesa jamaa wameanza kuipiga mikwara Azam ooh...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Patashika ya Ligi Kuu, Vodacom Premier League VPL' kuvurumishwa leo Machi 1, 2021 ambapo Mnyama Mkali, Simba SC wanapambana na JKT Tanzania FC kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa. Mchezo huu...
9 Reactions
189 Replies
15K Views
Back
Top Bottom