Klabu ya TP Mazembe baada ya kutoka sare na CR Belouizdad ya Algeria, mchezo uliopigwa nchini DRC, TP Mazembe imeendelea na kukumbwa na mzimu wa sare ya pili mfululizo baada ya Jana February 24...
Kosa ni kuongoza ligi au ni nini? Mechi zetu zimekuwa zikifuatiliwa kwa ukaribu na kila mdau wa soka na wengi wao wanapenda klabu itetereke. kila timu ikicheza na Yanga wanacheza kufa kupona...
Kwa nyakati tofauti katika mashindano ya Kimataifa kama Ligi ya mabingwa Afrika na mengineyo kunakuwa na madai ya figisu inapofika kwenye vipimo vya covid 19.
Kikosi cha Simba kilifanya vipimo...
Nimepita kwenye account yao nikakutana na hii habari, nikashtuka kidogo, ni zaidi ya nusu ya kikos hiki, inasadika kuna waliougua covid 19, wengine injuries na wengine ni kadi (wapo watatu)...
Wiki nzima kuelekea Mechi kubwa na El Merrekh ugenini sijaona wala kusikia mwana Yanga yeyote akileta yale Masihara ya mnaenda kupigwa 'Hamsa'..!
Nikajiuliza hii maana yake ni nini? Majibu yake...
Hili ndio tatizo namba moja,
Wazawa wote wanaocheza nafasi za viungo na mbele akiwemo na Niyonzima wakubali tu kuwa viwango vipo chini waondoshwe. Kwa modern soccer kwa sasa mpira umebadilika mno...
Kwema Wakuu,
Utaratibu mpya wa TFF unasema kua endapo mshindi wa Azam Sport Federation Cup maarufu kama FA Cup atakua ndio huyohuyo mshindi wa Vodacom Premier League (Ligi Kuu) basi atakaekua...
Habari wadau..
Nimeona documentary ya enyimba success timu ya kwanza nigeria ku win caf champions league.. nimeiangalia kwa umakini nikajua ilikuwaje?
Kwa nilichokiona kwa enyimba kama nakiona...
.
Swali langu la kwanza ni, lengo mama kabisa msimu huu lilikuwa ni lipi?? Najua jibu litakuwa, 'Kutwaa ubingwa wa ligi kuu na kupata nafasi ya kushiriki klabu bingwa mashindano yajayo'
Swali la...
Baada ya utopolo wanaume , leo ni zamu ya yanga queen mpaka sasa wamefungwa mbili bila na mchezaji wao mmoja kapewa red card kwa kudaka mpira makusudi.
Tayari goli tatu.
Full time 3-0...
Timu ya Taifa ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys inatarajiwa kusafiri kuelekea nchini Morocco kwa ajili ya fainali za AFCON U-17
Serengeti Boys inayoiwakilisha Tanzania, katika mchezo...
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi, amewataka watendaji wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), kufanyakazi kwa bidii na wale watakaoonekana kushindwa...
Dr Tiboroha, ndiye hasa alitakiwa awe mwenyekiti wa Yanga.
Kipindi akiwa katibu mkuu, aliifanya Yanga kuwa timu tishio sana Tanzania.
Angalia scout ya Wachezeji kama Ngoma, Kamsoko, Twite. Ni...
Wazee wa Fitna na Roho tumeshagawana Majukumu tayari huku wengine wakiwa Khartoum Sudan ambako tumeenda kutafuta Sare (Draw) tu ili tuje kupata Alama (Points) zetu 6 tu kwa Mkapa tuwe na Jumla ya...
Yanga jana kafungwa 2-1 na Costal Union. Lakini cha kushangaza ni kuwa wanaoteseka zaidi na matokeo hayo ni mashabiki wa Simba. Hii inashangaza kwa kweli. Lakini kwakuwa Mungu sio Athumani, kesho...
"SOCCER was my passport to Cross boarders ":by ALEX KAJUMLO:
AKIHOJIWA na "Vinary KUMER" Kutoka kituo Cha radio chenye kujadiri mambo mbalimbali ya kijamii,kisiasa na kiuchumi kiitwacho...
Wakuu Habari zenu bila shaka utakubaliana na mimi hizi timu kuanzia raundi ya pili ianze zimekuwa zinashindwa kuondoka na point 3, zinaishia kuchukua point 1 moja. Kuchukua point 3 labda refa...
Ukisikiliza radio E FM katika kipindi chao cha michezo kinachoanza saa tatu asubuhi mpaka saa sita mchana Ibrahim Masoud hutajwa kama mkongwe katika soka hapa TZ na leo wameenda mbali zaidi ati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.