Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
DAR ES SALAAM: FEBRUARI 07, 2021 Wanachama wa Klabu ya Simba SC wamemchagua, Murtaza Mangungu, kuwa Mwenyekiti wa klabu hiyo. Mangungu amepata Kura 802 kati ya kura 1140 zilizo pigwa huku...
3 Reactions
62 Replies
7K Views
Habari wanajamvi, Naomba kuelezea kero yangu juu ya waandishi wa habari za michezo wa Bongo. Yaani mwandishi anamuhoji kocha wa kigeni kwa lugha ya kigeni tatizo ni kwamba hatafsiri na wala...
6 Reactions
32 Replies
3K Views
King of Afrika , you deserved mwanaume.
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Ijumaa hii Simba ataanza kampeni yake ya kutinga robo fainali ya CAF CL kwa kumenyana na AS Vita Club ya DRC katika uwanja wa mashujaa pale Kinshasa. Pambano la mwisho uwanjani hapo alipoteza kwa...
6 Reactions
23 Replies
3K Views
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Bara Vodacom Premier League VPL kuendelea kutimua vumbi leo January 7, 2021 kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa ambapo Mnyama Mkali Simba SC wanaonyesha kazi na Wana...
9 Reactions
217 Replies
21K Views
Leo timu ya Taifa ya Tanzania chini ya miaka 20 (Ngorongoro heroes) inacheza mechi ya kirafiki na timu ya Taifa ya Uganda (The Hippos) katika uwanja wa Azam Complex ikiwa ni mechi ya kujipima...
5 Reactions
16 Replies
2K Views
Mimi ni yanga damu lakini naona upungufu mkubwa kwa mhamasishaji wetu, Antonio Nugaz. 1. Kwanza ana sauti nzuri sana lakini anaitumia chini ya kiwango, hana facts kabisa ila anapiga porojo tu...
5 Reactions
55 Replies
3K Views
Taarifa inaonyesha kwamba Kamati ya Uchaguzi ya Klabu ya Simba imepitisha majina mawili ya kuwania Uenyekiti wa Simba , huku wagombea wengine wakienguliwa (sifahamu vigezo vilivyotumika ) ...
11 Reactions
54 Replies
6K Views
Habari zaidi zitafuata
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Victor Costa Nampoka "Nyumba" ndio jina lake, beki wa kati wa zamani wa Simba na timu ya taifa ya Tanzania. Alikuwa na matumizi makubwa sana ya akili kuliko nguvu, alijua kupanga vizuri sana...
4 Reactions
27 Replies
4K Views
Huyu jamaa ni kama dish limeyumba. Amekuwa akitumika vibaya kama bwege kiasi inatupa shida kuwa je a a tatizo kiakili? Yanga ilikuaje tukawa na kiongozi Bogus kama huyu? Yeye anaona suala...
1 Reactions
41 Replies
3K Views
Visit Kidimbwi ameshindwa kuchomoa kidude ikiwa full mkoko mbele ya timu daraja la kwanza
13 Reactions
72 Replies
7K Views
Ikiwa ni siku moja imebaki kuelekea kwenye mchezo wa Vodacom Premier League VPL, ambapo Jumapili ya January 7, 2021 wakati Bingwa Mtetezi Mnyama Mkali Simba SC, itakapokwaruzana na Wana lamba...
6 Reactions
25 Replies
4K Views
Ilikuwa ni game ya fainali ya kombe la Caf mwaka 93 kati ya Simba Sport Club Vs Stella Abidjan ya Ivory Coast.. Tetesi zilizoenea mitaa ya jiji la Dar WS Salaam na viunga vyake ni kwamba Simba Sc...
4 Reactions
87 Replies
20K Views
Mpira ndo umeisha yanga imepigwa goli moja na timu inayoongoza ligi daraja la Kwanza. Kwenye mechi hiyo yanga ilikuwa na first 11 yake lote wakiwa wamekamilia na wale wa usajili mpya
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Wanasimba na Watanzania kiujumla ni kama tumepitishwa kwenye mlolongo wa matukio kadhaa kutoka klabu yetu andamizi kwa muda mfupi. Kwa lugha iliyokuja na meli matukio haya tungeita 'Surprises...
9 Reactions
50 Replies
4K Views
Mara ya mwisho Azam FC kumfunga mnyama kwenye ligi kuu Tanzania Bara ilikuwa Tarehe 28 January, 2017. FT| Simba SC 0-1 Azam FC 77'|⚽ John Bocco Kikosi Cha Simba kwenye hiyo mechi: 1. Agyei 2...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Hili game nimelikuta huko YouTube, vipi humu kunamtu kashawai kulichaeza? Ni game la mpira wa miguu! Kama PES
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kenya wanapata watalii wengi si kwa sababu Body za kwao zinatangaza sana Kenya hapana, sababu kuu ni Michezo ya Kenya hasa Wakimbiaji. Wakimbiaji wa Kenya wanaitangaza sana Kenya asikuambie mtu...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Mabingwa wa nchi SIMBA SC 🦁 tumeingia makubaliano na Wizara ya Maliasili na Utalii ya kutumia neno VISIT TANZANIA 🗻 kwenye jezi ambazo tutazitumia katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom