Ni game ngumu ambayo itakuwa na ufundi na ujuzi wa hali ya juu. ila naona kabisa Man U wakija na lengo la kuzuia zaidi na kushambulia kwa njia ya counter attack.
Liverpool kama kawaida yake akiwa...
Mkuu wa Kamati ya Maandalizi ya Olimpiki ya Tokyo, Yoshiro Mori (83) amejiuzulu nafasi hiyo baada ya kukosolewa kwa kutoa kauli ambayo imeonekana kutokubalika kuhusu Wanawake
Mori ambaye amewahi...
Bayern wameifunga tigres ya mexico 1-0, Al ahly ya misri imechukua nafasi ya 3
===
The Club World Cup final was settled by a lengthy VAR check, in a game played miles from home during a raging...
Rasmi: Kwaheri Etienne!
Shirikisho la soka Tanzania (TFF) na kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mrundi Etienne Ndayiragije, baada ya kikao cha pamoja, wamefikia makubaliano ya...
Inasikitisha Simba tumesajili mchezaji mwenye kiwango kizuri, uzoefu wa kutosha katika mashindano ya kimataifa ngazi ya klabu lakini hatoweza kuichezea Simba katika hatua ya CAF group stage (16...
Kutoka nusu fainali ya Uefa Champions League mwaka 2001, mpaka kushuka daraja mwaka 2003 na kupotea katika ramani ya soka la Uingereza, wale wapenzi wa soka wa kitambo, Unaikumbuka Leeds United hii?
Kikosi cha wachezaji 27 wa Simba SC, ambacho kinasafiri leo Jumanne saa kumi Alasiri, January 9, 2021 kuelekea nchini DR Congo kwa ajili ya mechi ya kwanza ya hatua ya makundi ya michuano ya Klabu...
Kocha wa majogoo huko Merseyside .jurgen klopp amefiwa na mama yake mzazi Elizabeth na corona ndo imemuondoa duniani.
Mama huyo wa miaka 81 hatoweza kuzikwa na mwanae kwani kumewekwa makatazo...
Pelé, ambaye jina lake halisi ni Edson Arantes do Nascimento, (alizaliwa Oktoba 23, 1940, Três Corações, Brazil), alikuwa mchezaji wa mpira wa miguu wa Brazil, wakati wake labda ndiye mwamichezo...
Habari wakuu,
Kwa kifupi pambano la Ibra na mmalawi lilikua tamu sana, I'm sure hata wale waliolipa laki au zaidi pale ukumbini pesa zao zimeenda kihalali.
Majaji siku ya leo walikua fair, kwa...
Jana kulikuwa na mechi kubwa hapa kwetu Simba na Azam! Matokeo tuliyaona na mpira ulikuwa mzuri. Cha kushangaza na sio Afya kwa mpira wetu ni uwepo waa Lundo la wageni. Zaidi ya asilimia 50...
Baada ya kusimama kwa muda ligi kuu soka Tanzania bara inarejea tena hiyo kesho tarehe 11 Februari, ambapo mchezo wa awali utakaopigwa saa 8: 00 mchana, utaikutanisha Kagera sugar dhidi ya...
Yes, no doubts
Nipo sebuleni kwangu naangalia mpira wa Al ahly vs Bayern Munich aiseee siamini kama kuna timu kutoka Africa inaweza cheza kwa kujituma katika level hiii. Timu za Tanzania zina...
Aish MANULA
Shomar KAPOMBE
Mohammed HUSSEIN
Ibrahim AME (kama ONYANGO atakosekana)
Peter MUDUHWA
Thadeo LWANGA
Erasto NYONI
Mzamiru YASSIN
Luis MIQUESSON
Clatous Chama
Meddie Kagere
Mzee wetu Kanali Idd Kipingu inafikia wakati tunakumbuka jinsi Makongo Sekondari ya enzi zako ilivyokuwa incubator ya Mastaa wa VPL. Wachezaji kama Juma Kaseja, Henry Joseph, Mussa Mgosi, Jerry...
The Atlas/Morocco wanaandika historia ya kubeba ubingwa wa michuano ya CHAN mara mbili mfululizo.
2018 🏆
2020 🏆
Rekodi kwa miamba ya Atlas.
Baada ya kuitungua Mali 2-0 kwenye mchezo wa fainali...
Mzunguko wa tano wa kombe la FA kuanza hii leo ambapo Burnley atakuwa nyumbani akiikaribisha Bournemouth huku Manchester United akimenyana na West ham United.
Baada ya kuwachakaza Majogoo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.