Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Tumshukuru mungu kwa kila jambo. Mwenyezi mungu hawezi kukupa kila kitu. Unaweza ukakufuru kwa baadae. Mungu katupa amani, maliasili ambayo Tanzania ni nchi ya pili duaniani kuwa na maliasili...
4 Reactions
7 Replies
981 Views
Kuna mkanganyiko wa baadhi ya websites kuhusu mechi ya leo kuhusu muda utakapochezwa mchezo wa taifa stars na Tunisia, wengine wameandika saa nne usiku wengine saa mbili usiku, uhalisia ni mechi...
4 Reactions
186 Replies
16K Views
Je, Simba huenda yakawakuta kama ya Yanga na Manji? Ni suala la muda tu Mo ndiye: 1. Afisa habari wa timu 2. Mwekezaji 3. Mtendaji mkuu 4. Mwenyekiti wa Bodi 5. Mkurugenzi wa Ufundi.
10 Reactions
63 Replies
6K Views
1. Aishi Manula 2. Shomary Kapombe 3. Mohammed Hussein 4. Bakari Mwamnyeto 5. Erasto Nyoni 6. Jonas Mkude 7. Simon Msuva 8. Feisal Salum 9. Ditram Nchimbi 10. John Boko 11. Farid Musa Na John...
2 Reactions
44 Replies
4K Views
Leo Ijumapili 30, Aug 2020. Kutakuwa na mtanange murua wa Ngao ya Jamii 'Community Shield'. Simba Sc v Namungo, Arusha Shekh Amri Abeid Stadium. 1530Hrs. Natabiri kikosi changu. 1. Aishi Manura...
6 Reactions
176 Replies
16K Views
Charlton Athletic Goalkeeper Sam Bartram Alone On Pitch After Game Was Abonded Due Thick Fog. | 25 December 1937 | JUA KIUNDANI KUHUSU HILI Unafahamu ya kua mnamo tr 25-12-1937.nchini...
5 Reactions
5 Replies
2K Views
Karibuni wazalendo tumnyooshe Tunisia nyumban kwake Mechi ni ya kufuzu Afcon ikiwa ni mechi ya 3,Tanzania alishinda mechi zake 1 na kupoteza 1 Tunisia yeye alishinda mechi zote mbili kikosi cha...
2 Reactions
143 Replies
14K Views
IJUE MECHI YA KWANZA KUONYESHWA KWENYE TV. Mechi ya kwanza kuonyeshwa kwenye Tv ilikua ni timu ya Arsenal vs Arsenal. Hapo namaanisha ilikua ni mechi zidi ya kikosi A cha arsenal na kikosi B...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Kiukweli kabisa timu yetu imepita kuwa miujiza tu, ni timu mbovu kabisa ambayo uwezo wa wachezaji tu ni mbovu. Tulipaswa kutengeneza timu yetu hata kwa miaka 20 kama ilivyofanya Senegal...
28 Reactions
194 Replies
14K Views
Habari! Naona wahujumu wa watani (Wamatopeni) wanaendelea kuwahujumu hadi mechi za kirafiki. Leo tena kile kikosi wanachoamini ni kipana yaani hata waliokuwa Sub ukiwaweka uwanjani wanaaminiwa...
5 Reactions
10 Replies
1K Views
Mimi nahis bado serikali yetu haijaweka kipaumbele katika michezo kama inavyoweka kweny masuala mengine, na kama kungekua kuna kipaumbele sana katika michezo Tunisia ilikua ni ya kuifunga 2 kwa 0.
1 Reactions
40 Replies
3K Views
Kikosi cha simba Ally salim Henry husein Hasan Mohammed Ame Ally Kennedy Bwalya Miraji Chama Ajibu Ilanfya Kahata Karibuni
2 Reactions
39 Replies
3K Views
Tunafahamu Dismas Ten ni moja wa maofisa ndani ya klabu ya Yanga. Kimsingi anaitambua mipaka yake nje na ndani ya ofisi : Yanga SC ni mshindani wa Simba SC kimasoko. Kila mmoja ana wajibu wa...
5 Reactions
18 Replies
3K Views
Wakuu habari ya Muda huu na poleni na majukumu ya ujenzi wa Taifa. Nije moja kwa moja kwenye mada. Nahitaji kusaidiwa sample ya katiba ya timu yeyote ya mpira wa miguu .Anayeweza kunisaidia ndugu...
2 Reactions
12 Replies
6K Views
Huwezi ukawa na Timu ya Taifa yenye Wachezaji mahiri wa Klabu ya Simba SC kama akina Manula, Kapombe, Tshabalala, Nyoni, Mkude na Boko halafu ukafungwa Goli / Bao nyingi na Timu yoyote ile...
5 Reactions
71 Replies
7K Views
Ili kutusahaulisha na ile bil 20 iliyoahidiwa bila kuletwa na anayewapa hela ya kula, basi wanaamua tu kutuzuga na dhuluma za usajili kwa kuitegemea TFF ambayo imejaa wana simba. Hivi baada ya...
6 Reactions
49 Replies
5K Views
Nitoe pongezi kwa wadau wa masumbwi nchini kwa kuendelea kutupa furaha tena sisi wapenda masumbwi nchini. Kwa kipindi fulani unaweza kudhani kua mchezo wa masumbwi kama vile ulikua umesahaulika...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Bondia Hassan Mwakinyo na Jose Carlos Paz wa Argentina Next door arena leo Mataifa sita, mapambano manne, ulingo mmoja Bondia Jose Carlos Paz ana rekodi ya kupanda ulingoni mara 35, ameshinda...
8 Reactions
184 Replies
18K Views
"Kwa jinsi ninavyocheza kama nikibahatika Kucheza pamoja na Wachezaji kama Chama, Mkude, Morisson, Dilunga, Miquissone, Morisson na Kipa bora Tanzania Manula Kazi yangu itakuwa nzuri na rahisi...
6 Reactions
31 Replies
3K Views
Hakuna ubishi jana tumeionyesha Afrika na Dunia kuwa sisi soka bado saana. Mambo machache niliyoyaona mimi kweny emchezo wa jana na ambayo yamekuwa yakijirudia rudia: 1. Wachezaji hawana kabisa...
5 Reactions
25 Replies
4K Views
Back
Top Bottom