Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Dar es Salaam. Rais wa chama cha ngumi za kulipwa cha WBF Howard Goldberg atawasili nchini Jumatano kwa ajili ya usimamizi wa pambano ubingwa wa mabara super-welterweight kati ya bondia Hassan...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
My Take Mamlaka zisiogope kuishusha daraja Yanga
7 Reactions
66 Replies
8K Views
Mwakinyo wewe ni mtu imara sana nimeielewa kazi yako kweli una uchu wa mafanikio nguvu unayo ya kutosha Wanaotaka kila siku mapambano wa wewe wakuwekee mapesa ya kutosha ndio upambane...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Senzo yupo ndani kwa tuhuma za kuhujumu simba Inasemekana alipeleka pesa kwa wachezaji wa simba ili wapoteze mechi dhidi ya prison. Ikibainika ni hivyo itahesabiwa ni upangaji wa matokeo na...
0 Reactions
48 Replies
4K Views
Nimeshangaa kumbe timu yetu ya wanawake under 17 wamechukua ubingwa wa COSAFA na hii habari Haina hata buzz yoyote..why? Wasouth Africa wanaipamba Sana timu Yao ya wakubwa imechukua ubingwa...
1 Reactions
9 Replies
832 Views
* MUKOKO Mechi 4 goli 1 Assist 0 Dube Mechi nne Goli 3 Assist 3 MESHACK WA GWAMBINA Mechi : 4 Goal : 4 Assist : 2 Mchezaji Bora MUKOKO Au Kuna Kigezo Kingine Kimetumika Ili Kumpata...
2 Reactions
23 Replies
3K Views
Form is a temporal class is permanent. Mpira wanaocheza timu ya taifa kipindi hiki ni mzuri sana mapungufu ni kidogo tu tulikuwa tunalaumu washambuliaji kuto kufunga lakin jana tatizo limeonekana...
11 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari! Timu ya Taifa bado hali ni tete na itaendelea kuwa tete kila kuchika. Huu U-Simba na Yanga unadumaza sana timu ya taifa isisonge mbele na kunajikuta tunarudi nyuma kila siku. Kocha ni...
3 Reactions
28 Replies
2K Views
Kikosi kilichoanza ajana ni wachezaji wa wili tu ndio hawajawahi kuvaa jezi ya azam fc (Mkude na Nondo) Walioingia sub ni moja tu ndio hana DNA na Azam fc nae ni fei Toto Wachezaji regularly...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Tanzania mabingwa wa CISAFA baada ya kuifunga Zambia kwa penati 4-3 muda huu.
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Makocha wanajua zaidi lakini sikuona kabisa mantiki ya kumchezesha Boko wala Farid mechi ya ugenini ya Taifa Stars dhidi ya Tunisia. Boko alikuwa cut-off kutoka kwa wenzake, akipewa mipira...
4 Reactions
23 Replies
3K Views
Wadau naombeni msaada juu ya hili. Mwanafunzi wangu anayetarajia kuhitimu kidato cha nne mwaka huu ameniomba nimwangalizie kwenye mtandao namna anavyoweza kuwa referee. Ameomba kujua kiwango...
3 Reactions
13 Replies
7K Views
Mwezi wa nane mwaka huu Yanga walituaminisha kuwa wamekata rufaa FIFA katika kiengo cha CAS kupinga kitendo cha kamati ya TFF kuamua kuwa mkataba wa miaka miwili na Morrison ni batili. Baadaye...
2 Reactions
6 Replies
589 Views
Chonde chonde GSM, Eng Hersi na wana uto wote, tuachieni Chama wetu kama kisasi ni Morrison sisi tutawarudishia na tutawapa Ajibu kama nyongeza. Kinachoendelea huko Istagram kinatuumiza sisi...
6 Reactions
20 Replies
2K Views
Hapo Kesho Kwenye Mtanange wa Tanzania Vs Cape Verde kwa tadhimini za haraka haraka Kutakuwa na msukumo mdogo sana kwa mashabiki wa Taifa Stars kuiangia kwa Mchina/Taifa. Hata kama ingekuwa bure...
2 Reactions
52 Replies
5K Views
2 Reactions
1 Replies
572 Views
Leo zime tolewa tuzo za mwezi September.. kama kawaida yao kocha Bora Cedric kaze katoka Yanga.. mchezaji bora Serge Mukoko22 katoka yanga.. duh hapa najiuliza yaani biriani lote simba tunalo...
1 Reactions
20 Replies
1K Views
Habari za muda huu. Tukiwa tunasubiri kama masaa machache team yetu ya Taifa kuingia viwanjani na kuonesha kandanda safi huko Cape Verde nimejikuta kuwa na mashaka zaidi maana hapo mwanzo...
4 Reactions
33 Replies
3K Views
Kwa sisi tunaotumia simu kuwatch mpira hii game tunaipataje?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nimeona kwenye Gazeti la Mwananchi Ndugu Makonda akitambulishwa kama Mwenyekiti wa Kamati ya Hamasa ya Taifa Stars , huku katibu wa Kamati hiyo akitajwa kwa jina la Herisi Said , hivi hii kamati...
14 Reactions
90 Replies
9K Views
Back
Top Bottom