Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Ukiwa na Akili timamu na umemsikiliza vyema kabisa Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe utakubaliana nami kuwa kwa 100% anaichafua Brand ya Azam Company na Azam Media (hasa Tv yao) ila cha Kushangaza...
2 Reactions
3 Replies
506 Views
Sijawahi kuelewa ukubwa wa hizi timu mbili za Simba na Yanga, Hivi timu kubwa zenye miaka 90 zinashindwaje kujenga uwanja hata mdogo Tanzania yenye ardhi kubwa na gharama ndogo za ujenzi?! Au...
0 Reactions
10 Replies
382 Views
Hiyo ni baada ya vipigo viwili mfululizo. Hapa sasa ndio kuna kitu ambacho uongozi wa Yanga unatuacha njia panda sisi wadau wa soka. Kama management iliona tatizo la wao kupoteza mechi mbili...
13 Reactions
145 Replies
5K Views
Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo, Said Yakubu amesema Serikali ya [emoji1241] imetoa Tsh 30 𝘽𝙄𝙇𝙇𝙄𝙊𝙉 kwa ajili ya kuufanyia ukarabati uwanja wa Mkapa. Amesema maboresho hayo...
8 Reactions
212 Replies
20K Views
Kocha Mkuu wa KMC Abdihamid Moallin inadaiwa kwamba amejiuzulu kuifundisha KMC kuanzia leo novemba 11. Mpaka sasa KMC ambao ndio wamiliki wa Kocha huyo hawajasema chochote lakini taarifa za...
1 Reactions
5 Replies
577 Views
Dube wetu ilikuwa akilikaribia Goli wenye ule uwanja wanatuma mtu wao apunguze mwanga wa Taa ili asione vizuri. Tumevumilia Mengi sana sisi. Haya ni maneno ya msemaji wa Yanga Ally Kamwe, akitoa...
19 Reactions
19 Replies
1K Views
Kelvin Yondan mfano wa kuigwa,miaka 43 bado anakipiga. Sijui yuko wapi ila mpaka mwaka jana alikuwa Geita Gold akiwa bado miaka 43, kongole kwake kwa kujitunza
4 Reactions
38 Replies
1K Views
Huwezi kuwa unatumia uwanja wa watu halafu unawatukana wenye uwanja wao. Ally Kamwe ajiangalie la sivyo hatoshi Yanga. Unatumia uwanja wa Azam lakini unadhihaki wenye uwanja ni ujinga mkubwa.
7 Reactions
37 Replies
1K Views
Ki ubora tumeona na tunaujua huu uwanja ukitumiwa hata kwa mechi za CAF Champions league na CAF confederation cup. Lakini vilabu vingi vya NBC premier vimeutumia, ni nini hasa sababu ya timu ya...
2 Reactions
45 Replies
2K Views
Wakati kukiwa na taarifa kuhusu Yanga kumtema Kocha wake Miguel Gamond, imethibitika kwamba ndoa ya Yanga na Kocha huyo Imevunjika Rasmi. Ni hivi Jamaa ameonekana Mwanza leo na anachongojea kwa...
8 Reactions
61 Replies
4K Views
Pale Ikulu kuna watu wanalipwa mishahara ya bure. Tabora United na Yanga ni timu za nchini inakuwaje moja ipongezwe moja inangwe? Je, ni mara ya kwanza Yanga kufungwa? Kama mtu ni mgeni anaweza...
2 Reactions
5 Replies
527 Views
Wadau hamjamboni nyote? Pitia takwimu mpya hapo chini: Wachezaji (17) walioondoka Simba 24 | 25 ◉ Aishi Manula (Loan) ›› Azam FC ◉ Feruz (Loan) ◉ David Kameta 'Duchu' (Loan) ◉ Clatous Chama ››...
11 Reactions
40 Replies
8K Views
Huyu ni raia wa hapa hapa ndani ila alikuwa anakipiga huko kwa Madiba. Abdulrazack ni mchezaji kijana wa Kitanzania anayecheza soka la kulipwa nchini Afrika Kusini kwa ubora mkubwa akiwa kwenye...
2 Reactions
30 Replies
1K Views
Sina maneno mengi... 15.Haruna Shamte--Geita(35) Kuzaliwa 1988. --Simba,Lipuli,Namungo 14.Benjamin Asukile.--Prison(35) Kuzaliwa 1988 13.Erasto Nyoni-simba (35) Kuzaliwa 1988 --azam,vital'o...
10 Reactions
62 Replies
4K Views
Habari za asubuhi waungwana! Wamiliki wa uwanja wa 'KMC COMPLEX' wameamua kufunga kamera za kurekodi matukio (CCTV camera) sehemu nyeti za uwanja huo. Akizungumza kwa sharti la kutotaka jina...
7 Reactions
61 Replies
2K Views
Hello! Moja kwa moja kwenye mada! Nikiwa O - level nimesoma na mwamba mmoja jamaa alikuwa anakimbia mita 100 kwa sekunde 13-15 tu. Ikumbukwe Bolt alikuwa anakimbilia kwa sekunde 9-10. Huyu wa...
41 Reactions
82 Replies
4K Views
-NJE YA BOX Yanga wamehama uwanja wa Azam Complex, hii ni baada ya kipigo mara mbili mfululizo kutoka kwa Azam Fc na Tabora United. Yanga hawajaweka wazi kwanini wamekimbia Chamazi ila kuna...
0 Reactions
2 Replies
426 Views
Yanga wamefanya maamuzi ya kitoto sana yote yamesababishwa na ombwe la uongozi sababu mpaka sasa hazijawekwa wazi wanachama na mashabiki wao kwakuwa ni empty up stairs wameshindwa kuhoji wala...
5 Reactions
31 Replies
1K Views
Na Mwandishi Wetu Shirika la Umeme Nchini (Tanesco), limesema kukatika kwa umeme katika miji ya Dar es Salaam na Zanzibar juzi usiku kumesababishwa na njia ya umeme kati ya Morogoro na Ubungo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom