Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Wasalaam wana bodi. Kwanza nianze kutoa kongole kwa uongozi wa club yangu ya young African (yanga a.k.a wakimataifa). Tulichofanya tarehe 30 jumapili pale kwa mkapa ni uthibitisho kuwa yanga ni...
6 Reactions
21 Replies
2K Views
Sijui analipwa bei gani kwa mwezi huyu mwamba. Najua sisi mashabiki kumuongezea mshahara ni suala gumu kulitekeleza. Ila acha tutumie kama kivumishi cha kumpa anachodtahili huyu box to box...
14 Reactions
29 Replies
5K Views
Leo CAF imetoa orodha ya nchi 12 ambazo zitapeleka timu 4 kwenye michuano ya klabu Africa. Yanga ilikuwa ikitegemea kwamba Tanzania itapeleka timu 4 baada ya libya kufuta ligi yao kipindi cha...
13 Reactions
72 Replies
6K Views
Ni kweli kwamba kapuku hana thamani, lakini wakati mwingine umasikini tunajitakia tu , kwa umati wa wanachama na wapenzi wa simba nchi nzima timu hii haistahili kuitwa masikini, kama tutapata...
15 Reactions
64 Replies
6K Views
Shirikisho la Mpira wa Miguu la Nchini, Brazil limetangaza sera mpya ya malipo na posho kwa wanasoka Wanawake na Wanaume Sera hiyo itafawanya wanasoka Wanawake na Wanaume wawe wanalipwa kiwango...
0 Reactions
0 Replies
937 Views
*KALENDA YA MASHINDANO YA CAF 2020/2021 IMETOKA RASMI 01 Sept 2020* *USHIRIKI WA TIMU* Kulikuwa na Upotoshaji Mkubwa unaoendelea kila sehemu katika ushiriki wa timu za Tanzania kwenye mashindano...
5 Reactions
40 Replies
7K Views
Habarini Wana Yanga Wenzangu, Leo tukiwa pale Mkapa Stadium tukifanya show za kisanii na sarakasi zilizotaka kumdondosha Konde Boys kwenye rope, Wenzetu kule Arusha walichakaza Vibaya Namungo kwa...
7 Reactions
25 Replies
3K Views
Kuna habari iliyokuwa mtandaoni inayotrend kuwa Kocha na Mchezaji wa Simba wamepigana mazoezini kabla ya mechi ya fainali ya ngao ya jamii, Nao waandishi wa habari bila kufanya tafiti wakaipeleka...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Papy Kabamba Tshishimbi aliyemaliza mkataba wake na Yanga yupo njia moja kujiunga na AS Vita kuziba nafasi ya Mukoko Tunombe aliyejiunga na Yanga.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Klabu ya Soka ya Yanga imeamua kuachana rasmi na Walinzi wao Kelvin Yondan na Juma Abdul Jafary baada ya kushindwa kufikia maafikiano.
5 Reactions
39 Replies
7K Views
Tukiwa tunakaribia kuingia mwezi wa nne baada ya kuanza kwa msimu wa soka katika ligi mbalimbali barani Ulaya, yupi mpaka sasa ni mchezaji ambaye amepafomu vizuri kushinda wenzake kiasi cha kuweza...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Jamani, jamani, jamani hii Yanga Day Imetisha! Yanga kweli ni kiboko yao Kwanza imejaza uwanja watu wamefurika mpaka nafasi hakuña wengine wamebaki nje ukilinganisha na Simba day uwanja ulipwaya...
17 Reactions
37 Replies
4K Views
Achana na shoo ya konde boy,tangu nianze kufuatilia hizi Simba day na wananchii day,Leo kwa mara ya kwanza nimeshuhudia timu ya yanga sc wakifanikiwa kuujaza uwanja kwa asilimia 99.9. Niipe...
15 Reactions
47 Replies
4K Views
Nilishangaa sana na mno kwani Mashabiki wa Nyani Mbwa Sokwe FC ninaowafahamu Mimi Kwanza hawana Hela (nikimaanisha wengi wao ni Masikini na Choka Mbaya) kama Mimi GENTAMYCINE halafu pia ni...
3 Reactions
61 Replies
6K Views
Jana nilikua namsikiliza mshindo msolwa akiongea kuwaomba mashabiki wa yanga kuchangia bakuli ili waweze kusajili wachezaji 2 wakigeni ambao ukijumlisha na wachezaji 8 ambao tayar wameshasajiliwa...
4 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa hiki kinachowakuta hawa warundi sio fair kabisa yaani inaonekana kabisa kuna kitu kinatafutwa. Kwa sababu haiwezekani Yanga wanacheza rafu za kustahili kadi lakini refa anang'ata filimbi, sio...
8 Reactions
22 Replies
3K Views
TFF tamko peke yake kuhusu kitendo walichofanya mashabiki wa Yanga halitoshi, hili tukio mnaweza kuliona ni dogo sana, ila tukio hili ni kubwa mno, tunapelekana pabaya, bila mashabiki wa Yanga na...
2 Reactions
33 Replies
4K Views
Meddie Kagere goli 2 Rally Bwalya goli 1 Miqsonne goli 3
4 Reactions
27 Replies
3K Views
Back
Top Bottom