Nacheki NBA finals hapa ESPN 2
THE FINAL kati Lakers vs Pistons bonge la game
Magic Johnson was a lit jamaa alikuwa noma sana enzi zake
Namwona KAJ jamaa mrefu sana [emoji1787] anafunga tu...
Shirikisho la Mpira wa Miguu la Misri (EFA) limetangaza kuwa Mohamed Abdo(59) amefariki Mei, 11 baada ya kuambukizwa #CoronaVirus
Abdo ni mwananichezo wa kwanza nchini Misri kuripotiwa kufariki...
Exclusive: Sierra Leone striker claims someone wants to end his career with Juju.
Juju means Charms,!
Sierra Leone striker Mohamed Buya Turay today told BBC the injury that forced him to sit out...
Wengi walidhani kwamba Ajibu alikataa kwenda TP Mazembe, kauli yake aliyotoa kwamba hamna maslahi Congo ilikuwa kutuliza mashabiki tu, Maneja wake akiongea leo amesema kwamba Ajibu alisaini kwa...
Hili swala la wachezaji wa kigeni linaonekana kama zima moto lakini siyo mwarobaini wa Soka letu.
Hata tukiwa na mmoja wa kigeni soka letu bado lipo hapa hapa, tatizo letu kubwa ni ukuzaji wa...
Mcameroon Francis Ngannou ametumia sekunde 20 tu kummaliza Msuriname Jairzinho Rozenstruik ambaye kabla ya pambano hilo alikuwa amecheza mapambano 10 bila kupoteza. Ushindi huu unamuweka Ngannou...
Ilikuwa ni siku kadhaa after the infamous " underdog statement" from Shafii Dauda.
Siku hiyo ilikuwa ni siku ya mechi Kati ya Simba Sc na AS Vita.
Unbeknownst to Haji Manara, Shafii Dauda...
The German Bundesliga season can resume this month, Chancellor Angela Merkel has confirmed.
It will become the first major league in Europe to return to competition, with a date for resumption to...
Mchezaji wa Juventus ya Italia mreno Christiano Ronaldo amepelekwa karantini wakati wachezaji wenzake wakianza mazoezi baada ya kuwasili kutoka nyumbani kwake nchini ureno kufuatia ligi ya Seria A...
Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi VPL amesema TFF inafanyia kazi maoni ya Mh. Rais Magufuli, na ligi itarejea Juni bila ya watazamaji.
======
ALMAS Kasongo, Mtendaji Mkuu wa Shirikisho la Soka...
Mchezo wa soka ni moja kati ya michezo yenye mvuto na msisimko mkubwa, lakini pia ni mchezo wenye matukio mengi mazuri, mabaya na hata ya kuhuzunisha.
Yafuatayo ni baadhi ya maswali ambayo kwa...
Wasalam wadau wa michezo.
Waziri wa Habari, Michezo Sanaa na Michezoi, amelitaka Baraza la Michezo Tanzania kuangalia namna ya kupunguza idadi ya wachezaji wa kigeni katika ligi kuu ya Tanzania...
Kocha wa Taifa Stars akizungumza na Azam Tv amepingana na Waziri Mwakyembe kuhusu kupunguza idadi ya wachezaji wa kigeni.
Kocha amesema mbinu ya kama hiyo iliwahi kutumiwa na Burundi ambayo mpaka...
Shirikisho la soka nchini (TFF), limeweka wazi kuwa linashirikiana na Bodi ya Ligi (TPLB), kuhakikisha ligi kuu inarejea, lakini bado mchakato huo ni wa ndani kwani unategemea tamko la serikali...
Hapa tunaangalia wachezaji wa 5 waliopata sifa au kukuzwa zaidi kuliko ubora wao halisi.
Sifa hizi zinaweza kuwa ni kutoka kwenye media, Mashabiki au timu zao wanazocheza, lakini kiuhalisia uwezo...
Katika Soka kuna wachezaji wengi ambao wanajituma na kujitolea sana katika timu zao lakini hawapewi Heshima zile wanazostahili.
Kuna list kubwa sana ya wachezaji wa aina hiyo ambao ni mashujaa...
Mganda huyo ametua Simba baada ya mvutano mkali na klabu yake ya zamani ya Azam fc. Mchezo wake wa kwanza akiwa Msimbazi utakuwa dhidi ya Azam fc pale Taifa baada ya wiki mbili zijazo.
source...
Wakuu ,kwemaa .
Rejea kichwa cha habarii hapo juu.
Ukiangalia siku za hivi karibuni this trophy , Ballon d'or imekuwaa popular sana na important, ambayo kila mchezaji anatamani ..one day yes...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.