.
Mishale ya saa tatu usiku Avenida Diagonal ilipo hoteli ya Gran Melia, siku moja kabla ya fainali wakati Sir Alex Ferguson na Steve McLaren (Kocha Msaidizi) wakiwa wanakuna vichwa nani aanze...
Klabu yetu inategemea kuanza mchakato wa mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji wa klabu, kwa mujibu wa mwenyekiti Dr.Mshindo Msola mchakato unategemea kuanza may 2020.
Kimeandikwa kitabu kinachouzwa...
Ligi hiyo ya Mpira wa Miguu maarufu kama Eredivisie amefutwa na Timu ya Ajax Amsterdam iliyokuwa ikiongoza baada ya kujikusanya alama 65 haitapewa Ubingwa
Aidha, taarifa kutoka Nchini Uholanzi...
Mchezo wa soka ni mchezo unaohitaji, team work ili ufanikiwe, lakini Mara kadhaa hutokea kwamba mchezaji fulani akacheza kwa jitihada sana kuliko wenzake na kusababisha ushindi. Ifuatayo ni baadhi...
Majuzi Hollyman alifungua thread ya aina hii. Nia na lengo lake lilikuwa ni zuri, namshukuru.
Nimeamua nifungue mwenyewe hii thread ili iwe ni uwanja wa kudumu wa kuniuliza maswali, kutaka...
Habari wadau naomba kufahamu kiundani juu ya huu mchezo nani ambaye anakuwa anachezesha binadamu wa kawaida au ni computer ndio inakuwa inacheza tu yenyewe?
Neymar’s 52-Year-Old Mum Dumps Her 23-Year-Old Boyfriend After Finding Out He's Gay
Neymar's mother 'dumps 23-year-old toyboy after discovering he had dated a string of men'... just days after...
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) litapokea takribani kiasi cha fedha Dola 500,000 (Sh 1.1 bilioni) kutoka Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) ili kusaidia uendeshaji wa shughuli za kimpira.
Fedha...
Salaam.
Serikali yetu imetualika wote tuisaidie michango dhidi ya huu ugonjwa, baadhi wameshajitolea kuonesha mfano akiwemo Ndugu Rostam Aziz alietoa vifaa kukabiliana na huu ugonjwa, na kiasi...
Kwa wale wapenzi wa soka wa zamani, umepewa nafasi ya kuchagua mmojawapo ili kikosi chako kitimie, kati ya Shekhan na Salvatory nani unampa nafasi katika timu yako?
Napenda nimtaarifu Mwakalebela ashukuru Corona la sivyo wanachama tungeungana kuja kukuondoa pale pale Jangwani tena kwa nguvu kubwa ya umma wetu wananchi.
Mwakalebela nafahamu upo pale Yanga...
Wana historia yao kubwa sana kwenye uso wa dunia, wataalamu sana wa kuanzisha kitu kipya hawa waholanzi, kwenye Jiographia pale kidato cha pili si mlipitia Land reclamation, si ndio hawa jamaa...
COVID-19: Austrian Wrestler Converts to Islam while in Lockdown
Muslim News Staff
19 April, 2020
Austrian wrestler, Wilhelm Ott, has pronounced the shahada (Islamic declaration of faith) while...
Hispania iliyobeba Kombe la Dunia mwaka 2010 pale South Africa dhidi ya Ufaransa iliyobeba kombe la Dunia mwaka 2018 pale Urusi kipi kilikuwa kikosi bora zaidi? Kuanzia brand ya football, mchezaji...
Mechi hii imechezwa jana majira ya saa 11 alfajir
mechi ilianza kwa kasi na toka mwanzo mwa mchezo Yanga ilitaka kuonyesha umwamba wake mbele ya simba na wakajipatia goli la mapema dakika ya 2...
Chama cha soka Ulaya (UEFA) kimepinga madai kuwa kuna pendekezo kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) kuwa linawataka waahirishe michuano yote ya kimataifa hadi mwishoni mwa mwaka 2021 kwa sababu...
Mwanzo tuliona kama jambo la kupuuza kwa sababu lilizungumzwa na mashabiki. Ila kwa sababu mpaka viongozi wa Yanga wamejiingiza kwenye uzushi inabidi kuwajibu. Kuwajibu ili kuwaepusha kwenye...
Habari wakuu,natafuta dumbells kwa ajili ya mazoezi,zenye uzito wa 20 au 15 kg,mwenye kujua zilipo au mwenye nazo tuwasiliane kwa 0717058288,natanguliza shukrani,nipo DSM
Yani mda wote watangazaji na wachambuzi kazi ni kupokea simu na kusoma SMS tu na si kuchambua na kudadavua mambo ya soka kiundani kama tulivyotarajia wadau.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.