Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Karibuni tunarudi,vijiwe soka kama kawa. Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Kampista, Tiganana, Ibra...hii timu hatari.....salute kwenu. Sent using Jamii Forums mobile app
9 Reactions
48 Replies
8K Views
Jarida la the sun .limeripot kwamba premier league imetoa nafas kwa bilionea wa Saudi Aribia kuingia ndani ya viunga vya St James’ Park. Ambapo kuingia kwa bilionea huyo itapeleka kufanya club...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Abdallah Bitembo ni mchezaji aliyeichezea timu ya CRDB FC Arudha ilipokuwa daraja la kwanza na hatimaye Meru FC,alicheza ligi enzi kukiwa na timu 16 kwenye ligi kuu,anaelezea kwamba hakuweza...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Nini chanzo cha nyota huyu kuondoka AC MILAN na kutua HERTHA BERLIN CLUB?
2 Reactions
6 Replies
871 Views
Kalamu yangu imetapakaa vumbi, imepita miezi sikuweza kuitumia. Kuna mengi yametokea katikati, yapo yaliyofurahisha na kuhuzunisha. Yapo yaliyokonga nyoyo na kubugudhi, mwili wangu ulikufa...
8 Reactions
12 Replies
2K Views
0 Reactions
3 Replies
717 Views
Mwaka 1996 kipindi Arsena Wenger anakabidhiwa timu alipiga marufuku wakina Tony Adams kunywa pombe na kula ovyo ovyo bila utaratibu , hata Unai Emery kipindi yupo Arsenal alipiga marufuku unywaji...
10 Reactions
6 Replies
2K Views
MARCELO LIPPI , MTAALAMU WA SOKA ALIYEAMINI TIMU NI ZAIDI YA WACHEZAJI WAZURI Kua na wachezaji wazuri na bora haikufanyi uwe na timu bora ila mifumo na mipango ndio kila kitu, kupitia huo mfumo...
11 Reactions
35 Replies
3K Views
Coastal union na Mwanmyeto wamakataa offer waliyopewa na Yanga ili kumpata mchezaji huyo. Wamesema bila mil 100 hatoki.Yanga wamesema mil 100 ni ngumu ila bado wanajitahidi kukaa chini. Watani...
2 Reactions
71 Replies
7K Views
Jozi za viatu za nguli wa mchezo wa kikapu Michael Jordan za mwaka 1985 zimeweka rekodi ya kuuzwa kwa kiasi cha dola za Marekani 560,000, kwenye mnada wa mtandaoni. Jozi hiyo ya viatu ya Nike Air...
5 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari Taarifa ambayo Ni Rasmi Mh.Waziri Mwenye Dhamana Ya Michezo Mh.Harrison Mwakyembe Ametangaza kuwa Mfumo wa Uchezaji wa Ligi katika Mpira wa Miguu ni kuwa Ligi kuu itachezwa katika Mkoa...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Mahali hapa si salama kwako ila ndio sehemu tunayoishi sisi, ndani ya dunia hii kuna sehemu huwezi kugeuka mara mbili kuitazama sehemu kama ukanda wa gaza palestina, ni moja ya maeneo duniani...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Kipindi gani hapo cha michezo kinakuvutia kati ya Sports Arena ya Wasafi Fm, Sports Headquarters ya Efm na Sports Extra ya Clouds Fm. Hapa tuangalie mpangilio mzima wa kipindi, uchambuzi mzuri na...
6 Reactions
66 Replies
7K Views
Katibu Mkuu wa Shirikisho la soka nchini TFF Wilfredy Kidau amehojiwa na taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa. Baada ya kutoka ndani Kidao hakutaka kuongea chochote na waandishi wa habari...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Nimeshangaa kuona ZFF wanalilia kugawana hela waliyopewa TFF na FIFA na wakati wao siyo mwanachama wa FIFA,pia wanajua michezo siyo jambo la Muungano.Zanzibar wanatakiwa watafute uanachama wa FIFA...
1 Reactions
29 Replies
2K Views
#BreakingNEWS: More Watford stars 'REFUSE to train after three of the six positive coronavirus tests in Premier League' came from the club. ====== Watford have had several more players refusing...
0 Reactions
6 Replies
977 Views
Arsenal wameapa kumwadhibu vikali mshambuliaji wao matata Alexandre Lacazette baada ya kuibuka kwa ripoti kwamba nyota huyo mzawa wa Ufaransa alipatikana akivuta gesi ya Nitrous Oxide almaarufu...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Leo tuambine kati ya ronadihno gaucho na jay jay okocha na alikuwa fund wa kuchezea mpira????? Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
52 Replies
7K Views
Back
Top Bottom