Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

GSM ANAACHANA NA YANGA KWASABABU YA WAJUMBE HAWA. Wajumbe watatu wa Kamati ya Utendaji 1. Rodgers Gumbo 2. Richard Shija 3. Salum Rupia Walikuja na ajenda kwenye kikao cha Kamati ya utendaji...
8 Reactions
41 Replies
6K Views
Kama mnavyojua kesho tar 06/04 /2018 kuna mapambano makali ya kukata nashoka kwenye uwanja wa kinesi, binafsi nasubiria kwa hamu pambano kati ya Mada Maugo Jr aka mbunge mtarajiwa wa Rorya na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Madaraja hayo ndio yanayotengeneza muunganiko unaoitwa Ligi ya Taifa. Matokeo yote ya michezo iliyochezwa hadi sasa yatafutwa Hatua hii inaanza kuteleleza mara moja, hii inamaanisha kuwa kwa...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Hii mbinu amekua akiitumia Mo pale Simba. Hawa watu wenye hela na wafanya biashara mda wote wanataka wawe midomoni mwa watu ili wafanye biashwords!ao. Walichokifanya GSM ni kujaribu kupima je wana...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Klabu ya Simba itaendelea kuwa kichwa cha Mwendawazimu, kufungwa na kutofanya vizuri katika michuano ya Afrika iwapo itaendelea kushikiria akili na tamaduzi hizi, Taarifa zinasambaa Papy...
6 Reactions
22 Replies
4K Views
Dogo alienda Simba kwa mbwembwe zote, now pumzi zimekata. Benchi linamuhusu. Dogo alikosa washauri. Unaweza vipi kutoka kwenye timu ambayo wewe NI mchezaji tegemezi na kwenda kuhangaika...
12 Reactions
106 Replies
10K Views
Hizi timu mbili Ufaransa na Uhispania zilikuwa ni mabingwa watetezi wa kombe la dunia kwa miaka husika lakini kila kikosi kilikuwa ni kibovu. Watu wengi kipindi hiko walidhani hizo timu...
3 Reactions
4 Replies
4K Views
Uongozi wa timu ya Mbao United ambayo inapambana isishuke daraja wametangaza kuuza timu hiyo kwa mil 300 kwa msimu,madalali bado wanahangaika kutafuta mteja. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Ligi Kuu ya Spain La Liga, imehairishwa moja kwa moja msimu huu. FA ya Spain imesema haiwezi kuendelea na msimu huu wa Ligi kwa muda usiojulikana. La Liga imechukua hatua hiyo, baada ya hapo...
2 Reactions
28 Replies
4K Views
Nimewasikia baadhi ya wanachama wa yanga wakiunga mkono hoja iliyotolewa na billionaire Rostam Aziz akiwashauri timu ya yanga inapaswa kubaki na mfumo wa wanachama badala ya kampuni, nimebaki...
3 Reactions
21 Replies
4K Views
FUTURE OF ENGLAND IS IN SAFE HANDS! Naam km wanavyosema waswahili,km unataka kesho yako iwe nzuri basi anza kuitengeneza Leo na nyumba huwa huanzi kuezeka mabati Bali utaanzia na msingi hii ndio...
0 Reactions
1 Replies
843 Views
Matokeo ya mechi ya leo, Machi 8, 2020 yametoa uhalisia kuwa letu la kamati ya ufundi halina tija tena. Machi ya Januari 4, 2020 tulifunga 2 bila halafu Ombaomba FC wakazirudisha. Ni fedheha kubwa...
3 Reactions
31 Replies
5K Views
Michuano ya Olimpiki imeahirishwa kufuatia mlipuko wa COVID-19 ambao umeathiri mataifa mbalimbali duniano kote. Michuano hiyo iliyotakiwa kuanza rasmi Julai 24 mwaka huu katika Jiji la Tokyo...
0 Reactions
0 Replies
526 Views
" Mwaka 96 nikiwa South Africa kuna mdau wa Jomo Cosmos aliniona akanifuata hotelini kwangu akaniuliza kama Nina wakala nikamwambia sina. Akaniambia Mimi Nina Shida ya Goal Keeper kwenye timu...
28 Reactions
113 Replies
17K Views
Mm ni mpenzi wa Mieleka. Naangalia Monday Night Raw, uwanjani hakuna mashabiki hata mmoja lakini game linaendelea kupigwa kinyama. By the way, Rand Orton atamuweza EDGE kweli, au ndio misifa...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Rais wa TFF Wallace Karia amesema wachezaji watakaosafiri kwenda nje hawataruhusiwa kurudi nchini. Amesema wachezaji wa kigeni watakaosafiri kwenda kwao katika kipindi hiki ambacho ligi imesimama...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Kwanini mnapenda kulalamikia vitu vidogo vidogo na kuchochea chuki kwa waamuzi wakati timu nyingine zinafanyiwa hayo hayo ikiwepo Simba yenyewe na hawalalamiki? Yaani hata goli la Namungo eti...
2 Reactions
52 Replies
6K Views
Wapenzi wa michezo na wadau wote wa mbio za magari na pikipiki kutokana na ugonjwa wa Corona. Shirikisho linalosimamia michezo ya magari na pikipiki ulimwenguni FIA (Fédération Internationale de...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mzuka wanajamvi! Michezo inalipa tukiwaona watoto wetu wanavipaji vya Michezo kwaanzia wadogo yani nikukomaa nao siyo tu muda wote kuwakazania kukariri orodha japo pia elimu ni muhimu na LAZIMA...
7 Reactions
35 Replies
5K Views
Kamati ya Kimataifa ya Olimpiki (IOC) inaangalia uwezekano wa kuahirisha michuano ya Tokyo 2020, na imejipatia wiki nne kufanya maamuzi. Bodi ya Utendaji ya IOC iliyokutana Jumapili jioni huku...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom