Mpaka sasa mechi zilizochezwa*
1. Simba mechi 21
2. Azam mechi 21
3. Yanga mechi 19
B Mechi Walizobakisha*
1. Simba mechi 17
2. Azam mechi 17
3. Yanga mechu 19 .
.
C* wakishinda mechi zote...
Najuaaa tunapopitia sihaba kuamini akuna kipya mbeleni.
Kwa matokeo haya tukapange tu foleni pale Kawe tugombanie namba za NIDA.
Sioni tunachoshindania mpaka sasa ajabuu unakaa bar kula unaonaa...
Kuna account nyingi zenye jina Simba Sports Club ila yenye blue tick ndiyo account rasmi ya klabu ya Simba; hiyo tiki inamaanisha kuwa account siyo feki.
Process za kupata blue tick ni nyepesi ni...
Leo ntakua na kazi moja tu kumuangalia Kiungo makini sn,ambaye huwa namuona kakamilika kwa kila kitu. Si mwingine bali ni Baraka Majogoro. Baada ya mechi ntaongea zaidi.
Baraka vs Tshishimbi...
Wahenga wanasema mtu husifiwa kwa kile akitendacho siyo ajuacho. Katika mtanange wa leo kati ya Simba Vs Kagera Sugar Mzee Mwenye Lindo Juma Nyoso ameonyesha kiwango cha juu sana.
Ilikuwa kama...
Klabu ya Simba ipo njiani kuifanyia marekebisho nembo yao ili iwe ya kisasa na iendane na wakati.Inasemekana kuwa wapenzi wa Simba hawataki kumwona Simba aliyekonda katika nembo hiyo, hivyo...
Haya ni mambo 5 yanayoniumiza sana Roho
1. Kucheza ligi ambayo mpinzani wa jadi ni Yanga. Hii ni kudhalilisha team ya Simba.
2. Simba kucheza dakika 90 kama team nyingine.hii si haki.sisi...
Lengo la kuileta tech hii lilikua zuri isipokua kumekuwepo mapungufu au dosari katika mfumo huu, nini kilitakiwa
1) Var ilitakiwa iwe ina operate yenyewe kama mashine katika maamuzi kwa 95%...
Tanzania tumepangwa kundi D ambalo lina timu:- Tanzania, Zambia, Guinea na Namibia. jJe wadau wa mpira katika kundi hili hatuoni kwamba tutakuwa tumepata nafasi angalau kati ya mshindi wa kwanza...
Mkali wa Ufilipino Manny Pacquiao amepigiwa kura nyingi zaidi kama bondia bora katika karne ya 21 mbele ya mpinzani wake Floyd Mayweather.
Mayweather, ambaye mara nyingi hufikiriwa kuwa mmoja wa...
.
Manchester City wamefungiwa kutoshiriki Michuano ya UEFA kwa misimu miwili (2020-2022) na faini ya Euro Million 30 hii inatokana na kukiuka masherti ya kanuni ya Financial Fair Play (FFP)
...
Ukizungumzia mastriker wenye umri mdogo ulaya na dunian kwa ujumla huwezi acha kumataja huyu dogo anaecheka na nyavu kila siku dogo hallanda
Kwa watu wa man untd miyoni mwao watakua wanajilaumu...
Naaam...bila shaka wote hamjambo kabisa, na nasema Amani iwe kwenu Mungu Awatangulie..!
Ni Jumamosi nyingine ya February 15, 2020 ambapo nyasi kwenye viwanja mbalimbali kuwaka moto katika...
Hii timu haieleweki kiukweli,ilivyofunguliwa ile ban ya kusajili nikajua timu itasajili watu wa maana lakini imekua hovyo,Abramovich huyu sio yule ambaye alikua haoni shida kutoa hela ya maana ya...
Aman iwe nanyi
Naomna kuuliza kenge gan mpuuz gan alileta kocha mpya wakati Boniface mkwasa akiwa anafaa kabisa na kutosha kamili gado kwenye kiti cha ukocha wa yanga
Mpuuz gan huyo anatuhujumu...
Kama ilivyo Ada mashabiki wote wa Yanga sc na Tanzania Prison tutakuwa hapa kupata update ya mtanange mkali kabisa utakaopigwa pale uwanja wa Taifa kwenye mida ya saa 1 kamili usiku,
Kabla ya...
POLEN sana. wana Yanga wenzangu waacheni watakawatakaosemaa tugange ya mbeleni
Leo nimeona nishauri HILI jambo VIONGOZI wangu WA Yanga wanapenda sana HILI jukwaa kwa TAARIFA tu
Ila zaidi n...
Namshuhudia Tshishimbi akicheza kiwango cha ajabu kabsa. Kipindi kizima cha kwanza hajapiga complete pass 10.
Pasi zote anawapa Prison au anapiga nje. Hili ni tatizo ambalo linazidi kukomaa na...
Huyu mhamasishaji wenu hafai hata kidogo. Anaongea kama lialia, anatafuta huruma siku zote.
Hii staili ya uongeaji haifai kabisa kwa mchezo wanaocheza wanaume. Aangalie WWE aone wababe...