Kabla ya hii Derby ya Kariakoo nilikuwa nikifuatilia kwa karibu sana aina ya uchambuzi uliokuwa ukifanya Kati ya Wasafi FM na ndugu zetu waliokwisha poteana Kwenye tasnia nzima ya habari yaani...
Kitendo cha Ramadhani Singano kusajiliwa TP Mazembe baada ya kutemwa na Azam Fc, wengi wameshtushwa na usajili huo. Kuna wanaoamini kuwa TP Mazembe imefulia. Haina tena nguvu ya pesa kama miaka...
Hakika nawapongeza sana wachezaji wa Yanga kwa kupambana kwa jasho na damu kwanu muziki wa Mabingwa wa Nchi sio wa Kitoto.Pia wamewanusuru Viongozi wao kutimuliwa Uongozini endapo wangepata...
Ukipata nafasi ya kuzungumzia masuala la ya soka la tanzania na aliyekuwa golikipa wa timu ya Simba na Taifa stars, Mohamed Mwameja, ni lazma akusimulie kisa hiki.
Miaka ya tisini enzi hizo...
Kakolanya ni mzuri kuliko Manula,goli la kwanza alikuwa alishatoka golini na ndo magoli ya mbali anayofungwa siku zote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uongozi wa Yanga umemsimamisha kazi mpiga picha wao Chicharito,uongozi huo umemsimamisha huyo mpiga picha wao jioni ya leo baada ya kuingia kambini kupiga picha bila idhini ya uongozi...
Kama kichwa kinavyojieleza japo muelezeaji ni mimi. Nimekaa chini nkatafakari na kupiga hesabu ya faida nilioingiza na niliopata nimebaki nmejiinamia tu,nasema hivi sirudii tena
Dem wangu akija...
Asee sijui kwanini mi nilikuaga sijui kama mtu unaweza hama timu uliyoishabikia tangu utotoni na kuiacha ukubwani,Mi shabiki wa manu wayback sana ila tangu mwaka juzi nimejikuta nahamia Liverpool...
Rais kipenzi cha watanzania wanyonge wapenda haki kama wewe
Mh hatuna imani na uongozi wote wa TFF
Nchi hii tumeshazoea mpira mashabiki tupo aina mbili Simba au Yanga
Leo TFF wapo kama ukoo wote...
Mambo 10 nilioyaona Simba Vs Yanga
Cc @ALIKAMWE
1: WHAT A GAME[emoji119] CLASSIC [emoji119] One of the best perfomance kwenye 'derby' ya Dar es Salaam. Viingilio vimeenda kihalali
2: Yanga...
Huyu dogo sijui alikuwa kituo gani kabla ya kwenda Wasafi Radio. Ananikosha sana katika uchambuzi wake. Haegemei popote, hafuati hisia za watu.
Tofauti na wachambuzi wengine hana ubaguzi,hana...
Yule mtoto kutoka kitaa chenye mishe mishe zake ndani ya Dar Es Salaam, Manzese pale kwa Madee Ali, pale ambapo Richard Mabala alipafanya setting ya kitabu chake cha 'Hawa the Bus Driver' ndipo...
Alex Furguson alipopewa ukocha wa Man United alisema lengo lake la kwanza ni kuumaliza utawala wa Liverpool kwenye soka la uingereza na kweli mzee alifanikiwa kwa kutumia kila njia za ndani uwanja...
HAYO NDIO MATOKEO HALISI MSIENDE MKAWAZA VINGINEVYO NA KUUMIZA MIOYO YENU
FT 1-1/2-2
HARUNA N KAMA ATACHEXA ATAFUNGA
UPANDE WA SIMBA ANAISHIA NA HATA SHATTA .HUYU NAE ATAFUNGA GOLI
SO FAR
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Vodacom Premier League VPL, kuendelea kutimua vumbi leo December 28, 2019 ambapo KMC FC Kino Boys, kukinukisha na Mabingwa wa Nchi, Simba SC, Mnyama Mkali Mwituni...
Nimeshangaa sana anadai penati ya simba ilikuwa halali hata mtoto wa darasa la Kwanza asingesema kuwa ile ni penart kama una unazi achana na unazi binafsi nakiheshimu sikuheshimu tena kwenye...
Shilingi imeganda huku watu wakifanya comeback ya mwaka mpya. Je Nani kalala na viata kati photocopy barcelona vs butua fc.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya mashabiki wa Yanga kutua Dar kwa kutumia baiskeli wakitokea Mtwara, na mwingine akitokea Kigoma kwa pikipiki, Kali kuliko zote ilikuwa leo asubuhi baada mashabiki 13 wa klabu ya Yanga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.