Si kawaida yao kuwa kimya kiasi hiki bila tambo wala majigambo kuelekea mechi yao dhidi ya wababe wao Simba. Hawa jamaa ni lazima wako kwenye maombi mazito ya kimya kimya wakiomba kesho dau lao...
AARON WAN-BISSAKA NA TRENT ALEXANDER-ARNOLD KILA MTU BORA KWA NAMNA YAKE ILA KUNA NAFASI YA MMOJA KUWA MKUBWA ZAIDI:
Aaron Wan-Bissaka ameacha maswali mengi akiangaliwa na Trent...
UCHAMBUZI KUELEKEA DERBY
YA KARIAKOO
________________________________
Waliouzungumza wamezungumza, waliotamba wametamba sana na waliochambua bado tunachambua maana heshima ya mpira ni baada ya...
Habar, Siku chache tulisikia uongozi wa yanga ukimsimamisha meneja wao .Dismas ten kwa kile kilichodaiwa kuwavalisha wachezaj a bech la ufund jezi zisizotakiwa
Jana tena tukasikia wamemsimamisha...
Changamoto imekuwa kubwa, ni jinsi ya kuikabili Simba.
Wengine wakitoa hoja kuwa usajili mpya umewaimarisha hivyo wafunguke, lakini wale wanaosema kupaki basi ndio suluhisho la kuiepuka aibu...
Mwanadada mrembo aitwae Salma mkazi wa Temeke wakati akihojiwa na Dauda Tv akaulizwa mchezaji gani anampenda wa Simba akasema Kagere na akaongezea Kama alifunga goal dhidi ya Yanga anioe bure bila...
Kuelekea mechi ya watani wa jadi simba na yanga karibu kuweka ubashiri wako hapa
Simba iliyo na kikosi imara kilicho bora kila idara itawakaribisha yanga ambao wamekuwa wakipata matokeo ya...
Mechi ya watani wa jadi ni mechi ambayo ndo mechi kubwa katika soka la Tanzania.
Rai yangu kwa viongozi hii ndo mechi ambayo club mwenyeji unaweza ukafanya biashara.
Hii mechi ni kubwa kibiashara...
Everybody say yeeeeeeehhhh breaking news la motomoto lina one hour tu, simba sc team ya 16 kwa ubora Africa ipo ndani ya game la PES 2020
Africa zipo teams za maana 51 tu, vigogo vya Africa only...
Habari zenu wale wadau wa michezo hasa tennis. Kama mjuavyo hivi karibuni, jumamosi kulikuwa na fainali ya grand slam ya Marekani, US OPEN. Bingwa aliibuka ni bidada toka Japan kwa jina la Naomi...
Hello Hello.....
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Vodacom Premier League kuendelea kuvurumishwa leo December 31, 2019 kunako Uwanja wa Taifa, ambapo Mabingwa wa Nchi Simba SC Mnyama Mkali Mwituni...
Habari wana jamvi,
Msimu huu Arsenal tuna hali mbaya kuliko Misimu yote iliyopita, Emery alietegemewa kufanya makubwa na kikosi cha Arsenal akakibomoa kikosi kwa migogoro na wachezaji.
Alianza...
Mwaka Huu arsenal asiposhuka daraja wamshukuru Mungu naona kabisa kwa style playing yao nirahisi Sana kufungwa na Man u labda tu wabadilishe aina yao ya uchezaji ukiachana na Hilo beki yao ni...
======
KLABU ya Simba rasmi imeachana na Mshambuliaji raia wa Brazil Wilker Da Silva kwa kutoridhishwa na kiwango chake.
Hayo yamebainishwa na Mtendaji Mkuu wa Simba, Senzo Mazingisa, katika...
Huyu ni kiungo mkabaji wa klabu cha kandanda cha simba .Alivyokuja kwenye ardhi ya tanzania alionekana sio chochote lakini kwa miezi 5 aliecheza baadhi ya wanamsimbazi wamemsahau kiungo wao...
Optajoe jamaa wa takwimu wameshaachia takwimu zao kwa miaka 10 (2010-2019) guesswhat Lionell Messi kafunga zaidi, katoa assist zaidi, katake-on zaidi na katoa accurate end passes zaidi lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.