Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Alijifanya kututosa, wachezaji hawatakagi kuishi maisha na mapenzi yao. Wajinga sana...
1 Reactions
3 Replies
869 Views
Leo ilikuwa ni fainali ya Kombe la Mapinduzi. Mlijiamini kwa asilimia 100 kuwa kombe mnalibeba mkasahau kuwa mpira ni dakika tisini. Poleni sana. Binafsi naona kuwa mlifanya uamuzi usio wa busara...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Hakika ngozi nyeusi ni nyeusi hata uifanyie jema gani. Wachezaji wa Simba ndio wanaoongoza kulipwa pesa nyingi na uongozi wa klabu ya Simba kuliko klabu yoyote Tanzania. Kutokana na kulipwa huko...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Na *MÖÑTÉLO 10* Ni Jambo la heri kuendelea kuwa hai mpaka sasa tuko mwanzoni kabisa mwa karne nyingine dunia Nayo haiko nyuma kuacha kujizungusha katika mhimili wake. Maisha yanaenda kasi sana...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Hii Ilikua jana kati ya Spurs vs Liver, SON alikosa bao moja la wazi mzee wa watu ikabidi apige magoti [emoji23][emoji23].
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Nimekuta mjadala sehemu moja hawa vijana wanaotamama wasafi TV wakimsifu role modal wao kwamba anataka kuinunua yanga na kwamba hizo pesa wanazonunua wachezaji ni sehemu ya pesa aliyotoa. Naomba...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Serikali ya Naijeria imethubutu kwa kutoa tamko kwamba wanakwenda kutoa ruhusa kwa makampuni ya vizimbuzi nchini humo kuwa na haki ya kumili ki maudhui ya urushaji Epl na Uefa na si DStv pekee...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Habar: simba na motibwa zimefanikiwa kutinga fainaly baada kuzitoa azam ya yanga Nn maoni yako mdau Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Aman iwe nanyi wakuu Kuna shabiki wa simba anahojiwa na azam tv mda huu kuelekea mchezo wa simba na azam Aisee huyu ni bingwa wa mambumbu Ni mbumbumbu namba moja Hakika aden lage hakukosea...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Miongoni mwa visa wa watani wa Jadi ni kuchuana kunasa saini za wachezaji wanaotamba kwenye vilabu mbalimbali nje na ndani ya Tanzania. Kuna wachezaji kadhaa ambao walilipiwa ticket za Ndege...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kamwene wadau wangu wangu wa JF. Kuna riwaya moja ipo pale Form Five na Six inaitwa Vuta N'kuvute ebhana ni moja ya love story iliyojaa ufundi mkubwa sana wa sanaa ya uandishi. Kwa wale walosoma...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Mshambuliaji wa kimataifa wa taifa Stars na KRC Genk ya Ubelgiji Mbwana Samatta yumo kwenye orodha ya wachezaji wanaotakiwa kusajiliwa na timu ya Middlesbrough ya Uingereza mwezi ujao. Meneja wa...
8 Reactions
52 Replies
12K Views
Klabu ya Yanga ikifanya kazi karibu na mdhamini wake GSM imemtangaza kocha Luc Eymail kuwa kucha mkuu atakaechukua mikoba ya mwinyi Zahera Luc anauzoefu na soka la Africa na akiwa ametwaa mataji...
3 Reactions
40 Replies
7K Views
Hii mechi ya jana kwa ile penati yenye utata vile. 1. Ingekuwa imetolewa upande wa Yanga ungeshuhudia viti vyote uwanjani vinavyong'olewa. Hapo ndiyo utashuhudia mashabiki wa Yanga ni...
17 Reactions
35 Replies
4K Views
Mbona nimejaribu kuangalia ratiba ya supersports 207 ya mechi hii sijaona hii game please mwenye kujua atuambie
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mulumba Ndaye akiwa ameshika jezi ya zamani ya timu ya taifa ya Zaire pamoja na Abed Pele kushoto na Danny Jordan kulia mwaka 2010 Mchezaji Mpira wa DR Congo Mulumba Ndaye amefariki dunia huko...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Huyu mwamba alikuwa anaujua sana hasa anapocheza dimba la chini. Alicheza vizuri sana, cha kushangaza aliondoka baada ya msimu mmoja tu, je nini sababu iliyomfanya Mzimbabwe yule kukaa kwa muda...
5 Reactions
16 Replies
2K Views
Mechi hii iliyofanyika Jumamosi ilikuwa na matukio mengi ya uwanjani na nje ya uwanja lakini wakati washabiki wengi wakijikita kwenye mjadala wa penati ya Kagere kama ni halali au siyo halali na...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Yanga wakati wa kumuuza Msuva 2017 Difaa El Jadida walishauriwa na meneja wa Msuva wamuuze dola 80,000 (Tsh mil 180) ili waweke kipengele cha kupata mgao akiuzwa kwingine (Benfica) ila walikataa...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Back
Top Bottom