Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Ni wachezaji wasiojituma, na ninapendekeza mishahara ipunguzwe sana. Hii ngozi nyeusi ukiwapa pesa ndefu wanalewa kiburi; si ajabu hata hawajitumi mazoezi binafsi. Sent using Jamii Forums...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Naomba mnijuze kama ni kweli kombe la mapinduzi halina kugombea mshindi wa tatu, ratiba haionyeshi pambano la kutafuta mshindi wa tatu, kama ni hivyo basi Simba na Yanga haziwezi kupambana maana...
2 Reactions
9 Replies
5K Views
Mo hakuwa na dhamira ya kujiuzulu nafasi yake ya uenyekiti wa bodi ya wakurugenzi baada ya kipigo cha Mtibwa isipokuwa alitaka kupoteza akili za mashabiki kindakindaki wa Simba wanaoamini SIMBA NI...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Hili gazeti letu pendwa matangazo ya freemason yamekuwa mengi,imekuwa kama bango la wale waganga wa jadi na matapeli kuwekea matangazo ya freemason, kila kurasa za kati hadi mwisho hayo matangazo...
6 Reactions
12 Replies
3K Views
FC Barcelona imethibitisha kumuajiri kocha wa zamani wa klabu za Real Betis pamoja na Racing Santander, Quique Setién kuchukua nafasi ya Ernesto Varverde aliyevunja mkataba na klabu hiyo. Setien...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Huyu kocha wa Simba hana jipya kabisa. Ameharimu mfumo mzuri ulotengenezwa na Uchebe. Mfumo anaoutumia unamficha Kagere. Viongozi wa Simba mrudisheni Uchebe. Hivi huyu kocha ataweza kutufanya...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Nyie fc guruguja hamna utani kabisa yan mmeweka full kikosi..ina maana hadi vikombe vya uji mnavitaka???.. kudadeki yaan mmekitolea macho hamna masikhara kabisa
1 Reactions
26 Replies
4K Views
MICHEZO: Dkt Jonas Tiboroha, Meneja wa Simon Msuva, mchezaji wa Taifa Stars, amesema Msuva amejiunga na klabu ya Benifica ya Ureno kwa mkataba wa miaka 3 akitokea klabu ya Difaâ El Jadidi...
26 Reactions
93 Replies
16K Views
Maana hali ni mbaya watu tunakosa amani mtaani, sasa jamaa hata penalt hafungi yaani muoneeni huruma.
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Katika Mkutano wa klabu ya simba leo mwekezaji wa klabu hiyo ameeza kuwa haridhishwi hata tone na nidhamu ya baadhi ya wachezaji wetu nje ya uwanja. amefafanua kuwa amekuwa mnyonge kuona uwekezaji...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Huyu mdau anasemaje? Jicho langu: TATIZO LA SIMBA LINAJENGWA NA VIONGOZI Hakuna anayeweza kubisha kuwa simba ndiyo timu yenye wachezaji bora kwa sasa Afrika Mashariki, Simba inao wachezaji wa...
7 Reactions
22 Replies
3K Views
  • Closed
Muda mfupi baada ya Simba kupoteza fainali ya kombe la mapinduzi dhidi ya Mtibwa, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba ametangaza kujiuzulu katika nafasi hiyo na kubaki kuwa mwekezaji tu...
6 Reactions
329 Replies
39K Views
La Parka: Afariki baada ya kuanguka wakati wa pambano Nguli wa mieleka, anayeitwa Jesús Alfonso Huerta Escoboza, maarufu kama La Parka amefariki baada ya kunguka katika uwanja wa mieleka La...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
ALISHTUKIA MAPEMA Alipoulizwa amechukuliaje uamuzi wa kufutwa kazi, Aussems alisema; “Ni muda mrefu nilikuwa najua tutafikia hatua hii kati yangu na Simba. Ni muda mrefu walikuwa wanataka kukata...
13 Reactions
34 Replies
4K Views
Nchi hii imejaa waandishi wa habari na watangazaji uchwara sana wakiongozwa na huyu shafii pamoja na osca osca yaani vichwani watupu kabisa, unaweza ukajiuliza hawa jamaa wanauwezo gani wa...
5 Reactions
89 Replies
12K Views
Ni sahihi kwamba msemaji wa club ya Yanga bwana Antonio Nugaz hana hadhi ya kujadiliwa humu JF. Ila pale inapobidi ni lazima kufanya hivyo. Binafsi nimekuwa nikimpuuza na kauli zake za hovyo na...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Tuliopo Znz leo tujitokeze kwa wingi uwanjani kuipa support timu hii ili iweze kurudi morogoro na taji Sent using Jamii Forums mobile app
3 Reactions
43 Replies
3K Views
Wakala wa James kotei ameikatalia club ya kaizar chief kumtoa kotei kwa mkopo kwenda yanga Awali uongozi wa yanga kwa kushilikiana na mdhamini wao GSM walikubaliana na kaizer chiefs kumtoa nyota...
4 Reactions
17 Replies
3K Views
Wakuu huu ni ukweli na ukweli lazma usemwe, Winga machachari wa Yanga na Taifa Stars anakwea pipa kwenda kucheza soka huko nchini Morocco. Sioni ni jinsi gani Msuva anaweza akumudu kumaliza miezi...
6 Reactions
56 Replies
6K Views
Back
Top Bottom