Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

ILEE, Patashika ya ligi kuu Tanzania kuendelea kupigwa leo January 18, 2020, ambapo Azam FC Wanalamba lamba, wakiwa na alama 29 kwa michezo 14, wanawakaribisha Yanga SC Wanajangwani, wenye alama...
4 Reactions
180 Replies
18K Views
1. Je ni kweli Mo anajaribu kuwa mkubwa kuliko timu ya Simba SC; au ni kweli Mo akiachana na Simba SC, timu hiyo itayumba na kukosa mustakabali elekezi? 2. Je kuna mafanikio gani ambayo Simba SC...
5 Reactions
21 Replies
4K Views
Ukiondoa majeraha yaliyomkumba siku za karibuni, nini kimemsibu straika huyu wa Kitanzania tuliyeaminishwa ana kipaji kikubwa kiasi cha kwamba angeweza kucheza klabu yoyote kubwa barani ulaya...
5 Reactions
34 Replies
7K Views
Naweza sema Zahera katuachia msala mzito sn. Aliwakuta wachezaji wazuri akajifanya mjuaji,akaruhusu wachezaji wazuri kuondoka huku akituaminisha kuleta wachezaji kiboko yao. Wachezaji wenyew ndo...
5 Reactions
12 Replies
2K Views
Sijawahi mkubali huyo Mbwana Samatta na naona ana kiwango cha kawaida tu.
6 Reactions
107 Replies
12K Views
January 18, 2020 Dar es Salaam, Tanzania Azam 1 - Young Africans 0 Kocha wa mkuu wa Yanga mbelgiji Luc Eymail atokwa povu na kulia kufuatia vipigo ktk mechi mfululizo. Na matokeo ya leo Kocha...
2 Reactions
39 Replies
5K Views
Hebu tujadiri hili swala GSM naona anamwaga sana pesa yanga kwenye kununua wachezaji na hata motisha timu kila inaposhinda je ni kwa kuwa ni mdhamini ama kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia...
4 Reactions
23 Replies
5K Views
Nilitaka kuamini kwamba tukio la kutekwa kwa Mo limepita na basi yeye alishaamua kuachana nalo na kuendelea na biashara zake. But lately naona dalili zote za PTSD - Post Traumatic Stress...
9 Reactions
29 Replies
3K Views
Naona wengi wanamtupia lawama kocha, kiukweli kocha hana makosa, makosa yapo kwa wachezaji. Kwa mfano goli kama alilojifunga Ally Sonzo utamlaumuje kocha!....mipira inafika kwa mastrika hawafungi...
4 Reactions
4 Replies
1K Views
Sheria za FIFA zinaainisha mchezaji akihama kutoka timu moja kwenda nyingine kila timu aliyocheza itapata mgao wao kutoka kwenye pesa za usajili. Kama tunavyojua Samatta kabla ya kwenda Simba...
1 Reactions
23 Replies
5K Views
Wakati homa ya mchezo wa Watani wa Jadi, Simba na Yanga ikiendelea kupanda huku zikiwa zimebaki saa chache, Mashabiki na Wachezaji wa timu hizo wameendelea kutambiana kuibuka na ushindi Simba...
4 Reactions
719 Replies
71K Views
Hii kwa mimi kama mtanzania mwenzao sijapendezwa na sio ustaarabu wa watu walio na hekima,ya nini kwenda kuvamia site za watu na habari na kuzitolea lugha ya matusi kiasi kile,ili hali tu kutaka...
4 Reactions
5 Replies
1K Views
Aman itamalaki Kwa usajil huu unaoendelea pale msimbazi kisajili wachezaji wasio na mbele wala nyuma na kuwaongezea mikataba wachezaji waliojichokea basi simba poleni sana Kocha mtamfukuza...
5 Reactions
43 Replies
10K Views
Mwenyekiti wa Yanga Mshindo Msolla sijui yupo Yanga kufanya nini. Hivi maamuzi ya kumleta kocha mpya yamefanywa na nani? Usajili wa wachezaji km YIPE umefanywa na nani maana ni kama anapelekeshwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Utafiti unaonyesha kwa sasa nchini Tanzania mashabiki wa yanga ndio watu wenye huzuni zaidi nchini. Na hii inatokana na wao kutopenda kuchomoa pindi wanapochomekwa kimoja au viwili Hakika...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mbwana Ally Samatta work permit: What Aston Villa must do to secure Tanzanian striker Aston Villa transfer news | Here's how Samatta's work permit situation will work out SHARE BY JAMES RUSHTON...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Huyu Ndie Shujaa wetu! Watanzania Tunakupenda. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Mjini hakukaliki, Yanga tangu wamepata sare na Simba wameshangilia sana matokeo hayo kama vile ambavyo Simba ingeshangilia kupata sare na Real Madrid. Je, ni kweli kuwa kiwango cha Yanga kwa sasa...
3 Reactions
38 Replies
4K Views
Ni jambo la wazi kwamba simba inapendwa Sana Tanzania kuliko club yoyote ile. Yanga ina WAPENZI wachache ukilinganisha na Simba pamoja na kulazimisha kupendwa kwa kujiita eti ni timu ya wananchi...
4 Reactions
27 Replies
3K Views
Back
Top Bottom