Uzi huu ni wakueleweshana sheria za mpira wa miguu pamoja nakutoa update za mabadiliko pamoja na sheria mpya.
Naomba kwa mwenye ufahamu kwa nini match ya jana Chelsea vs Arsenal kwa nini refree...
Mshambuliaji na Nahodha wa Tanzania Mbwana Samatta hali imeanza kuwa tete katika klabu yake ya KRC Genk. Hii ni kufuatia kupigwa benchi mara mbili mfululizo katika mechi za ligi.
Mechi ya kwanza...
Naomba kuuliza ni kwa nini goal la pili pa Salah limekubaliwa? wakati kuna VAR. Maana wakati United wanashambulia Mata alikuwa offside na linesman alishanyoosha kibendera
Inakuwaje offside kick...
Kuna mpango wa Simba kutakiwa kuidai Aston Villa hela ya uhamisho wa Mbwana Samatta kutoka Genk kwenda Aston Villa kwa mujibu wa Aden Rage.
Sheria za uhamisho wa wachezaji zinaruhusu Simba kudai...
Dar es Salaam. Ripoti kutoka nchini Ubelgiji zimeeleza kuwa klabu ya soka ya Aston Villa imepanga kutumia Pauni 8.5 milioni kumsajili mshambuliaji Mbwana Samatta kutoka klabu ya RC Genk...
UPDATES
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Samatta ametangazwa rasmi kujiunga na timu ya Aston Villa ya Uingereza kwa mkataba wa miaka minne na nusu
Hongera. Kapige kazi. £10M si...
Kwa kawaida huwa haichukui zaidi ya masaa 48 baada ya vipimo vya afya mchezaji kutambulishwa na klabu, fuatilieni sajili zote mtaona
lakini huyu ndugu yetu Samatta tokea tuskie yupo Uk akifanya...
Manu inatia huruma haina tena mvuto mashabiki wake wengine wamejificha kwenye timu zingine. timu yenye thamani kuliko timu zote duniani, timu yenye mashabiki kuliko timu zote duniani inakufa nini...
Hadi kufikia leo tarehe 20 January 2020 mchezaji wa ndani wa Man United Jesse Lingard ktk mmsimu wa EPL wa 2019/20 anazidiwa goal assist na golikipa wa Liverpool Alisson Becker, baada ya mchezaji...
Habar wadau, Mara nyingi mchezaji anaposajiliwa hupimwa afya akifuzu ndio husajiliwa ,naomba kuulza ni vitu/mambo gan hupimwa kwa mchezaji husika ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafikiri hapo kesho Tanzania apangwe na timu zipi ili atoboe?!!!!
NB: Kila pot inatoa timu moja kuunda kundi la timu nne.
Sent using Jamii Forums mobile app
Natoa wito kwa TFF na hata club ya Yanga,kumdhibiti kocha Luc mapema iwezekanavyo. Nimemsikiliza mahojiano yake baada ya kupigwa na Azam ameonyesha dhahiri kwamba ni kiburi na mzushi kuliko...
Bondia Floyd Mayweather ametangaza pambano la marudiano na Conor McGregor kuwa litafanyika mwaka huu 2020. Kupitia instagram akaunti yake Floyd ameanika hilo kwa kuweka picha inayoonekana juu...
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Bara Vodacom Premier League VPL, Kuendelea kupigwa tena leo January 19, 2020 ambapo Alliance FC, wakiwa nyumbani wanawakabili Mabingwa wa Nchi Simba SC, Mnyama Mkali...
Huyu mchezaji anayecheza juventus ni wazi wakati wa kutundika daluga umefika ila bado anataka kubishana na mwili wake
Akili inataka mwili hautaki,
Siku hizi uwanjani amegeuka mdhururaji...
Wakuu Habari zenu?
Wamenishangaza hawa mashabiki wa Manchester United,Yaani leo kabla ya mechi yao na Liverpool walikuwa wanamini watashinda hiyo mechi,nikawa najiuliza hawa kunanguvu tofauti...
Wakuu, nasikia klabu ya Simba inafukuzia asilimia ishirini toka kwa klabu ya T. P. Mazembe kwa mchezaji wake (Mazembe) Mbwana Samata kuuzwa (?) Ubelgiji. Hivi historia ya mchezaji huyo tumeambiwa...
Baada ya Sadio Mane kuporwa goli lake na VAR, eti paja sijui kwapa lake limezidi last defense line humu jukwaani na JF na mitandao mingine imekuwa kimya kabisa.
Mara ya pili hii VAR inasema...
Irishman Conor McGregory anatarajiwa kupanda Octagon kupigana na Mmarekani Donald Cerrone 'Cowboy' mnamo jumapili alfajiri kwa masaa ya EA. Ni pambano linalokuja baada ya Conor kukaa nje ya ulingo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.