Mshambuaji wa Kimataifa wa Tanzania Thomas Ulimwengu, amekamilisha usajili wa kujiunga na timu ya Al Hilal ya Sudan kwa mkataba wa mwaka mmoja.
Wakala wa mchezaji huyo Jamal Kisongo amesema...
Huyu jamaa ni overrated. Binafsi sijawahi kumuelewa Thomas Ulimwengu na aina yake ya uchezaji. Miaka nenda rudi, Ulimwengu ana uhakika wa kuitwa na kucheza timu ya Taifa ya Tanzania.
Je ni kipi...
Kloop hajui kucheza na timu zinazocheza samba
Klop huwezi kuchukua hili kombe
Gengenpress yake hufanya kazi kwa timu zinazocheza soka za kujilinda
Flamingo itamtafuna jogoo wa uingereza kwa...
Wakuu, hawa jamaa wamekazana kutulisha uongo kuwa ligi bora duniani eti ni EPL.
Vigezo vingi tu vya uhalisia dhidi ya uongo wa Clouds, nakumbuka hata aliyekuwa rais wa FIFA SB alitamka wazi kuwa...
Leo tunae [emoji117] Alvaro Recoba
Anaitwa Alvaro Alexander Recoba Rivero alizaliwa mwaka 1976 huko Montivedo Uruguay. Jina lake la utani lilikuwa "El Chino" likiwa na maana ya mchina, hii ni...
Jana bondia Anthony Joshua alichapwa katika pambano la ndondi ambalo halikupata uzito mkubwa kutokana na fainali ya UCL.
Leo hebu tujikumbushie mapambano ya ngumi yaliyotamba miaka ya nyuma...
Wengi walipoona GSM akifanya usajili wa dirisha dogo walizani neema imerudi Yanga na ni mwendo wa shangwe km lote. Nilipomsikiliza Nugaz akihojiwa wasafi Radio kwenye Sport Arena nilithibitisha...
FERNANDINHO KATIKA NAFASI YA BEKI ANA FAIDA GANI NA HASARA GANI !
Pep si mara ya kwanza kumchezesha kiungo wake katika nafasi ya ulinzi hii ni mbinu ambayo wengi humulikia hasara zaidi ya...
Mimi ni mwana yanga . Ila nasikitika viongozi benchi la ufundi wamekalia kulalamika kuonewa.
1. Yanga mechi ya kmc waliwaacha vijana wa zanzibar bila sababu yoyote hatimae tukambulia droo. Jana...
mpira sio burudani tu, ni ajira yenye maslahi kiuchumi.
Kijana wetu kafanikiwa kutinga huko ulaya na kweli anatoa burudani safi ila tatizo ni hapa kwenye maslahi.
Wengi wakisikia analipwa...
Kwa uonevu huu wa TFF kutumia waamuzi kuikwamisha yanga uongozi usipeleke timu mapinduzi cup ili kilio hicho kifike serikalini.
Huu ni mwaka wa tatu tunaonewa na waamuzi
Sent using Jamii Forums...
Kiungo wa klabu ya Yanga na timu ya Taifa ya Rwanda ndugu Haruna Niyonzima amekubali kuvaa jezi namba 8 Badala ya jezi namba 55 kama ilivyo shauriwa na uongozi wa klabu ya Yanga na benchi la...
Victoria Conteh ameteuliwa kuwa mkufunzi wa kwanza mwanamke kuifunza klabu ya wanaume katika ligi ya Sierra Leone kwa sababu amefuzu kufanya hivyo, kulingana na mmiliki wa klabu hiyo.
Mwanamke...
Wakuu poleni na mihangaiko ya siku nzima..!! Msaada kwa aliye na sample ya form ya usajili wa mchezaji wa mpira wa miguu, naomba anisaidie..!!
ASANTENI !!
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika kukuza michezo barani Afrika,Rais wa FIFA ameanzisha kampeni ya kuhakikisha kwamba kila nchi mwanachama wa wake wa bara la Afrika inajengewa uwanja mpya wa kisasa ambao utakuwa mali ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.