Timu ya soka ya Napoli ya Italy imemfukuza kazi aliyekuwa kocha wao Carlo Ancelotti masaa machache baada ya kuiongoza timu hiyo kuingia hatua ya mtoano kwenye Champions League.
Ancelotti ambaye...
aman iwe nanyi wakuu wa jukwaa hili
Bwana awe nanyi wakuu
Naseleleka nayo kama kawa kama dawa
Msinichoshe nisiwachoshe
Liverpool
Chelsea
Real Madrid
Barcelona
Juventus
Bayern munchen
Hawa ndo...
Hivi everton wamemchukua ancelotti huku arsenal wakimchukua artena ambae hajawahi ku manage timu kubwa. Nimejuja kugundua tatizo la arsenal sio wachezaji bali ni board. Board inafanya gambling na...
Barcelona anapewa nafasi kubwa kushinda gemu ya leo kwa sababu wana mchezaji bora duniani Messi na faida ya kucheza nyumbani lakini Zidane amesema Yes we can kwenye interview leo so inawezekana...
Kiungo wa Arsenal Mesut Ozil ameondoshwa kwenye mchezo wa video wa Pro Evolution Soccer (PES) 2020 toleo la Uchina baada ya kuikosoa nchi hiyo kwa kuwatesa jamii ya Waislamu ya Uighur.
Ozil, 31...
Imebidi niulize maana ni miaka mingi namsikia akitambulishwa kama Katibu mkuu wa CECAFA , kwa kumbukumbu zangu katika uongozi wa Musonye ndio kipindi ambacho michuano hii maarufu sana imepoteza...
Kutokana na hali ngumu ya fedha ktk Klabu ya Yanga, nashauri uongozi Usajili wachezaji wenye mapenzi na Yanga na sio mishahara. Wachezaji hao wapo na suala la uongozi kutangaza tu.
Sent using...
Naangalia mechi ya Kili Stars na Kenya, mpaka mapumziko wamepigwa 2:0 Wameishiwa mbinu,wamekata tamaa.Staili ya uchezaji ni ile ile toka mechi ya kwanza.
Timu inafungwa kocha haonesha kuwapa...
Wakati anaingia kuchukua nafasi ya Jonas Mkude Kili Stars ilikua imezidiwa kabsa eneoa lote la kiungo. Mzamiru alikua kapotea vibaya. Mkude alikua hoi kachoka hali iliyopelekea kufanya faulo...
Wakuu habari zenu kwa habari za kunyapianyapia zinasema yule fundi wa mpira kutokea kwa kagame Haruna Niyonzima aka Fabregas anatarajiwa kujiunga na timu ya Yanga kwa mara nyingine tena ndani ya...
Baada ya kuangalia mechi ya kwanza ya timu ya Kill Stars iliyochini ya Mgunda kama head coach namna ilivyo disorganized na inacheza bila mipango yoyote, MO amekuja na ahadi ambayo anajua kabisa...
Tuzo ya Ballon d'Or ya 2019 inatarajiwa kutolewa leo Desemba 2, 2019, huko Theatre du Chatelet, Paris. Sherehe rasmi itaanza saa 19:30 GMT (1:00am, Desemba 3, IST).
Luka Modric alishinda tuzo ya...
Kwa huruma kubwa sana naiomba TFF kuizuia timu ya Yanga kusajili wachezaji wapya ili kuipunguzia mzigo wa madeni , iendelee na wachezaji ilionao ili iweze kupunguza madeni.
Nawaasa wachezaji wa...
Kurudia ruksa.
1)Manchester city kubeba ligi ya Uingereza,FA, na kutinga fainali ya uefa
2)liverpool 90+ points bila kutwaa ligi.
3)United kushushwa daraja
Wadau hili suala huwa linanitatanisha sana!
Hivi inakuwaje Zanzibar inashiriki mashindano ya Vilabu ya CAF ilihali sio mwanachama, na ndiyo linapokuja suala la Timu ya Taifa inayotambuliwa ni ya...
Barcelona itatwaa ubingwa wa uefa
Champion league
Itacheza fainali na PSG
Hakuna timu ya EPL itafika hatar robo final
Sent using Jamii Forums mobile app