Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Maafisa wa Klabu ya Arsenal wanadaiwa kuwa kwenye mazungumzo na wenzao wa Manchester City kuangalia uwezekano wa kumpata Mikel Arteta kama mrithi wa Unai Emery Mapema leo, Maafisa hao wa Arsenal...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna baadhi ya vitu hata uwe umzalendo kiasi gani,ila facts zikigoma ujue hamna nanma. Kwa kili Stars mbele ya Uganda Facts zinagoma kila idara. Wachezaji wetu hawafungi,hawamiliki mpira,hawana...
3 Reactions
27 Replies
3K Views
Mimi ni shabiki kindakindaki na mwanachama aliyetukuka wa Simba Sports Club. Nikiwa kama shabiki na mwanachama wa Club yetu pendwa ningependa kuwa wakala wa kuuza jezi na kugawa kadi mpya za...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Hii ndio Yanga mpya, Wachezaji wa kigeni wanaokipiga katika club ya Yanga wameshtushwa na utaratibu wa ajabu wa klabu hiyo. Tarehe 16 mwezi huu mishahara ya wachezaji hao iliingia huku pamoja na...
7 Reactions
36 Replies
8K Views
LEICESTER City wamekuwa kwenye kiwango bora kweli kweli msimu huu na kuwa wapinzani wapya wa Liverpool kwenye mbio za ubingwa wa Ligi Kuu England. Straika, Jamie Vardy yupo kwenye kiwango bora...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Hivi timu yetu,SI inacheza Leo huko Kampala ,mbona kimyaaa!
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Samoa na Australia wamepokea kichapo cha mbwa kutoka Kenya
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hii timu inabidi isajili watu wa maana kabisa ikizingatiwa tayari wameruhusiwa kusajili, Lampard hadi sasa alichofaulu ni kuwainua vijana wa uingereza na kuwapa nafasi pia kupiga pasi nyingi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
-Mjumbe wa Baraza la wazee wa klabu ya Yanga, Mzee Ibrahim Akilimali amemshangaa Mwenyekiti wa baraza la wadhamini wa klabu ya Yanga, George Mkuchika kwa kukiuka katiba ya klabu ya Yanga kuhusu...
3 Reactions
39 Replies
6K Views
Mzee akilimali amezidi kusema kuikodisha Yanga kwa mtu binafsi haifai kwa kuwa Yanga ni taasisi ya watu wengi amesema, pia mkutano wa Yanga ni mkutano wa kihuni kwa kuwa kila kitakachosemwa na...
3 Reactions
33 Replies
4K Views
Mzee Akilimali amedai Yanga ni klabu kubwa na haiwezi kukodishwa kama masufuria ya kwenye shughuli kwa ajili ya kufaidisha mtu mmoja =============== Habari Zaidi =============== Siku kadhaa...
0 Reactions
93 Replies
9K Views
Ronaldo being a better goal scorer than Lionel Messi is a myth. Thread: Most goals in a single season: Lionel Messi - 73 Cristiano Ronaldo - 61 Messi holds the record for the most goals...
5 Reactions
36 Replies
3K Views
*Maoni ya mchambuzi george ambangile [emoji1541]* Haaland au Greenwood . Naona Manchester United wanahusishwa na Erling Haaland ambaye ana miaka 19 wakati tayari kwenye kikosi chao wana Mason...
7 Reactions
15 Replies
3K Views
"Hali yangu mbaya naomba wana Yanga na wapenda michezo wote waniombee, kisukari kinanitesa sana nipo huku Bagamoyo nikijiuguza" - Mzee Akilimali. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
9 Replies
1K Views
"Hali yangu mbaya naomba wana Yanga na wapenda michezo wote waniombee, kisukari kinanitesa sana nipo huku Bagamoyo nikijiuguza" - Mzee Akilimali. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Mwenye CV ya Mzee Ibrahim Akilimali atujulishe tafadhali.. Dar Es Salaam Young Africans Baby.
1 Reactions
33 Replies
8K Views
Karibu Anfried MINAMINO
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Aston Villa have been heavily linked with a move for Glasgow Rangers striker Alfredo Morelos, but doubts remain whether the Ibrox club will offload him in January. Dean Smith’s side find...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa mtandao wa Global Soccer Award, hiki ndio kikosi bora cha miaka 10 (Muongo/Decade). Nani amesahaulika, nani atoke? Au unakubaliana na kikosi? Karibu kwa mjadala.
4 Reactions
38 Replies
6K Views
Back
Top Bottom