Leo Andy Luiz atajuta kumfahamu bondia kipenzi cha GENTAMYCINE Antony Joshua. Kwa wale ambao 'mnabeti' tayari nimeshapewa matokeo na 'mtaalam' wangu kutumia nujumu / tabiri zake ambapo 'Kibonge'...
Nikiwa kama Mmoja wa Watu niliochukizwa kama siyo kukasirishwa na Kitendo Bondia Mwakinyo cha Kumdhihaki Bondia mwenye Historia iliyotukuka hapa Tanzania Rashid Matumla hadi GENTAMYCINE...
Jana kulikuwa na mpambano mkali wa ngumi baina ya Anthony Joshua na Ruiz Jr. Yeyote aliyeshuhudia pambano hilo aliona jinsi Anthony Joshua alivyokuwa anakwepa staili ya kuegemea kamba.
Kila Ruiz...
Bingwa wa uzito wa juu duniani anayeshikilia mikanda mitatu mikubwa Antony Joshua 'AJ' kesho alfajiri atapanda ulingoni kwenye pambano lake ya 23 kuchapana na Mmexico Andy Ruiz Jr. Hapo awali...
Kwako Pep Guardiola ..!
Mimi nikiwa kama shabiki wa Man City ninayewakilisha mashabiki wa Man City nchini Tanganyika ninaomba ufanya mambo yafuatayo katika mechi dhidi ya Liverpool itakayopigwa...
For much of their existence, Manchester City have sat firmly in United’s shadow. In 1999, when legendary United manager Sir Alex Ferguson’s illustrious side won an unprecedented treble, City were...
Wadau kwa mazingira yangu imekua ngumu kufuatilia mechi za EPL mabanda umiza...naulizia Leo game ya Liverpool na Bournemouth itarushwa na Azam UTV? Niko shamba.
Baada ya Chelsea kuruhusiwa kusajili uongozi wa Chelsea umempa lampard paund mil 150 za usajili.Lampard amesema atasajili maeneo machache sana ambayo ameona Yana upungufu ndo maana nimewaambia...
Hatimaye aliyekuwa kocha wa klabu ya Simba Mr "uchebe" ameondolewa kuifundisha klabu hiyo.Kupitia page yake ya Instagram uchebe amethibisha hayo.
Kocha wa Simba Mbelgiji, Patrick Aussems...
Promota wa AJ ametangaza rasmi uwepo wa rematch kati ya mteja wake na Andy Ruiz mnamo Nov/Dec ingawa bado haijajulikana itafanyikia wapi, hii ni baada ya AJ kupoteza pambano lake la kwanza kwa...
Mchezaji wa zamani aliyewahi kuzichezea timu za Simba na Yanga pamoja na timu ya taifa ya Tanzania Ally Yusuph Tigana, amefariki dunia leo katika Hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam baada ya...
Klabu ya Soka ya Chelsea imefanikiwa kupangua adhabu iliyokuwa imewekewa ya kutokusajili Wachezaji katika madirisha mawili ya usajili
Mahakama ya Usuluhishi ya Michezo imetoa uamuzi kwa faida ya...
Dambe ndio Miereka yenye asili ya Afrika magharibi, lakini hivi karibuni imekuwa maarufu zaidi kutokana na kuwapo kwa video mbalimbali kutoka katika mtandao wa Youtube.
Mchezo huo unahusisha...
Nimeona tetesi za kocha Suleiman matola kuwa ndio anakuja kuwa mrithi wa Aussems,kiuhalisia kwangu sioni kama ni mtu sahihi kabisa,
Mimi sio hater wa matola bali ni mshabiki wake namba moja...
Kati ya hoja ambazo zinakuwa raised kuchallenge ubora wa The G.O.A.T Lionel Messi dhidi ya Cr7 na wengineo ni hii ya kucheza ligi moja ya Barcelona maisha yake yote ya soka.
Sasa leo naomba...
Ifike muda nadharia hizi tuzilete katika mazingira halisia
Unaposema Messi sio bora kwa kuwa amedumu katika ligi moja bila kutafuta challenge sehemu zingine
hivi ulishawahi kujiuliza ugumu wa...