JUMATATU iliyopita, Cristiano Ronaldo alifikisha bao lake la 700 katika maisha yake ya soka, wakati alipofunga mara moja akiwa na Ureno kwenye mechi ya kipigo kutoka kwa Ukraine kwenye...
Hawa jamaa wamefungwa kizembe sana, kwanza wametumia kodi zetu vibaya na huu ni uhujumu uchumi.
Wanafaa wakifika watandikwe viboko ili wajue kuipigania nchi sio kuchekacheka hovyo uwanjani.
Kikosi cha Brazil cha umri chini ya miaka 17 kimenyakuwa kombe la dunia baada ya kuinyuka Mexico kwa bao 2-1 katika mchezo wa fainali.
Pamoja na kunyakuwa kombe hilo pia mchezaji wa Brazil...
Huyu ni moja kati ya mastriker mahiri kabisa wa Dar Es Salaam Young Africans. Jina lake anaitwa Mohamed Hussein " Mmachinga" . Bingwa wa kucheka na nyavu. Yupo wapi huyu jamaa ?
Taarifa zinaeleza kuwa wawakilishi wa Jose Mourinho na wale wa Klabu ya Tottenham wamekuwa kwenye mazungumzo kuhusi jambo hilo
Wanatarajiwa kufikia makubaliano yatakayomfanya Jose Mourinho awe...
Ronaldo vs. Messi: career hat-tricks, goals, season statistics, trophies
http://messivsronaldo.net/all-time-stats/
but wote tunajua hizi sifa Hapa chini CR7 hana,hivyo messi ataendelea kuwa juu ya...
Mshambuliaji machachari wa real Madrid ambaye pia aliwakuichezea Chelsea ametoa utabiri wake kuhusu game kubwa itakayofanyika jumamosi itakao wakutanisha man city ambaye anashika nafasi ya 4 vs...
Kwa Hali ilivyo,isiporekebishwa Simba kukosa mbadala waKagere na Boko NI jambo hatari Sana.
Na hili limejitokeza baada ya majeraha ya Boko.Watu wakimkamata Mk14 gemu imeisha,NI heri wangmwacha...
ARSENAL ilianza kuharibika lini? Ilipojenga uwanja wake wa Emirates. Ilikuwa inatesa sana ikiwa katika uwanja wa Highbury lakini tangu walipohamia Emirates habari ikageuka. Natania tu, lakini kuna...
Mpira wa Afrika umejaa figisu bila miamala hauendi.
Juzi E Gine tumeshinda mbili kwa moja lakini ukiangalia penati ya Samata ilikuwa wazi kabisa Refa akatupotezea bila juhudi binafsi za wacheji...
Ni dhahiri kuwa timu ya Taifa kwasasa ipo kwenye kiwango kizuri sana (kinavutia).
Leo tarehe 19.11.2019 majira ya saa 22:00 timu yetu ya taifa (taifa stars) itashuka dimbani kumenyena na Libya ni...
Hatumlamu ila baada ya mechi ni wajibu wetu mashabiki kutathimini tumekosea wapi.
Kitendo cha benchi la ufundi kumtoa Salum Kimenya limetughalimu sn. Ni mechi ambayo ilikua upande wetu ila baada...
Kama kweli una nia ya kuupeleka mbele mchezo wa boxing bongo acha kupigana na aina hii ya wapinzani, hawatakupeleka popote.
Mtu ana loss 24 unapigana naye ili iweje, ili akupeleke wapi? He is...
Nimekaa na wazee hapa, wanabishana kuwa Sunday Manara "Computer" ndiye mchezaji bora kabisa kuwahi kutokea nchini Tanzania.
Ila miongoni mwao wapo wanaosema hakuna kama Edibily Jonas Lunyamila...
Wakuu, hizi habari zilinazotrend toka Jana kuwa jamaa kaikacha msimbazi then kaonekana JK Nyerer Airport kana kwamba anakwea pipa.
Pia, inasemekana kuwa pale msimbazi wamevunja whole bench la...
Mechi za kirafiki za Brazil baada ya kuchezea kichapo kwa Argentina, suluhu na Panama naona wana kipiga na akina Son, Korea ya Kusini.
Son alipiga bunge la shoot ila nyanda kaliona
Coutinho...
Hivi jamani, hebu tena tulichambue hili;
ina maana huyu Kaseja baada ya kutamba miaka kumi iliyopita na akafifia na mpaka kupotea, means sasa ame-recover na kuweza kuwa bora zaidi ya Manula ambaye...