Kwa bahati mbaya Sana Mimi ninayeandika ninapenda Sana nyimbo! (Muziki) na mbaya zaidi naipenda Sana Simba!
Mimi Ni miongoni mwa tuliosubiria kwa hamu ujio rasmi wa wimbo huu!
Mara nyingi...
Kiungo wa Manchester City Bernardo Silva, amefungiwa mechi moja na Chama cha Soka nchini Uingereza (FA) kutokana na posti yake iliyokuwa na kiashiria cha ubaguzi wa rangi kwa mchezaji mwenzake wa...
Mshambliaji wa timu ya Vissel Kobe ya Nchini Japani, David Villa, 37 raia wa Hispania asema kuwa ataastaafu kucheza soka mwaka ujao baada ya kumalizika kwa msimu wa ligi kuu nchini Japan...
Mchezaji wa klabu ya Manchester City Raheem Sterling amelezimika kuondolewa katika kikosi cha timu ya taifa ya Uingereza kinachojiandaa kucheza dhidi ya nchi ya Montenegro kuwania kufuzu michuano...
Kiungo wa Kiitaliano mwenye asili ya Brazil, Jorginho anayekipiga katika klabu ya Chelsea amekuwa katika kiwango cha hali ya juu msimu huu.
Baada ya kuboronga kwenye msimu wake wa kwanza akiwa...
MESSI ATWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA UEFA
Mfalme wa soka ulimwenguni, Lionel Messi ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa wiki katika UCL.
Messi amewashinda Matthijs de Ligt wa Ajax, Heung-Min Son wa...
Hii nimekutana nyo katika mitandao na ikanikumbusha mbali nikaonelea niilete humu.
George Magere Masatu,Edibily Jonas Lunyamila,Husein Amani Masha,Nteze John (Lungu) ,Sanif Razaro...
Sote ni mashahidi wa namna Klopp ameibadili Liverpool, ameibadili kutoka mediocrity hadi kuwa miongoni wa zile Timu tishio ulaya.
Kikwazo pekee kwenye mafanikio ya Klopp ni kiu ya Premier League...
Mshambuliaji wa kimataifa wa Misri, Mo Salah ameripotiwa kuondolewa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Misri kinachojiandaa kucheza dhidi ya timu ya taifa ya Kenya (Harambe Stars kuwania kufuzu...
Pengine timu ili iwe bora ni lazima izishinde timu nyingine bora,japo mara nyingi upepo huwa una kata mwishoni kwa Liverpool wakikaribia kuchukua ubingwa wa ligi.Ushindi wa leo dhidi ya city...
Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) limemfungia aliyekuwa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi kujihusisha na soka kwa Muda wa Miaka kumi kwa tuhuma za kughushi na...
Kocha mkuu wa Taifa Stars Ettiene Ndairagije ametaja majina ya wachezaji 27 kutoka katika vilabu mbalimbali vya ndani na nje ya Tanzania. Taifa Stars inataraji kukabiliana na Equatorial Guinea...
HUU MCHEZO HUTEGEI KAMA FOOTBAL, UKITEGEA UNAKUFA
Bondia Mmarekani Patrick Day amefariki dunia jana Jumatano zikiwa zimepita siku nne tangu atolewe na machela ulingoni baada ya kupigwa na...
N aje guys
Jumapili hii kutakuwa na mpambano wa kukata na shoka pale England hawa vidume wawili kwa mtazamo wangu ndo anapatikana bingwa wa Epl
Huku Liverpool wakiwa kwenye ubora wa hali ya juu...
Nipo kwenye gari safarini kuelekea Mbeya nikaamua kununua zangu GB5 za internet ili niweze kuangalia mechi ya watani zangu Yanga Vs Zesco, ila ghafla bin vuu hawa Azam Wameamua kuiondoa chaneli...
FT Liverpool 1 - 0 Stoke
FT Arsenal 1 - 3 Aston Villa
FT Norwich 2 - 2 Everton
FT Sunderland 0 - 1 Fulham
FT West Bromwich Albion 0 - 1 Southampton
FT West Ham 2 - 0 Cardiff
Wana kocha bora, wanajituma wanacheza team work.
Waliopo juu yao mfano liverpool hawana bahati ya ubingwa, mancity hana consistance ya ushindi season hii
Natabiri Leicester Kuchukua Ubingwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.