Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Wakuu habari za muda huu? Kama kichwa cha uzi kinavyoeleza kwa ambaye hakubahatika kutazama machi kali na yakuvutia ya Mtanzania Mbwana Ally Samatta inaonyeshwa marudio muda huu kwenye chanel ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nyie Yanga mnasema Daima mbele nyuma mwiko.dante mlimfanyia hivyo kuwa tayari mmeshasonga mbele hamumlipi pesa zake.. Yote Tisa Zahera alipwe. 1. Pesa zake za ufadhili 2. Pesa zake za usemaji wa...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Zahera alikuwa na bado ni kocha mzuri na msemaji wa team ambye hatujawahi pata.zahera alikuwa pia mfadhili akionesha mapenzi yake ya dhati kwa yanga. Waandishi wa habari walimpenda sababu anajua...
6 Reactions
32 Replies
3K Views
Siyo jambo la ajabu kocha kufukuzwa kwenye club timu ikikosa matokeo viwanjani, lakini hii ya Zahera kushindwa kuifunga Pyramids na Ruvu kustahili kufutwa kibarua hainiingii akilini. Pyramids ina...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Hii kitu imekaaje wakuu ?
2 Reactions
42 Replies
6K Views
Fatma Dewji Ametimiza Ahadi Yake Leo Waliowekeana Na Mshambuliaji Wa Simba Kuwa Endapo Angewatungua Azam Fc Angepewa Zawadi Ya 50M. Ahadi Hiyo Ilikuwa Ya Siri Kati Yake Na Kagere Walipo Kuwa...
35 Reactions
80 Replies
10K Views
Jana dhidi ya Ajax amepiga penalty mbili yaani kama wewe ni kipa unaweza mtia ngumi anafunga penalty kwa dharau mno
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Katuwakilisha vyema kabisa na pasipo kuwepo na ule ufigisu figisu angekuwa amwaweka nje ndani hawa majogoo Big up le capitain 43 min Terrific run and header from the corner. The Tanzania...
4 Reactions
83 Replies
9K Views
Habari wana sports, Niendelee moja kwa moja kwenye hoja yangu, tangu Yanga yangu ilipokuwa inasuasua mtu aliyerushiwa maneno ni Kocha mkuu Mwinyi Zahera kwamba hana mbinu sahihi, anawachezesha...
4 Reactions
32 Replies
4K Views
Yanga imevunja mkataba na kocha wake Mwinyi Zahera pamoja na benchi zima la ufundi sambamba na kuvunja kamati ya mashindano. Zahera ametimuliwa na klabu hiyo wakati mwenyewe ameendelea na kazi...
11 Reactions
157 Replies
16K Views
Jamaa wakiwa away wanapiga mwingi mno ila wakiwa home wanafungwa wana siri gani gemu za awai? mpaka sasa Chelsea kavunjiwa dalaja kashapigwa 3 nyumbani awa jamaa inawezekana ni zaidi ya tuwajuavyo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
March 3, 2008 Men's Basketball 7,600 Miles From UConn, Thabeet Is Big Man Off Campus By MIKE OGLE STORRS, Conn. — An airplane landed in Dar es Salaam, Tanzania, in May 2007 with a man of...
0 Reactions
292 Replies
43K Views
Kocha Mkuu " Timu yangu haina uwezo wa Kucheza na Waarabu hawa na sina Kikosi cha Kucheza nao kwani sikusajili kwa ajili ya Mashindano ya Kimataifa huu ndiyo ukweli na tusije Kulaumiana kama...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Ni mtanzania wa kwanza kucheza na mabingwa wa ligi ya mabingwa Ulaya. Liverpool fc. Ni mtanzania wa kwanza kujaribu kumfunga kipa bora wa mwaka. Alison Becker. Ni mtanzania wa kwanza kukabwa na...
0 Reactions
49 Replies
6K Views
Nina app ya mobdro Chanel Gani itaonesha game ya Liverpool vs genk.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kumbe sababu kubwa ya wachezaji wetu kushindwa kufanya vizuri kwenye michuano ya kimataifa ni kwa sababu wanakariri sana maelekezo ya kocha kuliko maamuzi yao binafsi uwanjani. Hivi hawaoni...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Je, Mkwasa anaweza kuiziba nafasi ya kocha aliyeondoka, George Lwandamina Yanga?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hii ni baada ya timu hiyo kupokea kipigo cha mbwa koko kwenye mechi ya Jumamosi ugenini kwa Eintracht Frankfut ambako walitandikwa bao 5 -1. Je, ni nani atapewa kazi ya kukinoa kikosi hiki?
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Yaani nao wanatumia video za youtube tulizostream jana na wao wanaoonesha kwenye habari hivyo hivyo halafu zinascrach. Hovyo sana na aibu kwa taifa hili la Tanzania. Yaani nao wanamtumia Dr...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom