Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kinyozi maarufu aliyekuwa anamyoa staa wa Jubentus na Ureno Cristiano Ronaldo amekutwa mefariki ndani ya chumba cha hotel nchini Uswizi. Mwili wa kinyozi huyo umekutwa chumba cha hotel na mhudumu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Huyu Mkuu Yuko wapi
0 Reactions
2 Replies
952 Views
Katika historia ya soka timu za kiafrika zimeishia kwenye robo fainali tu katika kombe la dunia. Hakuna iliyowahi kufikia nusu hata 1. Mwaka 2010 pale Sauz timu ya Ghana ilikua inatarajia kuvunja...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Leo ligi inayopendwa duniani imeingiwa na simanzi baada ya mchezaji wa timu ya Everton kuumia vibaya baada ya kukanyagwa na mchezaji wa Tottenham SON binafsi nimeumia sana.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kocha wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema kuwa hawezi kuwasikiliza mashabiki wanachokisema kwa sasa baada ya kufungwa na Pyramids FC bali anawasiliana na uongozi ambao ulimpa mkataba. Hayo yamekuja...
1 Reactions
54 Replies
9K Views
Sioni dalili za game ya Yanga kuoneshwa..yawezekana ikawa ni ombi lao ili kukwepa aibu ya kuona jinsi watakavyokua wakiadabishwa na pyramids.. Hata hivyo dunia kijiji link zipo na wale wa dstv...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Juzi kati hapa kocha Zahera alisema timu ya Yanga haikusajili kwa ajili ya mashindano ya kimataifa, hii kauli inaungwa mkono na baadhi ya mashabiki na viongozi wa Yanga. Je, Yanga nyie kwa nini...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari za wakati huu wanamichezo. Naamini wengi wenu au baadhi yenu humu jukwaani mnatumia samsung phones. Sasa basi samsung wana application inaitwa samsung health Kazi ya hii app ni ku...
4 Reactions
38 Replies
3K Views
Muda mchache ujao hapo SAA 12:00 EAT wawakilishi wa Africa pia mabingwa mara mbili wa dunia wanaenda kumenyana mbavu na England katika fainali hii ya WC. Usikose mpambano huu kupitia SS1, DStv...
0 Reactions
3 Replies
906 Views
Klabu ya soka ya Yanga jana jioni wamesafiri kuelekea Misri kwenye mchezo wa mkondo wa pili dhidi ya wapinzani wao Pyramids FC. Yanga imeondoka ikiwa inakosa huduma ya wachezaji wake muhimu Kelvin...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
CCM ni chama kikubwa na kikongwe kinachoongozwa na watu wenye weledi mkubwa. Hivyo CCM hakiwezi kufa au kushindwa kujiendesha kama kitarudisha serikalini viwanja vya mpira inavyovimiliki ili...
1 Reactions
42 Replies
4K Views
Naaam kumekucha..Ule mfululizo wa patashika ya kumtafuta bingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara 2019/2020, Vodacom Premier League (VPL), kuendelea kutimua vumbi leo Jumapili ya Novemba 3, 2019 katika...
3 Reactions
97 Replies
12K Views
Kabla ya yote niwaambie wale wanaobet wasiwe na hofu kabisa Moja ya mechi ambayo itawaduwaza washabiki wengi wa soka basi ni hii ya leo dhidi ya Mwarabu ambaye anaenda kupigwa kwao. Leo weka hata...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Boss wa Pyramid awaahidi wachezaji wa timu yake milioni 500 kwa kila goli litakalofugwa na pia atatoa bilioni 20 endapo Pyramid itafanikiwa kuibuka na ushindi dhidi ya Yanga Fc
1 Reactions
50 Replies
4K Views
Team C R vipi. Mambo ya kusubiri pass ya kumalizia leo yanakwama kwa CR.Torino sio mchezo. Na penat ya wazi Juv wamebebwa na ref
0 Reactions
7 Replies
937 Views
Ni dakika kadhaa zilizopita, Canelo kafanikiwa kumpiga Kovalev kwa KO Round ya 11 baada ya kumpiga clear hook na kumdondosha. Kovalev alikuwa akishikiria mkanda wa WBO kwenye uzito wa Light...
1 Reactions
2 Replies
641 Views
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Vodacom Premier League VPL inatarajia kurindima leo kunako dimba la Kambarage Shinyanga ambapo wenyeji Mwadui FC, wanawakaribisha Mabingwa wa Nchi Simba SC, Mnyama...
6 Reactions
314 Replies
23K Views
Vpl imeendelea leo katika viwanja vitatu, katika hali isiyo tarajiwa wale walio toboa tundu wamejikuta wakiangukia pua kwa wanna kamwene na hivyo kuleta ahueni pale msimbazi.
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Mmexico anayeaminika kuwa ni no1 pound-4-pound duniani kwa sasa leo atapanda ulingoni kutwangana na Kovalev; bingwa anayeshikilia mkanda wa WBO kwenye uzito wa Light Heavyweight. Endapo Canelo...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Kinachoiangusha Yanga ni kutofanya usajili wa maana. Wachezaji waliowasajili wengi hawana viwango kabisa. Igeni mfano wa jirani zenu wa Simba na Azam, wanapocheza utafurahi kabisa. Mchezaji...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom