Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Mwamba kaungana na hawaapa 1. Mark Hughes November 11,1987 Jamaa alicheza mechi ya kufuzu euro kati ya Wales vs Czechoslovakia na baadae akasafiri had German na kucheza for 30 min kwenye Dfb...
5 Reactions
1 Replies
352 Views
Tarehe kama ya Leo mabingwa wa nchi, Young africans sc, Yenye makazi yake Jangwani, Dar es salaam, Ilifanikwa kutoa somo na onyo kali kwa kumkung'uta kichapo kikali mpinzani wake katika derby ya...
2 Reactions
15 Replies
552 Views
Hivi kuna refa wa Tanzania ameenda kusomea urefa nje kweli au kupata mafunzo nje ya Tanzania? Ukiangalia karibia wote ni sawa hamna mwenye uafadhali, mwingine unakuta mchezo mzima...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
I will be short Lini umeona Simba mechi yake anachezesha arajiga ?? Yanga mechi 3 . Azam fc . Ila Simba mechi zao zote ni za bahasha . Leo Refa kawa onea sana Namungo . Karia kavuta pesa za...
5 Reactions
18 Replies
1K Views
Mavambo ameshika waha wa Kigoma huko, umati wa mashabiki umegoma kuondoka kambini maw Simba wakitaka wamuone kiungo fundi Fernandez Mavambo
4 Reactions
24 Replies
1K Views
Leo nimeamua niweke katika kumbukumbu matokeo ya hii mechi ambayo hayanukuliwi mara nyingi kwa kuwa labda ilikuwa ni mechi ya mwisho katika msimu wa 2008/2009 tarehe 27/04/2009 kati ya timu ndogo...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
"This is the Champions League. No matter the opponent, it's impossible to come back if one of your players is sent off. We are very disappointed. We felt we had control of the game before the red...
0 Reactions
2 Replies
364 Views
Naona kama hili linataka kupita bila kujadiliwa humu na wadau wa soka, sijajua kama limejadiliwa na wachambuzi wetu katika redio zetu za FM. Nasor Saadun alicheza mechi ya ushindani akiwa na Azam...
2 Reactions
3 Replies
415 Views
Jana kwa walioangalia mpira kuna muda Khalid Aucho alifanyiwa madhambi ya makusudi kabisa na mchezaji wa Azam sijui nani yule. Kipindi hicho tayari ana kadi ya njano na alitaka kuinuka kwa gadhabu...
6 Reactions
19 Replies
1K Views
Tundaman kwanza nani alikudanganya wewe ni msanii wa muziki? Ni kwamba hata kutoka kwako kwenye game ulitoka kwa sababu kaka zako akina Heri Mzozo wali wa persuade akina Chidy Benz wasaidie...
15 Reactions
35 Replies
6K Views
Mwosha huoshwa sasa tutaelewana tu Nassor Saadun jana alicheza mchezo wa Dar Derby na kumsababaishia kadi nyekundu beki wa Yanga Ibrahim Bacca na Yanga kucheza pungufu kwa katika zaidi ya 80 hapo...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Kwenye mechi kati ya Mashujaa na Simba ziliongezwa dakika sita baada ya kukamilika muda wa kawaida wa dakika 90. Ndani ya dakika 6 za mchezo Mashujaa wakawa wanapoteza muda na kusababisha Mpira...
12 Reactions
16 Replies
932 Views
Sisi Yanga tumefungwa, lakini tumeridhika Makando kando yalikuwepo Tumepewa red card ♦️ dakika ya 26 Maamzi ya mwamzi yalitukesesha ushindi Ila tumechukulia kama sehemu ya mchezo na kukubali...
6 Reactions
46 Replies
897 Views
Kinachonishangaza ni kwamba Wengine tumeshazoa Kutaniwa, ila Wao sasa ukiwatania tu wanataka hata Kukupiga.
0 Reactions
0 Replies
238 Views
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) ya Wachezaji wa ndani imepoteza mchezo wa kuwania kufuzu CHAN 2025 kwa changamoto ya mikwaju ya penati 5-6 dhidi ya Sudan. Tanzania licha ya kufunga goli...
1 Reactions
21 Replies
836 Views
Mechi ya jana imetuonyesha ubora wa Yanga kuanzia fitness level yao mpaka team work yao ni ya viwango vya juu sana! Tumezoea team mojawapo inapokuwa pungufu kwa mchezaji Mmoja mara nyingi uwa...
8 Reactions
34 Replies
1K Views
Yeeerrreeehhh! May 2021 Hamas walianza uchokozi walirusha makombora mengi sana kwenye anga teule la Israel. Israel ikajibu kwa kuwashushia vitu vizito sana vyenye ncha butu vikigusa ardhi...
0 Reactions
16 Replies
649 Views
Marefa wameamua hata yanga wacheze rafu kwenye box lao ni haramu kutoa penati kwa mpinzani Labda itokee mtu achomwe kisu kabisa ndio watatoa penati
3 Reactions
8 Replies
560 Views
Ni mchezo wa Fainali ya kombe la dunia, takribani watu bilioni 1 duniani wanafatilia mtanange huo. Dakika ya 3 ya nyongeza ndani ya dakika 120, ubao ukiwa unasomeka 3-3 kwa Ufaransa na Argentina...
19 Reactions
140 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…