Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Siku zote falsafa yangu ni akili ikishindwa kutatua jambo fulani basi ujinga au wendawazimu utumike kubuni njia mpya ya kutatua changamoto OFFSIDE TRAP NI NINI? Hii ni mbinu mpya inayotumiwa na...
17 Reactions
43 Replies
2K Views
Legend wa Real Madrid, Marcelo amevunjiwa mkataba na klabu ya Fluminense miezi miwili kabla ya muda wake kumalizika, baada ya kutokea kutoelewana na kocha Mano Menezes jana Jumamosi. Tukio hilo...
2 Reactions
6 Replies
654 Views
Yanga wasitumie tena Neno " Kuteka" vinginevyo Watafungwa mechi ZOTE zilizobaki Ni hilo tu 🐼
2 Reactions
11 Replies
467 Views
Timu ya Tanzania, inacheza na Sudan, hivi ni Tanzania hii hii au ni ya mabwepande? hawajui mpira, na aliyechagua wachezaji hawa anapaswa akae lock up kabisa. Timu ya Tanzania, inacheza na Sudan...
1 Reactions
17 Replies
992 Views
Hakika umekuwa mzalendo halisi wa Znz
5 Reactions
26 Replies
1K Views
Muda Yahya ni mchezaji anaefanya makosa sana akienda kukaba eneo la box huwa anatumia nguvu kupitiliza bila akili. Akikutana na mafowadi wajanja kuna siku ataigharimu timu kwenye mechi muhimu sana.
6 Reactions
44 Replies
1K Views
Captain Bakari Nondo Mwamnyeto nakupa maua Yako, Jana katika mechi dhidi ya Azam ulionyesha kitu kikubwa Sana na kwasasa Mimi binafsi naona unastahili Kuanza katika mechi upo tayari. Jana ulicheza...
7 Reactions
14 Replies
561 Views
Amesikika akishindwa Kumalizia Sentensi na Kuishia Neno Hatu baada ya Kipigo kizito kutoka kwa Azam.. https://x.com/Roma_Mkatoliki/status/1852758396245799166
10 Reactions
28 Replies
2K Views
...Kuna siku mkongwe @edokumwembe alisema Yanga wako karibu zaidi kupoteza mchezo au kutoa sare kuliko kushinda watu hawakumuelewa... Kuna Wachambuzi pale Wasafi Fm walitanabaisha ubora wa Yanga...
14 Reactions
62 Replies
2K Views
Aliyekuwa kocha wa Al Ahly ya Nchini Misri ambaye kwa sasa ni Kocha wa Esteghlal FC ya Nchini Iran Pitso Mosimane amesema kocha Nasreddine Nabi hajaambiwa ukweli kuhusu ligi ya Nchini Afrika ya...
1 Reactions
3 Replies
629 Views
Anaitwa Greyson sijui Grayson Gwalala kiungo mkatashombo wa Coastal Union ya Tanga, jana amekuwa man of the match kwenye mechi dhidi ys Singida Big Stars yenye viungo wa kimataifa waliooonyesha...
1 Reactions
2 Replies
357 Views
Hizi ni tuzo za mihemuko tu. Kuna wakati ribery ndio alipaswa kushinda ila ghafla tukaona ronaldo anapewa Kuna ronaldo ndio alitakiwa kushinda ila ghafla akapewa messi
6 Reactions
33 Replies
1K Views
Wakuu, Ni humu tuu... === Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Mussa Kilakala amepongeza na kuyataja mashindano ya Mpira wa Miguu katika Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki yaliyoandaliwa na Mbunge wa...
0 Reactions
1 Replies
163 Views
Ni wa michezo ya Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh. Anthony Mavunde amekabidhi kwa uongozi wa Shule ya Sekondari Kiwanja cha Ndege kiwanja cha kisasa cha michezo ya mpira wa kikapu,pete na wavu...
0 Reactions
2 Replies
241 Views
Wakuu, Mambo yanazidi kuwa moto, kila mtu anajitafutia ka angle a kuonekana :BearLaugh: kazi kwenu wananchi! Wananchi mkoani Mtwara, wamehimizwa kujitokeza kupiga kura katika kuchagua...
0 Reactions
0 Replies
266 Views
Ni vizuri tukawapa hongera zao Azam fc kwa ushindi wao Leo hii dhidi ya yanga ndio Mpira akuna timu inaweza kumaliza ligi nzima yenye ushindani bila kufungwa ama kuruhusu goli ni ngumu! Lakini...
0 Reactions
17 Replies
702 Views
Tangu kuanza kwa msimu huu wa 2024/25, kumekuwa na utulivu mkubwa mitandaoni. Zile mbwembwe, vijembe na hata matusi miongoni mwa mashabiki zimepoa sana. Kumbukumbu zinaonesha kuwa Yanga...
2 Reactions
12 Replies
794 Views
"Hali hii ni mtihani wa kweli wa tabia, Vumilieni, kwani mafanikio yanakuja kwa wale wanaojituma. Ushindi sio mwisho, na kushindwa sio mwisho; ni ujasiri wa kuendelea. Maumivu ya leo ni nguvu ya...
0 Reactions
0 Replies
122 Views
Mechi ya Simba na Mashujaa ilikuwa ngumu, lakini sub alizokuja kufanya kocha sijaelewa ilikujaje kuleta matokeo, maana galfa umiliki ukahamia kwa Simba. Najua wengi walishtuka Shabalala kutolewa...
15 Reactions
42 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…