Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

WanaYanga wenzangu leo nimekatisha pale mitaa ya msimbazi na kuwakuta WAPENZI wa Simba wakijinasifu kuwa Klabu ya Simba ni ya 16 ktk ubora wa vilabu CAF. Yanga tukiwa Mabingwa wa Kihistoria je...
2 Reactions
24 Replies
8K Views
Kiukweli tokea Real Madrid wamsajili Curtois (sijui jina nimepatia?) Real Madrid imekuwa ikiruhusu magoli ya hovyo sana kupitia huyu kipa; naona laana ya mashabiki wa Chelsea inafanya kazi kwake...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Mshambuaji wa Polisi Tanzania FC, Ditram Adrian Nchimbi (Duma), amegeuka gumzo nchini baada ya jana Oktoba 3, 2019 kuwanyosha vilivyo Yanga SC mabao matatu peke yake Hat-Trick na kuweka rekodi ya...
3 Reactions
49 Replies
8K Views
Yaliyoipata Taifa Stars ilipofuzu AFCON 2019 hatutaki kuyaona tena yakijirudia. Safari hii Stars imejishindia safari ya fainali hizo huko Cameroon kwa juhudi zao na hao wanasiasa wakiwa wamesha...
5 Reactions
16 Replies
2K Views
nikiwa kama shabiki nguli wa manchester nimeangalia games nyingi sana kati ya liverpool na manchester tokea man utd afe goli nne pale ot liver wamekua wanyonge sana mbele ya man utd hata wawe...
0 Reactions
41 Replies
3K Views
RASMI: Mtangazaji wa EFM Maulid Kitenge ahamia Wasafi FM, Atoka na wenzake wawili na kumvuta Eddo Kumwembe. Mtangazaji maarufu wa Habari za Michezo nchini Tanzania, Maulid Kitenge ametangaza...
5 Reactions
33 Replies
7K Views
Uzi wa kutaja watu maarufu hapa Tanzania ambao aidha wanashabikia Simba au Yanga tena wengine wanaficha ushabiki wao juu ya vilabu hivi viwili vya Simba na Yanga. J.K. Nyerere - Yanga Ben Mkapa -...
2 Reactions
28 Replies
4K Views
Mkiambiwa kuwa muwe mnaheshimu ' Utaalam ' wa Watu wengine muwe mnasikia. Sasa Mburundi na akina Mgunda na Matola wameshatuziba Midomo yetu mikubwa na mirefu kama Chuchunge ambayo kila Uchao...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Sio vizuri kuwapongeza wafungaji tuu lakini nataka kuweka wazi kwamba kwa muda mwingi vipaji vya mpira vimekuwa vikitafutwa Dar pekee yake toka timu za vijana hadi timu za wakubwa. Lakini mchezo...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Kingo_sr PAUL Labile Pogba. Ni fundi haswa uwanjani, ni mchezaji ambaye kila Timu na kocha yeyote angetamani ammiliki kama mchezaji wake. Atakupa ubora mkubwa uwanjani, atakuza biashara ya Jezi...
9 Reactions
24 Replies
4K Views
Kinachonisikitisha tu ni kwamba kila ninapopita nawaona Mashabiki wa Simba na Azam wakifurahia Kilichotokea muda si mrefu huko nchi yenye Joto Kali Barani Afrika lakini kwa Mashabiki wenzangu wa...
5 Reactions
44 Replies
5K Views
Habarini Wanamichezo. Mimi si mkubwa sana wa Umri lakini Nina kumbukumbu nzuri sana ya soka ya kuanzia mwaka 1997. Nina kumbukumbu ya tournaments mbalimbali mfano EPL na Champions league ya...
10 Reactions
222 Replies
16K Views
Kwenye picha ilikuwa ni Mechi ya Hisani iliyoandaliwa Kupinga Matumizi ya Dawa za Kulevya na Rushwa viwanjani!. Diego Maradona katika mechi hiyo alivaa jezi iliyoandikwa "NO TO DRUGS", Michel...
5 Reactions
10 Replies
1K Views
Mchezo wa kufuzu mashindano ya CHAN umemaliza kwa Timu ya Taifa ya Tanzania kushinda kwa magoli mawili dhidi ya goli moja kwa Sudani. Mechi ya awali, Timu ya Taifa ya Sudan ilishinda kwa goli...
4 Reactions
218 Replies
25K Views
Nimeicheki mechi ya Sudan dhidi ya Taifa stars iliyoisha kwa 1-2 nimefurahishwa na kipaji cha huyu mchezaji aliyeongezwa kwenye kikosi cha Taifa stars dakika za mwishoni kutokana na uwezo wake...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
[emoji1621] Tarehe 06/2/ 1971,Ndugu Alan Shepard alifanikiwa kufika mwezini. Na miongoni mwa shughuli alizo jishughulisha nazo ni kucheza gofu. [emoji1621] Hivyo basi akaupa mchezo wa gofu...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nimeona mara nyingi wanatuhikiz tufike airport kuwapokea na baada ya kuwapokea wana panda basi lao.wanenda waendako. Hii sio nziuri kabisa.. TFF tafuteni hata gari kubwa la wazi wachezani...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
MESSI GOLDEN SHOE 6 RONALDO 4 DE LIMA 1 La Pulga; The King. Mchezaji bora wa dunia Leonel Messi jana amekabidhiwa kiatu chake cha Dhahabu baada ya kuwa mfungaji bora wa magoli kwa ligi za Barani...
5 Reactions
17 Replies
4K Views
Tukifanikiwa sawa ila tukianguka basi tusianze Kulaumiana wala Kununiana au hata Kuwatafuta Wachawi. Ombi langu tu nawaomba Wahusika Siku za baadae wanijumuishe An Eagle katika Kamati ya Fitna na...
2 Reactions
35 Replies
4K Views
Jana nimepata message nyingi watu wakita kujua kati ya KIPCHOGE na BOLT nani zaidi! hivyo leo ninaweka analysis kidogo kuhusu hawa wawili na nani ni mkali zaidi! Usain Bolt wa Jamaica na Eliud...
6 Reactions
57 Replies
5K Views
Back
Top Bottom