Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Timu ya Manchester united ikimaliza misimu miwili ligi kuu ya uingereza haijashuka daraja najinyonga na naomba mwili wangu usizikwe. Zama za Ferguson kununua mechi zimefika mwisho. Ntarudi baadae.
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Bondia Ibrahim Class Mgendera (26) almaarufu “King Class Mawe” amefanikiwa kutwaa mkanda wa ubingwa wa wa uzito wa kati (lightweight) unaotolewa na Baraza la Ngumi Duniani (Global Boxing Council)...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Habari ninaomba anae fahamu namna ya kuanzisha club ya mpira yani (team ya mpira ) kwanzia stage one hadi stage ya mwisho. maana kila siku nikienda chama cha mpira hapa Geita nakuta ofisi...
1 Reactions
7 Replies
8K Views
Klabu ya Yanga kupitia kwa mwenyekiti Mshindo Msolla Wametangaza leo kuwa mil 10 itakuwa ikitoka kila baada ya point 3 kwa klabu Yao ili kurudisha ari ya ushindi Jangwani. Afisa uhamasishaji...
8 Reactions
60 Replies
7K Views
Inaelekea viongozi wa Yanga hawaelewi wafanye nn kwa sasa ili Yanga irudie makali yake kwani wanatapatapa. Nmeshangaa kuona wanaajiri wasemaji 2 wa klabu ili wapambane na Haji Manara mmoja. Inatia...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Hatimae yule beki overrated amepigwa chenga ya aina yake. Je wataalam wa soka, hii chenga inaitwaje?
6 Reactions
45 Replies
8K Views
Haingii Akilini Timu yetu kuna Wachezaji kama Dante na wengine wengi tu wanadai Pesa zao lakini Uongozi wetu wa Juu unafikia Kutenga Tsh Milioni 10 za Kuwahonga Waamuzi ( Referees ) ili ' watubebe...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
wakuu kwa mara ya kwanza leo toka nianze kubet ndo leo napata ushindi kwa kuwaua man u ingawa ni timu yangu ninayo ipenda kutoka kundumbula na wasipo mfukuza kocha lazima tushuke...
7 Reactions
14 Replies
2K Views
1. Yanga ya msimu uliopita ilikua bora kabsa kuliko msimu huu. 2. Makambo alikua bonge la striker 3.Gadiel ni bonge la beki na Yanga walifanyakosa kubwa kumuacha. 4.Zahera hajui kusajili,hata kwa...
9 Reactions
28 Replies
5K Views
Nimeamua kusema hili kutokana na maamzi ya kukataliwa kwa goli la Arsenal dhidi ya Manchester United. Goli lilioneshwa kuwa Abu alifunga akiwa offside na siyo onside. VAR nayo eti ikakubali kuwa...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Tumpe mechi ngapi ?
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kama kawaida yangu kwanzia saa sita kamili siku za jumatatu hadi ijumaa uwa nasikiliza east Africa radio kipindi cha kipinga extra. Pale unakutana na mashabiki mbali mbali wa timu zetu hasa pendwa...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Jumapili saa 11 jioni kwa majira ya Afrika Mashariki kikosi cha Man Utd kitakuwa ugenini St. James Park kumenyana na wenjyeji wao Newcastle United ambayo inachechemea kwenye ligi. Cha kufurahisha...
7 Reactions
38 Replies
7K Views
Wakuu naangalia mechi hapa watangazaji wa Azam nao wanatangaza kuna ulazima wa wao kutangaza wakati kuna watangazaji waliopo uwanjani nao wako "live"?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hapa hakuna visingizio vya mechi za kimataifa, Simba wako huru zaidi na nimjuavyo Simba akijeruhiwa humrarua kila anayesogeza pua yake. Timu ni zile zile mnazozipiga 2, 3 au 5 mtakazokutana nazo...
9 Reactions
25 Replies
4K Views
Watu wanaongelea kelvin John as if wengine hawajafunga hata goal moja. Ukweli.ni kwamba kuna kijana huyu ambaye hivi karibuni ameitwa timu ya taifa na mchezaji wa coast union andrew simchimba...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Hii imeniuma sana, sijui tunakwama wapi, ni kipi tunacho weza fanya kwa ufasaha? Kenya ni wa pili kwa Medali za Dhahabu nyuma ya USA. Fikiria
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Leo naomba tukumbushane baadhi ya wachezaji wa Soka wa Kiafrika waliotamba katika soka la ndani ya Afrika na soka la kulipwa duniani lakini wa kiafrika. Mfano akina Sunday Olisieh, Rodger Milla...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Timu ya taifa ya vijana walio na umri chini ya miaka 20 itacheza mchezo wa fainali dhidi ya vijana wenzao kutoka Kenya katika mashindano ya Cecafa U20 yanayofanyika nchini Uganda. Mchezo huo...
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Juzi nilitoa thread ikisema inasema Zahera atatoa visingizio mechi dhidi ya Police baadhi wakatukana ninarudia tena Zahera hana mbinu tena na wakati wake wakuondoka umefika viongozi msipepese...
3 Reactions
30 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…