Kivumbi kinatarajia kutimka leo saa 10 jioni kwenye uwanja wa Levy Mwanawasa wakati wawakilishi wa Tanzania, Dar es Salaam Young Africans (Yanga) almaarufu kama wakimataifa / timu ya wananchi /...
Finally, The Rock is back in the WWE!
The former WWE Champion and eternal People's Champion announced late Monday (September 30) that he's coming back to the WWE Universe — and the millions and...
Tuzo ya Mchezaji Bora wa FIFA imekumbwa na shutuma nzito juu ya kura zilizomchagua Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi kushinda tuzo hiyo ikidaiwa kura zilikuwa za uongo
Katika hatua nyingine...
Ndo hivyo huyu ninja ataikumbuka England
Nimetizima game zote ambazo kacheza hana makeke wala hana chochote
Wala hakuna bak anayemkamia kama kipindi yuko England unakuta anakabwa na mabeki...
Salamu Tanzania na duniani kote...!
Patashika ya Ligi Kuu ya Tanzania Vodacom Premier League VPL, Kuendelea tena leo September 29, 2019 kwenye Viwanja tofauti nchi Tanzania, gumzo ni Klabu ya...
Data kama hizi Africa huwezi zikuta, wako wapi watoto wa kina Jerry Tegete, Mrisho Ngasa, J.Boko, Abdi Babi, Kigi Makasi, Chuji, Juma Kaseja, Henry Shindika
Boban na wengineo au ndo wako shule...
Wanayanga wenzangu huyu mzee hana jipya tukifungwa ama kudroo mechi dhidi ya polisi atasema wachezaji walikuwa na uchovu na hlo tulitegemee uongozi jamani pingeni kauli za huyu kocha timu...
Saa 2 za Usiku kwa Masaa ya Afrika ya Mashariki, kutakuwa na hafla ya utoaji wa tuzo ya Mchezaji bora wa FIFA kwa mwaka 2019 pale jijini Milan nchini Italy.
Pia hafla hiyo itaambatana na utoaji...
Timu yangu Simba sc achaneni na kahata sijaona ubora wake, Katika mechi ya kwanza nilihis labda kwakuwa Algeria ni bora kuliko Kenya Lakini hata Jana alikuwa hivyo tu hadi kutolewa mapema kipindi...
Unadaka vizuri tatizo lako ni hili umeanza makosa ya kupoteza muda wakati timu inahitaji ushindi mfano mechi dhidi ya Zesco far es salaam hata kule Zambia
Hazard wa Chelsea alikuwa fire alikuwa anauwezo pekee yake kuamua mechi inashangaza hazard anamaliza game ndani ya team ya Madrid bila hata shot on target.chelsea hazard alikuwa mfalme...
Toka afike Yanga huyu ni kocha wa visingizio kila kukicha.Tukiacha visingizio vya msimu uliopita,toka msimu huu uanze amekuwa ni kocha wa visingizio viiingi visivyokua na kichwa wala miguu...
Kama uzi unavyijieleza .... Kuna kaubishi hapa. Ila binafsi nakumbuka kama vile DTV ila kuna jamaa hapa anasema C2C mwingine ITV mwingine Channel ten. Karibuni
#FAHAMU Makocha walioingiza pesa nyingi kwa kuuza wachezaji katika klabu moja
L. Jardim - €919m
J. Mourinho - €730m
A. Wenger - €686m
C. Ancelotti - €673m
M. Allegri - €664m
R. Benitez - €617m
D...
NANI ANAIJUA KESHO??
MIAKA ya 1980's Mike Tyson alikuwa kwenye ubora wake kweli kweli usingemsogelea ulingoni wala kifedha nje ya ulingo.
MIAKA 8 mbele akamuajiri Donald Trump kama mshauri wake...
Leo tena mbele ya Mh RC Kagera wamepokea kichapo nyumbani kutoka kwa JKT Tanzania
Bado dhambi ile inaiandama timu yetu ya Kagera Sugar! baada ya kupokea kichapo cha goli 1 ikiwa nyumbani.
Mh...
Kenya na Ethiopia wanatutendea vyema Africa.
Citizen TV live..
NB: ukiangalia mji wa Berlin jinsi ulivyopangwa, hapa kwetu East Africa miji yetu waweza iita 'takataka'
What a beautiful world!
Julai 2003, Chelsea FC ilinunuliwa na bilionea wa kirusi, Roman Abramovich, kutoka kwa 'babu madevu', Ken Bates. Septemba mwaka huo huo, RA 'akamnunua' mtendaji mkuu wa Manchester United, Peter...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.