Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Benchi la ufundi la taifa stars wakiwa hawajavalia vipensi kama vya ZAHERA wako nadhifu kabisaaa
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Wadau naomba kuulza ni mchezaji gan aliyesajiliwa na Chelsea aliyewapelekea kufungiwa kusajili
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari ya muda huu wadau wa michezo, Niende moja kwa moja kwenye mada husika,mchezo wa mpira wa miguu nchini Tanzania umekua na unazidi kukua kwa kasi na kupendwa kwa rika zote,pamoja na jinsia...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kamati ya Bodi ya Ligi Kuu ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi katika kikao chake cha Septemba 2, 2019 ilipitia matukio mbalimbali ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) msimu wa 2019/2020 iliyoanza rasmi...
4 Reactions
101 Replies
10K Views
i} Simba wali wadharau ud songo ii}simba wameenda na matokeo uwanjani nakusahau kuwa mpira ni 90' iii}Simba wamewaacha wachezaji wenye uzoefu na mechi za kimataifa 1] E.okwi 2]...
3 Reactions
41 Replies
5K Views
Wengi wao asili yao sio wa tz wamekuja kutuharibia tu. Nchi hii lazima tuwe makini MBWA wanaongoza kwa kuwinda ni wahapa hapa mimbwa ya kizungu kazi kukaa ndani tu. Inakera saana hii mi MBWA
1 Reactions
9 Replies
998 Views
Salaam wakuu wote kwa umoja wenu Natumai volume iko sawa sawia kabisa hivyo naelekea kwenye mada moja kwa moja ,, Kumekuwa na wimbi la watu kutoka vilabu mbali mbali hasa simba na man utd kutaka...
1 Reactions
1 Replies
742 Views
Naangalia na kufatilia sana basketball competition inayoendelea china ila najiuliza ni kwa nini team USA ambayo ina mashabiki wengi haina kawaida ya kupeleka wachezaji maarufu kwenye mashindano ya...
0 Reactions
0 Replies
671 Views
Mpira una matokeo matatu na hayo matokeo yanaweza kukuumiza au kukufurahisha tujipange mwakani
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Bondia huyo kutoka Ukraine aliyekuwa akishikiria mikanda miwili mikubwa ya lightweight 'WBA' na 'WBO' usiku wa leo ameweza kujiongezea mkanda mwingine wa tatu baada ya kumshinda muingereza Luke...
0 Reactions
2 Replies
842 Views
Kama shabiki kindaki ndaki siridhishwi kabisa na matokeo ya mechi 2 za Man U zilizopita. Team inaonekana kucheza ,wachezaji wanajituma kweli kweli lkn nahs kuna sehem katika upangaji team kocha...
3 Reactions
36 Replies
3K Views
Adi Sasa ligi zote za ulaya zishaanza huku baadhi ya time zkiwa na matokeo yasiyolidhisha,epl time Kama 1: man u ,Kati ya mechi nne kashinda mechi moja tu kadraw mbili kufungwa moja licha ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
KAMA KUNA WASHAURI WABOVU N SOUTHAFRICA BORA TU WANGESHIKILIA TIMU NZIMA WATUACHIE NDEGE YETU MAANA HATA WANGEBAKI HUKO BADO WASINGEKUWA NA HASARA KWA TAIFA LETU KAMA KUNA MAZUNGUMZO...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Washabiki wa Man naombeni kuwauliza kwa nini Man U walimuuza Huyu Lukaku ?? Niliangalia mechi ya inter Milan week iliyopita Lukaku alifunga goal na leo amefunga Penalty .Kwa upande wangu sijaona...
1 Reactions
1 Replies
770 Views
Habari wana Jf..naomb kuuliza hivi michezo ya mtandaon kama vile spin huwa inaukweli au ni utapeli? jana nmejaribu kucheza wakanitumia unumbe kwamba nmeshinda lakini badae nikaona kama vile ni...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Kufuatia kuendelea kusuasua kwa Man Utd msimu huu mara hata baada ya kubadili kocha toka Mourinho na sasa Ole Gunnar bado timu imekuwa ni homa ya vipindi. Inaonekana baadhi ya wachezaji hawana...
2 Reactions
40 Replies
5K Views
Azam TV walitutangazi a kwamba wataonesha mechi ya Ligi Kuu Uingereza (EPL) mchezo kati ya Chelsea na Sheffield United lakini cha ajabu mda mfupi mchezo unapotaajia kuanza wakakata matangazo na...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wadau wa JF, kwa kuangalia hii ratiba ya CAF Champion League 2019/2020 unaweza kuzitabiria timu zipi zinazoweza kufikia hatua ya makundi? Je katika hii ratiba, ni mechi baina timu zipi...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Bondia Tyson Furry (Gypsy king) amesema anahitaji mkono mmoja tu kupigana na bondia Andy Ruiz (Destroyer) maana akipigana naye kwa mikono miwili atamuonea. Ikumbukwe Andy Ruiz ndiye bondia...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Hii ni kashifa na aibu isiyovumilika yaani Taifa kubwa km TZ tunapeleka wanamichezo 9 kwenye mashindano ya All African Games wakati Kenya wanapeleka 200? Yani mpaka Burundi wanaokatana mapanga...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…