Tulio kuwa tuko bize na clouds kumsikiliza Haji Sunday Manara akitetema ( akiongea) kupitia clouds tukutane hapa, kumuunga mkono msemaji wetu bora kabisa anayewalazaga Gongowazi na viatu.
Tukutane...
Hivi Hawa washambuliaji Yanga nani kawaleta hawajui hata kukokota mpira bora hataTambwe angebaki huyu Zahera hajui analolifanya timu haijulikani inacheza mfumo gani mwaka huu kazi tunayo
Pazia ligi kuu msimu wa 2019/20 ndio unaanza
Sasa tutawaona akina kambuzi wavuruga ligi na watoa hogo kwa timu pinzani na waamuzi wakipewa maagizo toka tff kuikwamisha timu Fulani isishinde kwa...
LIGI KUU YAPATA MDHAMINI:
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na Kampuni ya Simu za Mkononi ya Vodacom wamesaini Mkataba wa miaka 3 wa Udhamini wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara. Mkataba huo unathamani...
Habar za leo wakuu kama kichwa cha habar kinavojieleza sina mengi nataka kujua mdhamini mkuu ligi Bara ni nani maana naona siku zina kwenda hatangazwi kama ambavo tuliiambiwa atatangazwa siku...
Huenda Ndondo Cup ikafa kifo cha mende baada ya waandaji kuingiza siasa kwenye mpira. Iweje waende kukabidhi kombe kwa Dk. Bashiru? Kwa nini wasiende kwa Waziri wa Michezo?
Haji manara pamoja na mashabiki wa Simba wamekuwa wakisema Simba ni tajiri sio kweli Simba ni tajiri Bali inamwekezajj tajiri team tajiri inapimwa kupitia account ya bank inasemaje na namna...
Dakika ya 38 kipindi cha kwanza.
Kmc 0 - 1 AS Kigali
Mpira unaendelea goli limefungwa dakika ya 29 na Rashid Karisa.
Timu ya KMC wanapoteza sana nafasi.. Washambuliaji wa KMC Msuva, Kabunda na...
TFF imesema kocha yoyote na benchi la ufundi lazima wavae sare ya timu halisi siyo kujivalia nguo zisizoeleweka. Aidha kama siyo sare basi nguo za heshima
Mbali na hivo hatua za kinidhamu...
Sawa Simba Wamesajili Wachezaji Wazuri Wengi Wao! Lakini Siamini Kwamba Mkude Nibora Zaidi Yakotei! Hakika Jamaa Alikua Chuma Kweli Hasa Katika Lukaba! Naikumbuka Mechi Ya Mwaka Juzi Simba Pungufu...
Mchezaji kinda aliyewahi kufanya majaribio Manchester United. JOEL DARLINGTON ameamua kujikatisha maisha yake.
Chanzo kikiwa ni kuchoshwa na majeraha ya mara kwa Mara.
Club yake ya mwisho...
Afisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi, Boniface Wambura amesema kuwa mfumo wa Ligi Kuu ya soka nchini kujumuisha timu 20 utatumika kwa msimu wa 2019/20 pekee
Kwa msimu wa 2020/21 timu zitapungua na...
Baada ya kufanyika usajili , jambo pekee ambalo mashabiki wa Yanga wanataka kuona, ni timu yao ikifanya vizuri
Ukiachana na michezo ya kirafiki ambayo Yanga imecheza, matokeo ya mchezo wa kwanza...
Habari zinazosambaa hadi hivi mjini Morogoro ni hofu ya kupotea kwa bondia maarufu nchini mkazi wa Morogoro Francis Cheka.
Kwa mujibu wa watoa habari na marafiki wa karibu wa Bondia huyo ni...
Wakuu naona soka la bongo linazidi kupiga hatua.
Kampuni ya ubashiri katika mpira wa miguu (M-bet) . yaingia mkataba na klabu ya ya soka inayomilikiwa na halmashauri ya manispaa ya kinondoni (...
Former Championship striker Junior Agogo has reportedly passed away, aged 40. The Ghanaian striker suffered a stroke back in 2015 which left him debilitated just two years after retiring from...
Inavyoonyesha jitihada za makusudi za viongozi wa Mkoa na wananchi wa Mkoa wa arusha za kuipandisha timu ya arusha united icheze ligi kuu zimegonga mwamba Kwa sababu zilizotolewa .,..... Binafsi...
Mpango mkakati na mchakato wa kujaza uwanja wa Taifa takribani mashabiki elfu 60 umeanza rasmi leo. Jumapili ya wiki hii kwa mara nyingine tena bara Afrika linaenda kushuhudia kandanda saaaafi ya...
Wadau nadhani mtakumbuka kuwa Aliyekuwa Mwenyekiti wa Yanga Yusufu Manji alikuwa na utaratibu wa kuwalipia Kadi na Viingilio Mashabiki wa Yanga.Tabia hiyo imezoeleka ka Mashabiki wa Yanga.Sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.