Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Amejiunga kwa mkopo wa muda mrefu.
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Stone cold Steve Austin WWE unamfaham vipi tupe historia yake Nmekuwa na ombwe la kutaka kumjua Kwa undani mwana mieleka huyu kwani tangu utoto wake inawezekana ina records mbaya sana hata...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimewaza sana kuhusu vilabu vyetu vya tanzania ila jibu sijapata bado. Ukiafuatilia vizuri soka la Tanzania mara nyingi hakuna luxury kbsa zaidi tu mashabiki wanalaumu wachezaji au kocha wa kilabu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Joketi Mwegelo, ameitabiria Yanga kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu. Akizungumza na gazeti hili jana, Joketi alisema alipojumuika na wanayanga wenzake kwenye...
2 Reactions
47 Replies
4K Views
Maana halisi ya Mabenchi ya Ufundi kwa Vilabu ( Timu ) za Ulaya huwa yana Watu wenye Majukumu kama yafuatayo: 1. Kocha Mkuu 2. Kocha Msaidizi 3. Kocha wa Makipa 4. Kocha wa Viungo 5. Kocha wa...
6 Reactions
17 Replies
3K Views
Hizi club wanatimu nzuri kutokana na wachezaji walionao ukiangalia baadhi wachezaji wa hizi timu wanaweza kuanza kwenye team km man u, Chelsea na arsenal wachezaji kama Ruben neves wa wolves ana...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Usifikiri wabongo wote wajinga. Zinatengenezwa tu. Nilikuwa namuonya mtu huko kwa kundi jamani.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
"Kwetu mashabiki sio mchezaji wa 12, ni mchezaji wa kila nafasi uwanjani. Tunashinda lakini mashabiki wanachangia sana"- Haji Manara. #NguvuMoja "Simba ndio timu ambayo imeongoza msimu uliopita...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
BAADA ya maneno mengi kusambaa kwenye mitandao ya kijamii na vyombo mbalimbali vya habari kuwa Klabu ya Simba imemwajiri ofisa habari mpya kubeba jukumu hilo la Haji Manara, hatimaye msemaji huyo...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Bayern Munich wamekamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji kutoka Barcelona philipe coutinho kwa mkopo wa mwaka mmoja... Bayern wamelipa Euro million 8.5 kwenye Dili hilo la mkopo pamoja na...
0 Reactions
1 Replies
949 Views
*SIMBA NA YANGA NDIO ALAMA YA MPIRA WETU* 📝 Hemed Suya. Wadau na familia ya mpira wa mpira nchini Habarini za Jion. Baada ya kukimbizana na pilika za kutafta mkate wa siku basi kama kawaida...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kati ya hawa vijana watatu wanaofanya vizuri katika klabu zao kwasasa yupi ni beki bora wa upande wa kulia kwasasa toka kwa wajukuu hao wa Malkia. Kyle Walker (Man City), Alexander Anorld...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu. Leo tarehe 19 mwezi wa 8 2019, FIFA wametoa list ya magoli yanayowania tuzo ya fifa puskas award yaani tuzo za goli bora ,kuanzia tarehe 16 july 2018 mpaka 19 july 2019...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Ni dakika ya 51:03' hadi sasa, na matokeo ni 0 - 0. Naona Yanga wanajitahidi ku-perform hapa, wamewazidi kiasi AFC (moja ya timu kubwa kwenye ukanda wa Afrika Mashariki). Yanga wameonyesha...
4 Reactions
43 Replies
4K Views
Dar es Salaam. Wachezaji saba wa Yanga wamejiweka kwenye nafasi ngumu ya kupata namba katika kikosi cha timu hiyo kitakachocheza mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, ugenini dhidi ya...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
1. Mechi yenu ihamisheni kutoka Chamazi na muipeleke kwa Mkapa / kwa Mchina. 2. Fanyeni Kiingilio kiwe Tsh 1,500/ na Wanawake bure. 3. Hakikisheni kila anayeiingia Uwanjani anapewa ama Maziwa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari za hapa jamvini wadau! Naomba mwenye majina ya matawi matano MAARUFU NA YENYE WASHABIKI KINDAKINDAKI ya Simba Sports Club na Young Africans Sports Club yaliyopo DSM anitajie na mahali...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Naona Mayweather anajitapa kweli kwenye social media zake kuhusu hizi data za BoxRec, kwama numbers always dont lie Nini maoni yako mdau wa boxing
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Kuelekea kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii leo Agosti 17, 2019 Ni mnyukano kati ya bingwa wa TPL, Simba SC na bingwa ASFC, Azam FC, ni mechi mzuri ya aina yake yenye burudani nyingi za soka na ladha...
23 Reactions
186 Replies
26K Views
Huu ni msimu wa tatu wa michuano hiyo, ambapo katika usajili na ufunguzi, timu mbalimbali zimejitokeza kujisajili na kutakuwa na hatua za mtoano kisha robo fainali, nusu fainali na fainali...
0 Reactions
1 Replies
719 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…