Kwa mujibu wa UFM radio ni kwamba aliyekuwa mchezaji wa simba na mkataba wake kumalizika msimu ulioisha, Haruna Niyonzima, raia wa Rwanda amesaini mkataba na club ya AS Vita ya Congo kwa dau la...
Habari Mabibi na Mabwana?
Poleni na majukumu ya ujenzi wa Taifa, leo ni siku muhimu sana ya kufurushwa na Timu ya Taifa ya Algeria.
Siku ya leo nasema bila kumung'unya maneno wala meno...
Kabla ya kuurudisha Utaifa wangu leo na kuishnagilia Timu yetu dhidi ya Algeria ,naomba kufahamu huyu Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa ,kama bado yupo Misri au la!
Na je kuna lolote ameongea !
Kabla ya kuongezwa kwa idadi ya Team zitakazocheza mashindano ya CAF Champions League na Confederation ilikuwa bingwa wa league anaenda Champions League na bingwa wa wa FA anaenda Confederation...
Pamoja na kuwa leo timu inatekeleza ilani ya Chama cha mapinduzi lakini ni ndugu zetu tuwaombee waishinde Algeria (Mbweha wa jangwani) kwa angalau (3 - 0) tupate nafasi ya best looser, wakati huo...
Wakti watanzania wakishangilia kuondolewa kwa kocha wa timu ya vijana baada ya kuboronga Oscar Milambo na Mkurugenzi wa Ufundi Amy Ninje kwa mujibu wa taarifa za gazeti la mwanaspoti leo inaonyesh...
Ni kama vile watetezi wa Paul Makonda kwenda Misri "Kuhamasisha" Taifa Stars wanataka kusema ama kuonesha kwamba ni yeye ndiye aliyesababisha Stars kufuzu kushiriki mashindano hayo baada ya miaka...
SIMBA YAINGIA KWENYE REKODI AFCON 2019 BAADA YA KUSHIKA NAFASI YA PILI KWA KUPELEKA WACHEZAJI WAKE 6 KTK TIMU ZA TAIFA ZINAZOSHIRIK MICHUANO YA AFCON NCHINI MISRI.
Simba imefanikiwa kuzipiki klabu...
Kichwa cha somo chahusika,moja ya timu zinazocheza soka zuri msimu huu wa mashindano ya afcon ni Zimbabwe lakini inashindwa kupata matokeo,shida nini?
Mechi na Egypt ilionesha ubora wa Zim,mechi...
Siwezi kuwapa pole maana toka mwanzo wote tulifahamu kwamba tutafungwa japo atukujuwa idadi ya magoli mangapi tutafungwa. Back to the topic hivi lile shoot alipiga yule kinda wa senegal likazaa...
Ndani ya Dakika 55 tokea Filimbi ya mwisho ipulizwe na Kumalizika kwa Mtanange kati ya Harambee Stars ya Kenya na Taifa Stars ya Tanzania ambapo Tanzania ( Taifa Stars ) tumefungwa kama kuna...
Baada ya mchezo baina ya taifa stars dhidi ya harambe stsrs kumalizika kwa Harambe stars kupata ushindi wa mabao 3kwa2 Nahodha wa harambe stars Victor wanyama allielezea sababu iliyowafanya...
Fifa will stage memorial for Foe
Marc-Vivien Foe's death sparked national mourning in Cameroon
Football's world governing body Fifa will commemorate the death of Cameroon midfielder...
Nikiwa nimejawa furaha zenye majonzi baada ya Taifa Stars kuchapwa na 3 kwa 2 na Harambee Stars, hii inafuatia furaha za wapenzi wa soka walio wengi hasa vijana ambao tumefurahia kufungwa kwa timu...
Watu ambayo hawajui lolote kuhusu mpira wala hawajawahi kucheza ndio wanakuwa wahamasishaji na wataaalamu wa ufundi
Hebu angalieni wenzetu wanavyofanya
Bila ya shaka yoyote Rais Magufuli na mtu wake anayempa kibri kila siku RC Makonda watakuwa wamepata jibu baada ya matokeo haya.
Wakenya wako vizuri kila idara! Kenyans are better than Tanzanians...
kama mtanzani mpenda maendeleo ya michezo napendekeza uyo mchezaji tajwa hapo juu afukuzwe ikibidi akatafute team ya taifa nyingine maana anachocheza hakieleweki hawezi kushambulia wala kukaba...